HII KITU INANIFANYAGA NIMKUBALI KICHUYAAAA POPOTE ALIPO MPKA LEO HIII🙌🙌🙌 ameacha alama kwenye maisha ya wana simba🙌🙌🙌💯💯
@jordanbarweta3429
3 ай бұрын
Daaah Simba Yetu..Naipenda hii Club ♥ Still watching July/2024❤❤❤
@fredyjoackimu-bk1tf
7 ай бұрын
Yes, I ❤ simba kwa sababu ndio team pekee yenye mafanikio.
@philipomakongoro2084
Ай бұрын
kweri simba tumetokanayo mbali sana Mungu ibariki simba yetu
@JACOBOMGODE
Ай бұрын
Ubaya ubwela ❤❤❤❤ mwaka huu makombe ni yetuu umu 2
@MajaliwaBugota
3 ай бұрын
hii mechi kiukwel huwaga nailudiaga Hadi mwili unanisisimkaga aise ❤💪💪
@nuranzubail8134
Ай бұрын
Simba ilikuwa na wazawa mult talented players
@MaimunaSaidi-tu2hs
2 ай бұрын
Kichua bonge la mchezaji naanaipenda sana simba
@Zuubaby-lp9uj
2 ай бұрын
Tunaonrudia Leo 2024 mwezi WA 7 th 26 tujuane❤❤❤❤❤❤
@NeemaSesa
Күн бұрын
Yan inauma hiyo
@NeemaSesa
Күн бұрын
Nailundia Mal kwa mal
@NeemaSesa
Күн бұрын
😂unaniuma kwel
@NeemaSesa
Күн бұрын
Naipenda simba kuzindua na mme wangu
@MariamuYusuphu
9 ай бұрын
I love ❤ simba🦁🦁🦁
@hansmswagara2789
3 жыл бұрын
Simba baba laoooo
@simonmeneyi1418
Ай бұрын
Kweli kabisa kichuya arudi simba
@zunguofficial610
7 ай бұрын
Tunae iangalia ihii gem 15 .3 .2024 tujuane
@blessjuniortz2766
7 ай бұрын
Tar 22/3/2024
@jumaamohamed2455
3 ай бұрын
Tupo
@GodlistenKweka
3 ай бұрын
G
@YustaGerald
2 ай бұрын
26.7.2024
@salimusemkuya3086
8 ай бұрын
ambao umaiangalia hii had mwaka huu 2024 gonga likes
@GEORGEYUSUPH-jf4sp
7 ай бұрын
Pp
@Bumutz-po2df
Ай бұрын
Ubaya ubwela 🔥🔥🦁
@WendeMposola
Ай бұрын
Tar 10/09/2024
@magogelameck1501
5 күн бұрын
Pamoja
@IZAACManyonyi
9 ай бұрын
Daah simba tulitoka nayo mbali❤❤❤❤❤❤❤
@Zowazowa-xu1gk
9 ай бұрын
Utopolo fc waliyatimba wallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@humphrelemaa7630
3 ай бұрын
Sanaaaa
@shanmlawa
Жыл бұрын
Jamani shiza alikua mtu😘🥳🦁
@Mumewangu
Жыл бұрын
Hakika kichuya nitaendelea kumpenda naiomba simba impatient heshima ya uongozi pale atakapo staafu
@stellambaga
Жыл бұрын
66😅
@nshaijatedy5512
8 ай бұрын
❤
@sigwamkinga6236
Жыл бұрын
Simba wa nyika ❤
@SichaliJr10
Жыл бұрын
Hiyo siku naikumbka sanaa katika family yangu tupo watoto4 ukijumulisha nawazazi watu6 pekeangu ni simba hiyo siku nilinyimwa chakula😅😅😅😅😢
@GenovevarKavikule-it2wc
Жыл бұрын
Hahahahaha pole sana
@obedwilson
Жыл бұрын
Kwanini
@zachariakishiwa4154
Жыл бұрын
😂
@SichaliJr10
Жыл бұрын
@@obedwilson nilikela watu kwa frahaa sometimes frahaa yako kikwazo kwa wengine
@obedwilson
Жыл бұрын
Hahahahaha 😀 😀 😀 nakubari
@abdisalim7900
6 ай бұрын
Simba walipaswa kuwa naye kichuya hata km kiwango chake kimeshuka kwani bado umri unamruhusu.Hy ni damu ya Simba,na ndio mana sichoki kuiangalia hii mechi
@athumanidilunga7770
Күн бұрын
Hapana kiwango kikishuka basi apewe jukumu lingine lkn siyo kubwa.mchezaji
@NeemaSesa
Күн бұрын
Hat mm nailundia hadi naogop
@NeemaSesa
Күн бұрын
Kwa NN huwa tuna wakiwa kuwafunga yanga wachawi au VP mbona mupika unalenga lango halafu hauingii kwenye nyavu
@petrosamike420
8 ай бұрын
Ambao leo mnaangalia hii 19/2/2024 tujuane mapema.
@AdamSkabenga
8 ай бұрын
Tupo🎉🎉🎉
@emmanuelymeresta-si4ur
7 ай бұрын
08/3/2024
@leticiachaki3212
21 сағат бұрын
🎉
@Shantxhanta
2 ай бұрын
Alf hapo tulikua tunavijana wengi kuliko hao vyura na wazee wao
@NasibuChobanga
Жыл бұрын
huwezi amini hiyo siku ndio nilinza kuishangilia simba mpaka kesho simba sihami
@papaahussein5263
6 ай бұрын
Mm mpaka sasa ni mchezaji mzuri sana ujinga tu wa viongozi wa simba
@zalhathasaid2060
3 жыл бұрын
Wakumbushe baba utopolo wepesi wa kusahau
@rajabuwazirishekigenda5924
8 ай бұрын
yanga Hana historiya ya kumfunga Simba akiwa pungufu. hakika hii ni record ya kipekee kwa hao Simba..
@geofreysolomon3728
Жыл бұрын
Kochuya ana nafasi yake ndani ya mashabiki wa Simba😂😂😂
@magembekisabo9632
Жыл бұрын
Dah Mo Ibrahim
@wabiisabella8696
2 күн бұрын
Hatareeeee popote ulipo mwanang andrewizzy makubi unaikumbuk sku hii
@yohanayohanaadamu6483
3 жыл бұрын
Utopolo walishasau tuvyowagonga tukiwa pungufu
@SadockJoel
2 күн бұрын
Iko good vibes za kutosha Daaah
@AmaniChatila68
Жыл бұрын
yanga kwa simba ni wadogo sana basi tu ni timu ya waswahili hawaishiwi maneno
@AbelWales
3 ай бұрын
Naitw Edgar Toka mwanza Simba dam
@gyeong5972
Жыл бұрын
Alieskia Sauti ya Salim Kikeke Kama mimi like plz
@yorammmasa
Жыл бұрын
Sio kikeke ni baruani muhuza
@mariamshibanda3358
6 ай бұрын
Ilikua tam sana🦁💪
@MohammedMango
7 ай бұрын
Nice moment by kichuya
@baegtcomedia6798
3 күн бұрын
BAE GTCO MEDIA 🇹🇿
@sillassadiki
3 ай бұрын
Mnaoangalia hiii kitu tar 10,7,2025 tujuane😂😂😂😂
@ZUHURA-s6m
7 ай бұрын
Hakuna kama simba🎉❤🥴👹
@NOVATISIYAME-c3s
8 ай бұрын
Well done lion
@eliamwanamayo3596
8 ай бұрын
😂😂😂 na wew upo hapa muda huu😂😂🙌🙌
@amedeuspeter-n4l
Ай бұрын
Daaaha😢😢 Simba yetuuu wewe
@DavidDamas-n4d
3 күн бұрын
Tunao angalia mwez wa 10 tujuane 2024
@saahommy506
3 күн бұрын
Tupo
@MKETOUKEBA
Жыл бұрын
KichuyaBado anaitajika simba
@SaadaAlly-x6d
Ай бұрын
Sana tena
@barakajulius5938
16 күн бұрын
Mo Ibrahim Mo, kipaji
@JeremiaSenyagwa-y8t
Жыл бұрын
Mimi ni simba damu
@Tamimsaid-xq2ct
6 ай бұрын
Goooal
@mustaphahamza6262
28 күн бұрын
Leo 21/09/2024 Gonga like hapa
@oman6219
Ай бұрын
Hii lini.
@hildaamosi6411
10 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@oswardkapesa7095
Ай бұрын
Tupo❤❤❤
@WizzorFrank
21 сағат бұрын
❤
@ivonobedy6732
3 ай бұрын
Daah inasisimua
@WaryobaMangira
Жыл бұрын
kichuya noma xana
@MunduSamson-vz1ue
13 күн бұрын
ubaya ubwela mundu boy dam ya Mara napenda Sana Simba
@MethewNyirenda-y5b
Ай бұрын
Nipo hapa
@EmilianPaul-i2h
Ай бұрын
Mtasema Sana yanga n baba len
@YunusHuseni
Ай бұрын
Hii game ilikua Kali sana kupindua meza kibabe
@GozberthOnesmo
2 ай бұрын
Hiii ilikuwa noma
@thomassaguda5559
9 ай бұрын
Ya kale....
@HawaMheza
8 ай бұрын
Vyakale vinathamani Kama ndomana Somo LA historia lipompkaleo shule ilikuwakumbusha watu Kama nyinyi !!
@frankpatroba4821
3 ай бұрын
Ni dhahabu
@StevenHinjo
2 ай бұрын
Good
@ezrakenyanya7399
3 жыл бұрын
Wape salam utopolo
@babajay3445
6 күн бұрын
Kipindi hiko simba ni nguvu moja sio hii leo wamejaa wanafiki pale mnapanga hili kesho mapema lishafika jangwani
@emmanuelngesi5429
2 ай бұрын
Hi ilikuwa jumamosi tarehe 17 mwez february 2017..💪
@MusaHamad-m2b
Жыл бұрын
Mechi ilikuwaga safi sana
@mbeyamedia8692
Ай бұрын
uhakika bro
@DaudimloweMtumishi
17 күн бұрын
Sawa
@syliviamurondoro4690
28 күн бұрын
Yani msim huo mpira ulikuwa mtamu jamani❤❤❤❤
@othmanhamad7887
3 ай бұрын
Hii penati ilkw ya mchongo ila Mungu akalipa palepale uwanjani,malipo ni duniani
@GraceMhoja-bu3ce
2 ай бұрын
simba hii ipo wap jamn
@fredius.r.prosper1180
10 күн бұрын
Mechi ilikuwa kali
@abdoulrahimmigomba3885
3 ай бұрын
Dah!
@HopeNebert-m2b
Ай бұрын
Tupoooooo
@JohnMagic-i5v
Күн бұрын
Leo siyo pungufu watataga
@aminatanzanya7475
Ай бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️🦁🦁🦁♥️♥️♥️🔥🔥
@Matayoabduly
Ай бұрын
Maana yasanda iliyopo jezi ya simba
@VitalisNyami
3 ай бұрын
Tuko hapa
@edwinpeter2739
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@jerryxeventeen5345
10 ай бұрын
TBT la kibabeee🎉
@franktazuba
Жыл бұрын
Simba
@AjhidKakuru-hg7gw
Жыл бұрын
Jaman kichuy Mmmhhh
@SalumKalindajr
2 ай бұрын
Wehu Hao na wasbili trh 8
@alfayomcharo9473
2 ай бұрын
Je wananga wanakumbuka hii?
@aminatanzanya7475
Ай бұрын
Wanajizama data
@gyeong5972
Жыл бұрын
Nimpenda goal Keeper wa Yanga alivyomuonesha Mchezaji wa Simba kiatu
@pianamkai4620
3 жыл бұрын
Tena mara 2 tunawauwaga hawa tukiwa pungufu
@abdulisiwa4118
Жыл бұрын
Wasema tu
@flova7022
Жыл бұрын
Nomaaa
@VictoryNgolo-j2g
Ай бұрын
Iyo siku nilikua naangalia mpira kwenye kibanda umiza nilifukuzwa simba alipofungwa goli walipo lidisha na kuongoza walizima tv kabsa
@Tamimsaid-xq2ct
6 ай бұрын
Goal
@JeshKikove-xw1bh
6 ай бұрын
simba ya kichuya
@RajabuHassani-q4e
2 ай бұрын
Hatali
@babajay3445
6 күн бұрын
Kuna wakati yanga walisanda sana ila naona sasa hivi simba tunalipa madeni tuu
@oscarmtocar7681
3 ай бұрын
Simba sasa inapaswa kurudi
@LaurentKarugura
3 ай бұрын
Daah mbal san nakmbuka kichuya mwamba kwel kwel
@CostantinoJanuary-pp5ck
7 ай бұрын
Watisha xana
@yasinshaban4933
3 жыл бұрын
Utopolo wanajisahaulisha kila siku
@MatemuAmani
8 ай бұрын
mmH au bas
@abubakarahyan9515
Ай бұрын
Hyo zamn sio sasa, sasa wchezaje wepya wngi snaaaa
@gaudencehaule7398
Жыл бұрын
Viongoz wa Simba huwa wana kiburi ssna. Lufunga hakuwa na hadhi hata ya kukaa benchi Simba. Binafs nlishukuru sana alivoondoka na nafas yake kuchukuliwa na Salim Mbonde
@mrgujarat8391
3 ай бұрын
Hapo kabla hawajaijua pesa
@nicodemshello163
2 ай бұрын
Hata kama Leo tunanyanyaswa lakini wanarudisha tu kisasi na bado kisasi hicho hawajamaliza
Пікірлер: 250