Pashawa la moyo wangu ni kupunguza mabaghami wa lugha ya Kiswahili
Pashawa la moyo wangu ni kuongeza mabalagha hasa kwa kizazi kijacho
Baghami = Mtu asiye na maarifa juu ya Jambo fulani
Balagha = mjuzi mwenye ushawishi wa lugha mwenye kujua namna ya kucheza na maneno
Негізгі бет Joramu Nkumbi = BALAGHA, BAGHAMI, MAAMUMA, BURUJI, KIADA, MUWALA
Пікірлер: 5