Kama mnaogopa majibu ya mtu muwe mnaacha kumhoji. Haongei matusi anaongea ukweli. Amezungumzia ukweli kuhusu bongomuvi wakike mkakata, na kuna point zingine amezizungumza mmekata kata video. Huo ni utoto... ni kweli vijana wengi wameacha masomo, wamekosana na ndugu, wameingia ktk utumiaji wa vilevi na kutumia pesa nyingi ktk muziki au filamu wakajikuta matatani mbeleni. Tumeona sans tu... Acheni mtu afunguke au mmwambie kabisa asiweke matusi au maneno makali mkiwa bado hamjaanza interview
@AmidoKasome
3 ай бұрын
Acha wivu radio na television ni ya Alkiba
@sidebraizoy2070
3 ай бұрын
Hakuna mze wangu dudubaya
@PendoUrassa-xm7ru
3 ай бұрын
Unamuongelea ommy dimpozy
@mwitasamwelpaul9621
3 ай бұрын
Wape mauwa yao mweshimiwa usibakize
@AlouiseNgenDanDumwe
3 ай бұрын
Harmonize yuko vizuri kimaisha bro acheni wivu
@Laizer3
3 ай бұрын
Ujaelewa 😂😂 yani wasanii wengi wanafeki life.
@raydanfrenk
3 ай бұрын
Ana uwez wa kufungua redio bhana
@JamesMoses-jd1yq
3 ай бұрын
Huyu mwamba ni mkweli
@DavalsonMarlony
3 ай бұрын
kmbe 🐕 nao wanafangas
@kdloon2030
3 ай бұрын
Mamba hua anasema"We live your life au we live our life?
@DonMooFILMES_Express
3 ай бұрын
@@kdloon2030 anachanganya sana mala aseme we live on your life muda mwingine we live our life
Пікірлер: 16