Wananchi wa kata ya Mzingani tawi la Suji wamempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Juhudi anazofanya katika miradi ya maendeleo inayowavutia kujitokeza kwa wingi kujisajiri na kupata kadi za kielektroniki
Wakizungumza na Tanga Tv wakati wa wakijisajiri kadi za Chama cha mapinduzi za Kielektroniki viongozi wamempongeza Rais Samia mwenyekiti Rajabu na viongozi wengine wa mkoa juhudi zao za kuwaletea miradi ya maendeleo inayowahamasisha kuendelea kukipenda Chama cha mapinduzi.
Негізгі бет JUHUDI ZA RAIS DKT SAMIA ZAVUTIA WANANCHI WA TAWI LA SUJI.
Пікірлер