Mh shigongo umeniamsha vizuri mno,kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana
@MohamedHaji-kf7ho
Күн бұрын
Mungu mungu,sasa ninamiaka 30 nikiwa darasa la tatu nilipenda kusoma vitabu VYAKO eriki ,nimekuwa namiongozo yako nimefanikiwa kwakuiga mengi kwako nashukuru Sana
@mulendabenjamin4273
26 күн бұрын
Jambo kwa wote Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.
@abidandastanmaliyatabu1373
27 күн бұрын
Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele
@ElijahWilliams-on4fq
2 күн бұрын
Amen Mungu akubariki Mcungaji
@edithavalelian256
Ай бұрын
Asante sana kaka, najifunza mengi kupitia darasa lako
@neemaemanuel7715
2 күн бұрын
Thanks too much for your lectures
@JLXNINEJNINE
29 күн бұрын
❤ kweri waoga WOTE mateso
@lucasisundwa2125
24 күн бұрын
Bravo 👏 👏 👏 👏 network with the right people 😊
@KkijaMakula
9 күн бұрын
I respect my brother, ni kweli unayoyasema yanatukuta wengi. But now I will study for you.
@JACKLINEMAHENGE
20 күн бұрын
Huwa namfananisha Eric na tyler perry i think they have many things in common 🎉
@user-tu6nt8vl7p
19 сағат бұрын
asante kwa somo lako mung awe nawe
@user-sn8tq9vz8v
Ай бұрын
Nashukuru sana,umenitiya moyo na kuniinuwa kimawazo zaidi
@simonmachimu8992
6 күн бұрын
appreciate you my brother
@noahjoshua2175
19 күн бұрын
Shigongo keep up brother
@stanleynyakunga5926
2 күн бұрын
Somo limekaa vizuri mno
@anisiamchembe6552
Ай бұрын
Ni kweli kabisa!!
@Gomsrap
22 күн бұрын
GOMS was here 🧘🏽♂️🎧.
@sedekiabilijite5516
14 күн бұрын
Leo nimekutana na hii imenijenga sana ,Mungu akubariki sana
@travellergift6347
20 күн бұрын
Good
@user-oc9cw5tr4l
Ай бұрын
Nashukuru Muheshiwa ,nimesoma riwaya zako na leo nimejifunza kutoka kwako
@user-zn7sm1cc6p
26 күн бұрын
Amen Amen
@Polymath-Abala
Күн бұрын
Mambo mazuri hayo
@espoirmurwanashaka9982
4 күн бұрын
Ukweli kabisa
@kalongatv3421
27 күн бұрын
Thank you Mr Erick
@CharlesZuma
Ай бұрын
Ujumbe mzuri brother
@hamasikatv
Ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@ElizanaBahati
15 күн бұрын
Ahsante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-gu7mw8zs6c
8 күн бұрын
Ahsant San
@kenethtv6932
17 күн бұрын
Aise daaah maalifa aya baraa sana
@JamesNzioka-lr6ry
23 сағат бұрын
Ukweli mtupi
@sammwakalinga2705
Ай бұрын
Nimekwelewa sana mkuuuu🎉🎉
@saidkhalfan8207
Ай бұрын
Thanks
@HamzaSelemani-rt8jt
Ай бұрын
🙏🙏🙏
@Zuwenamuhammedy
11 күн бұрын
nashukuru sana naitoa hofu kwanzia sasa hiv
@HappynessRobert-j8z
8 күн бұрын
Tuliolala muda wa kuamka ndo huu 🎉🎉🎉
@JumaAnastazia-ux9fc
13 күн бұрын
Amina
@chrisedward3797
21 күн бұрын
❤
@skilindaissa5441
Ай бұрын
Asante 🙏
@rosemarymwakisalu
Ай бұрын
Ahsante sana mh.nimejifunza kitu kikubwa sana kwako
@seifally4457
12 күн бұрын
Ujumbe mzurii
@bilid4128
29 күн бұрын
😂😂😂 hapo kwenye Umbea umepiga kwenye Mshono...kuna watu wanapenda umbea
@ThadeiAbel-rv8ts
Ай бұрын
Kaka umekuwa muelimishaji mzr sana kwa jamii thanks 🙏🙏🙏
@hamasikatv
Ай бұрын
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@user-cu6tp2bh7b
16 күн бұрын
Punguzeni kizungu maana watanzania tunao kufuatilia ni wengi ila tuapitwa na maneno ya kizungu
@MiriamSaid-z4x
10 күн бұрын
Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana
@WilliamStanley-m9x
Ай бұрын
This is true 🎉🎉
@winfredndanu-uc6em
17 күн бұрын
That's true bro
@user-rx7te2px5d
Ай бұрын
Kweli kabisa
@FATMA06-oz3zs
Ай бұрын
🙏🙏
@izzylyrics2240
27 күн бұрын
Thanks for sharing
@hamasikatv
26 күн бұрын
Thanks for watching!
@QUEENJoseph-kh6cb
29 күн бұрын
Kweli baba
@NaftaliObeid-sw9me
27 күн бұрын
😊
@richkaja3317
20 күн бұрын
Punguza kingereza mkuu acha kabisa sie wabogo tunapenda kiswahili
@amosiabdulallh7965
20 күн бұрын
Hakuna msomi wanaoitwa msomi wakiswahili hakuna hio mjomba huo ni msomi subir amalize yy ndo ww uje nalugha yako
@stanleynyakunga5926
2 күн бұрын
Nashukuru sana kwa soko pls naomba namba yako
@SadaDamas-jh2gt
Ай бұрын
Nikweli
@OsmondMtatifikolo
22 күн бұрын
🤔🤔
@EmmanuelMushi-j1i
28 күн бұрын
Shigongo I want to met you
@Tadeo-s4h
Ай бұрын
Uhakika kaka mkubwa
@user-xx9hh4pr9z
24 күн бұрын
Kuanzia Leo nitakusikiliza ,kaka Bado nipo dalasani
@JumaAnastazia-ux9fc
13 күн бұрын
Nafukizahofu mutumishi
@hasanidadi5791
Ай бұрын
Ongea kiswahili unaongea na watanzania uzungu mwingi
@lucasmartin431
Ай бұрын
Anaongea na aliyekuwa anaongea nao....Wamefanya kurekodi tu Brother. Wewe haukuwa mrengwa
@DavidNdosa-mj4ei
28 күн бұрын
Punguza kingereza wengine niwaswail kaka
@dorcaskidoti249
29 күн бұрын
Baba tafadhali naweza kkuona ukanisaidia tafadhali?
@kajico2023
29 күн бұрын
Ndio.lafiki
@mofatunes1432
9 күн бұрын
Nilikuwa naanza kukata tamaa kwenye biashara yangu ya Forex kwa sababu ya hofu ila hii video imenirudishia tabasamu nimeelewa sasa....Ubarikiwe sana Father Shigongo
@mariamsaidi8039
Ай бұрын
Nimekuwa nikukufuatilia tang nina miaka7 enzi za sani na kiwi ila sasa nashindwa namna ya kupata makala zako
@Mihoaidan
50 минут бұрын
Genus wewe
@OdhiamboLazaro-y8o
16 күн бұрын
Now you are becoming a preacher,y don't you open your church.
Пікірлер: 75