Wazee wameanza kujisahau tena. Kikwete hana Barakoa aisee
@habibumdetele6530
Жыл бұрын
Kicwa cha habari kinanifanya nifikiri vitu vingi sana!!wahariri hawajui kuhariri au hakuna wahariri.Yaani habari ya msingi aingia kuaga mwili ndani????
@emmaboka959
Жыл бұрын
Naye atakwenda
@bakarimtange570
Жыл бұрын
Kweli limonti IPO msoga viva Roma
@bakarimtange570
Жыл бұрын
Mafisadi wanaingia
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Kuna haja ya kufundishwa matumizi ya simu
@hawaamohammed6687
Жыл бұрын
Wachumia matumbo Yao Leo mwenzao kaondoka wajiandae wao wazuri walioweka mikataba namungu awafiii wataishi milele
@AthumaniSeleman-od4hu
Жыл бұрын
Yan analindwa kama yeye ndo Rais wa Sasa
@amospetro8789
Жыл бұрын
Kifo hakibaguii
@azizakiswili9063
Жыл бұрын
Huzuni kubwa apumzike kwa amani
@hawaamohammed6687
Жыл бұрын
Kipindi chaunclw magu msingepata nafc hiyo mkaamua yenu mlioamua.Leo membe upo wapi???? Subiri kipigo namaswali namajibu
@bakarimtange570
Жыл бұрын
Hakuna amani Kwa mafisadi
@emmanuelkanyela275
Жыл бұрын
Kila mtu ataenda walijua JPM tu ngoja kunyeshe panapovuja bado cheni inaendelea
@zubedaali4155
Жыл бұрын
@@emmanuelkanyela275 Ili sio jambo la mtu moja hats ww zamu Yako ikifika utakufa SI kwanduguangu membe wooote Dunia I hapa ni mapito msimlaumu na Wala msimukumu
Пікірлер: 14