Huyu jamaa alinisaidia sana kupata zaidi ya 10M nikiwa mwaka wa kwanza chuo mwaka Jana ,namkubali sana
@daudhabona8897
9 ай бұрын
Kaka ni kweli. Mi ni shuhuda sana na Cha bahati nzuri mi nilimjua muda akiwa na blog. Na huku nilipo naogopwa Kwa mafanikio Kwa Rika langu. Mungu ni mwema
@abdulyardang4628
9 ай бұрын
Ulifanyaj kak
@abdulyardang4628
9 ай бұрын
Ulifany nn mpk ukawa hivyo
@japhethcharles5791
9 ай бұрын
Nilianzisha biashara za forex kwa kutafuta ujuzi na Sasa ninavyoongea hivi tayali ishanitengezea zaidi ya 70M,na Sina shaka tena na fedha ,pia kupitia hiyo tayali Nina mikiki boda boda 6 zinafanya kazi na ndio naingia mwaka wa tatu😂😂😂
@mtaostephen3660
9 ай бұрын
@@japhethcharles5791 we mtoto fala sana
@mohamedismail2662
9 ай бұрын
Nimependa sana iyo point ya huwezi kukubalika na kila mtu
@African511
9 ай бұрын
Mungu huleta mtu wake kuokoa watu wake,Nanauka wewe Mungu anakutumia sana,Mungu asante kwa huyu Prof Nanauka,me nakuita Prof Nanauka ♥️
@user-ew3wc2wt2e
4 ай бұрын
Dah ningekujua mapema ningekuwa nishaatengeneza kitu kwenye maisha yng ila sijachelewa leo ni siku ya pili na nimejifunza mengi sana Alhamdulillah thank you brother 🙏
@FARIDCUMPUNIY
9 ай бұрын
Your my best teacher kaka NANAUKA , THE MORE I GET YOUR LESSONS THE MORE I BECOME BRAVER , CLEVERER AND VERY SPECIFIC PERSON
@SaimonKazimoto-xt1zo
9 ай бұрын
Nimependa sana iyo point ya huwezi kukubalika na kila mtu kumbe wale wanaokosoa pia wengine sio kama wazuri ila wanatuvunja nguvu mungu akubaliki sana kaka joel. Tupo pamoja
@nikumwalemba4841
8 ай бұрын
Ahsante Joel Kwa masomo Yako, najifunzaa mengii, ubarikiwe
@billjeremiahmaiwe
8 ай бұрын
Dear Joel Nanauka. I wonder so much your skills and creativity that you have. Always I learn something from you that '' in order for somebody to reach a goal his or her must live the purpose for someone to be born "" May God Bless you Man of Integrity.
@starplatnumz
6 ай бұрын
Daah kk ninazawadi yako from kigoma welcome kigoma town umekuwa faraja yang namwalim wang 🎉🎉🎉
@ondumamary9452
7 ай бұрын
Thank you pro i will not remain the same.My God bless you more
@HeriethSylvester-dm3nb
9 ай бұрын
Kuna wengine wanakuchukia unakuta wamekuzidi lkn bado wanakuchukia hata cjui nn shida
@princekarani7836
9 ай бұрын
Hao wako na roho mbaya na wanaongeaga maneno ya kukukandamiza chinichini ili kukudumaza akili,na wanakuchukia hawatamani ata icho kidogo ulichonacho uwe nacho,wewe piga kazi au endelea na mishe zako kaa nao mbali atakama ni ndugu
Viziri inasaidia Sana hii kaza Sana tushukuru na kwa mchango wa mawazo
@swalhinajuma4149
9 ай бұрын
Nmecheka lakn nmejifunza
@JLXNINEJNINE
8 ай бұрын
❤Mimi NAPENDA kukosolewa sana
@agnesspaul1866
8 ай бұрын
❤❤❤❤❤ ubarikiwe mnooo
@mohamedismail2662
9 ай бұрын
Kifo cha wengi arusi maana yake tukose wote ndiyo utaamin kuna watu wanazaliwaga wakiwa wachawi ndiyomaana africa maendeleo ya watu uwa yanawaumiza watu wengine kuliko shida na matatizo yao
@isaacmagesa_TZ
9 ай бұрын
Mungu akubark sana sana. niko hapa by Isaac Magesa.
@dorahmatitu2554
9 ай бұрын
Yaaan nmecheka mno. Ni kwer watu wengi awapendi maendeleo ya mtu. Chuki inakuja baada ya mafanikio tunatakiwa tusamehaneni ili maisha yaende!!!
@alexnaftal5712
9 ай бұрын
Hahaha unaongea point sana kaka Joel hii ni kweli ipo kwenye jamii yetu hasa ya kitanzania watu wanahitaji levelling na ndo jambo ambalo haliwezekani
@tausihasheem5169
9 ай бұрын
Asante bro..
@matrugnawangaeli4815
9 ай бұрын
Asante bro, ni muda nikitaka kuanzisha biashara ndogo ili nijifunze jinsi ya kupambana nayo. Kama ulivya zungumza tatizo langu kubwa ni kupata wateja. Halafi nafikiri hata mawasiliano yangu ni madogo. Sasa nimejifunza nitajitahiki kadri ya uwezo wangu. Mungu akubariki, week end njema. 10:29
@EliabuMabusi
9 ай бұрын
Mungu.akuongezee marifa maana yanatukomboa kutoka kwenye ufinyu
@user-dw7tp6uc2b
9 ай бұрын
Kakangu nakuombea sana , Naimani Mungu atakuinua zaid by muinjilist sipelatha.
@user-lk6yw4nk2q
9 ай бұрын
Nakuelewa
@BM_Smart2-6
9 ай бұрын
True kaka. Kuna watu wa karibu ni tegemezi sana na wanalalamika ukiwa haupo karibu wanakuponda. Ubinadamu ni kazi!!
@swalhinajuma4149
9 ай бұрын
Nmeelewa jamaniiii
@SarahDavid-nz8ir
9 ай бұрын
Toka nimeanza kumfatilia nimekuwa mtuwa tofauti nilianza biashara ya chakula chamifugo nikiwa naguniamoja nikaanza kufatilia clip ya timiza malengo Sasa ninamiliki duka kubwa nanilianza nagunia mbili Sasa namiliki gunia hamsini na madawa pia nishaanza kuuza mungu azidi kumpa maisha marefu siku nikifika dar lazima nitafute kanisalake nikamtembelee
@aminamohammed1430
3 ай бұрын
Hiyo ni kweli
@user-wi1vh5vx6x
9 ай бұрын
Great! 🎉
@NicholausSaid
9 ай бұрын
ukweli najifunza sana kupia mafundisho yako mengi yamenisaidia sana kiroho hata kiuchumia na kijamii pia i mean mahusiano.Mungu akutunze bro wewe ni zaidi ya zawadi ya milion kadhaa be blessed bro.
@judithmwambe4767
9 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka Joel,ubarikiwe haki ya Mungu na uzidi kutupatia madini ya gharama kama haya. Thanks alot brother.
@hussenmohamed4649
9 ай бұрын
Aisee uyo ni mimi kabisa
@MwanaishaHemed-xi6rj
9 ай бұрын
Asante Sana
@user-hq9le5wd9g
9 ай бұрын
Joel nanauka namkubali sana, alinipa elimu ya fedha tangu nikiwa mzumbe mwaka 2, hilo somo linaitwa jinsi ya kukuza biashara. Nimeona mabadiliko makubwa kwangu
@MariamuChidaga-bp1rr
9 ай бұрын
Aaaaa nimefurah sana lakini pia nimejifunza kitu kikubwa sana kaka angu,, Mungu akubariki sanaaa🙏
@erickathanas
9 ай бұрын
Asante bro Nanauka kwa somo zuri
@niriacatering172
9 ай бұрын
Shukrani
@naumikabila5880
9 ай бұрын
Kweli kaka watu wa karibu usipo kua jasiri wanakurudisha nyuma kabisa ,mim nina rafiki yangu yani kila nikipost biashara yangu statas ana view cakushangaza ana comment emoji za kucheka it hurt me
@aderiderkihupi7240
9 ай бұрын
ASANTE
@EliasMinga
9 ай бұрын
Like father like son
@masilastahona7010
9 ай бұрын
Hiii kwangu imenitibu Leo mana nilishaga kata tamaa sant kwa funzo muruwaaa🙏
@MCmakore
9 ай бұрын
Big up❤
@GildaShima-fw4gj
9 ай бұрын
Kaka mungu akubariki nilikuJua mwez michache tu nimebadilsha maisha yangu
@RICHARDWAUSA
9 ай бұрын
Asante mwalimu
@alonerider7164
9 ай бұрын
Huyo ni Joel👊👊
@hadidjaissa9154
9 ай бұрын
Kaka umenitia moyo❤
@amosmahona433
9 ай бұрын
MUngu aKubariki sana
@user-po9ww7cd7n
9 ай бұрын
Asante tunazidi kujifunza vitu
@bernadethanyarufunjo9518
9 ай бұрын
Mkuu. Habari uko vizuri Lkn naomba upokee simu
@eliudikijuzi4909
9 ай бұрын
Thenx brother
@user-dw7tp6uc2b
9 ай бұрын
Asante
@manuelfranciscofrancisco5779
9 ай бұрын
Sto Moçambique muito obrigado
@user-pg5ve3sn3v
9 ай бұрын
Mr Nanauka Umekua mtu wa muhimu maisha yangu, Nimepata mafunzo mengi Nikajihisi huru. Uoga nilikua nao kibyashara ikaisha. Mungu azidishe maarifa yako Ningependa kukaa na wwe karibu uwe unanishahuli kia wakati
@godblessnetworkcollege9953
9 ай бұрын
I appreciate you broo bajikuta nakubalika tuu kupitia mafunzo yako I feel to meet with you brother 🙏🙏🙏
@user-dw7tp6uc2b
9 ай бұрын
Nashuktu Sana umenifundisha kuwatambua marafiki wanafiki jaman wenichoshaaa
@user-dw7tp6uc2b
9 ай бұрын
Natamani kuwa na marafiki wenye njozi ila wengi wananianyusha.
@robbyman6213
9 ай бұрын
🙏🙏🙏
@jumananamwa3104
9 ай бұрын
Bro ww ni mkali
@evahcricens7355
9 ай бұрын
🙏🙏
@bernadetachari7648
9 ай бұрын
Umekuwa mwalimu wanghu sasa kwa miaka mbili nimejifunza menghu kwako
@faudhiasalum7279
9 ай бұрын
Najifunza mengi sana my brother Joel nanauka ❤
@felsonsanga8502
8 ай бұрын
Amen
@paulinmachlory9362
9 ай бұрын
Tunapomsikiliza huyu jamaa ukiwa makini,Kuna madini yaliyojificha ndani mwake,shida tunaulemavu wa kuthubutu.
@abeidmbarouk6280
9 ай бұрын
See u at the top
@abeidmbarouk6280
9 ай бұрын
See you at the top
@Elnathatz9749
9 ай бұрын
Uyo wa kusema c unafanya biashara n rafki angu kabisa huyu😅😅😅😅😅
@Elnathatz9749
9 ай бұрын
😅😅😅😅😅WANAKOPA MNOOO JAMANI JAMANI NATAMANI KUWATAJA AU BASI NIMEFURAHIA SOMO LA LEO AF WAO USIPOWEKA VYAO STATUS WANAANZA KUSEMA UNA TABIA MBAYA😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lucianambalamwezi1864
9 ай бұрын
Nimecheka jamani ila hili lipo mnooo kaka unapoanza wanajua hufiki popote ukionyesha unapanda tuuu heheee wanakuinulia vikwazo chuki
@mkundevincent-uz7qn
9 ай бұрын
Hata wanasema tu wape na bei ya wholesale
@user-sn4dl4qb3g
9 ай бұрын
Baba naomba kile kitabu chako ya kujifuza kuweka pesa kinachapishwa heko $$$$njuu
Пікірлер: 91