Tazama jinsi Rais Magufuli alivyokuwa ‘akipiga story’ na mmoja wa wafanyakazi wa usafi wa Manispaa ya Morogoro katika eneo la stendi ya mabasi ya Msamvu baada ya kuongea na wananchi eneo hilo. Rais Magufuli yuko njiani akielekea #Dodoma.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UTV
Негізгі бет Спорт JINSI RAIS MAGUFULI ALIVYOKUWA ‘AKIPIGA STORY’ NA ‘MFAGIA BARABARA’
Пікірлер: 10