Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Desemba, 202 ameshiriki katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam
akihutubia mbele ya maafisa hao na viongozi mbalimbali amesimulia changamoto za Traffic alizowaikukutana nazo barabarani.
Негізгі бет RAIS SAMIA ASIMULIA ALIVYOKAMATWA NA TRAFFIC USIKU "ALINIULIZA WEWE NI NANI NIKAMWAMBIA MI SAMIA"
Пікірлер: 791