Tumuamini ndugu yetu baba yet juma mgunda mwalimu nzur hakipewa wachezaji wazur
@andrewkibona6798
6 күн бұрын
Nami naungana na wote wanaounga mkono kumpa Chama mkataba mwingine. Hatuwezi kumuuza Chama wenyewe mnajua alikozitoa na anakokwenda na Simba. Hongera sana Mgunda tunakupenda sana kwani wewe si tu ni kocha bali ni Baba mwema wa Wachezaji. Tunakuomba afya njema.
@abdisalim7900
6 күн бұрын
Viongozi husika chini ya Boss MO DEWJI,tumieni busara zenu zote mumbakishe CHAMA hapo Simba,ni kukosa,hekima,busara na upendo tu jwa viongozi wanaoweza.kumruhusu Chama ajiunge huko nyuma.Hv utakuwaje vitani na uchukue silaha km B52 umkabidhi adui yk?.Huo ni usaliti.Naamini kwa busara za Rais MO,na jopo lake jmbo hililitawekwa sw na kurejesha furaha ya Wanamsimbazi
@samwelDaniel-eh3mb
5 күн бұрын
Big up Juma Mgunda kwani bdo Chama ni mchezaji mhm Simba .🙏
@aminaomary5567
6 күн бұрын
Kaka Mgunda ❤❤🎉🎉🎉 nakupenda wewe hatari sana.Pia Mo nakupongeza sana tena 🎉🎉🎉❤❤ chama hoyoo❤❤🎉🎉 Mungunda hoyooooooo🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@galcowami3788
4 күн бұрын
Chamaaaaaa
@georgelumalechinzi266
5 күн бұрын
Safi sana Mgunda apewe timu maana saikolojia yake ni babu kubwa wachezaji wanamwelewa
@Jonasijoseph-w9w
3 күн бұрын
Kweli mayele na feisali nachama ombi wasajiliwe jonasi wa Dom bahi chiguluka
@RithaSogoto
6 күн бұрын
Chama ni mchezaji mkubwa sana viongozi wa simba tunaomba abaki simba
@HalimaMwambepo
6 күн бұрын
Saffii mgunda tunakupeanda kazi nzur
@user-jy1wm8do8w
5 күн бұрын
Komanyoko viongozi watakuwa hawajielewi kweli hv Chama ndo nani?
@user-vw2ux5sh4x
6 күн бұрын
Jamani iwe kweli au uongo ila chama abaki tuu simba mana tunapresha mnoo wana lunyasi
@marystellamakene7820
6 күн бұрын
Tunamkubali sana Triple C
@ZulfaIsmailMughuha
6 күн бұрын
Apewe team mgunda
@allykillindo7343
6 күн бұрын
Chama kwa uchezaji wetu wa mpira biliani chama bado anauwezo ila ukimpeleka mbio hawezi.
@raymondsekabigwa5907
6 күн бұрын
Upumbavuuu. Madaktari WA Nchi hii, walimu WA Nchi hii, wavujajasho WA Nchi hii wanalipwa ngapi vile? Hivi serikali Ipokweli? Hivi kolea huko Kwa wenue maendeleo Yao wanafanyia haya?
@hectorgold147
5 күн бұрын
tuna mupenda nasi mashabiki atupende
@user-vw2ux5sh4x
6 күн бұрын
Nyuma mwiko wanavishindo mtaani dharau bora chama abaki simba tuu
@Jonasijoseph-w9w
3 күн бұрын
Moo ombi usajili wa mwaka huu uwe nzuli tumeteseka
@IbrahimMmalugu
5 күн бұрын
Huyo Mgunda sio wakunyang'anya timu huyo ndo anayeleta muunganiko wawa chezaji kisecolojia ata hao wageni wanaosajiliwa apewe Mgunda kwanza kocha mkuu ndo afuate
@FaustaMahuve-di8uv
4 күн бұрын
Nimefrahi sana kubaki chama ndani ya simba mungu akupe amani ndani ya moyo wakonimefrahi sanaaaaaaaa❤
Пікірлер: 23