Dunia inasubiri kuona mambo makubwa kutoka kwangu, Nitakuja kuwa na Online TV kubwa ya kutoa habari za Injili duniani na nimeshaanza ❤🎉
@magretlaurent8717
3 ай бұрын
Aiseh you really made my day , i know the world is waiting for my manifestation, lord direct me open my ways so that i can seee my capabilitiea
@LaulentSamson
9 күн бұрын
Mungu akubaliki joeli kwakuendelea kutufua🙏🙏
@estamichoromichoro5634
15 күн бұрын
Asante ka kaka joel , ilo dasara nitaiñgiaje
@VeronikaSangawe
25 күн бұрын
Mungu naomba nisamehe sana nilitaka kukuangusha ila natubu nitaanza upya, ubrkw kaka
@NELSONOSCA
11 күн бұрын
Habari. Nawezaje kuwekeza kama wewe mana ninaweza kufanya kazi kama yako.
@magretlaurent8717
3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 be blesssed nanauka
@ReiphanLusungu
7 ай бұрын
Nimejifunza na kuwa kumbe ninapo shindwa kutumia uwezo nilionao nakuwa na mwangusha Mungu wangu🙏🙏 Hakika Joel Nanauka kunasiku tutajiuliza Wewe ninani??? Mungu akubariki sana hakika.💪💪💪
@FELISTERPETER-jf9jv
5 ай бұрын
Kuna kipindi nilichoka sana kibiashara nilikata tamaa, mtaji uliyumba sana. Ckua na msaada tena ila nilivoanza kumfatilia Joel maisha yangu yalibadilika Kwa kias kikubwa sana. Barikiwa sana mtu wa Mungu
@pikanaauntzuu1466
7 ай бұрын
Asante sana professor kupitia video zako umenihamasisha ninunue vitabu vyako yani kiskia mtu anakuja dubai sina cha kuagiza ila vitabu vyako nimemaliza juzi kusoma kitabu cha siku 30 za kuishi ndoto yako nataman ningekisoma zaman mika 8 nyuma nahisi ningekuwa mbali sana ila naamini sijachelewa kila nikiosma kitabu kimoja naona nahitaji kusoma na kitabu kingine shukrani sana kaka Joel Allah akupe umri mrefu na afya njema Inshaallah ❤
@aishamsemwa-zu3eo
6 ай бұрын
Mi nauza mikate tuu ya mia mia napigwa vita hatari lakini napambana na sitoacha kujituma, Asante sana kiongozi wangu 🎉🎉🎉
@macmillanmakawia1542
2 ай бұрын
Salaam,hongera sana sana,pls keep it up.
@brackskinyozi3280
2 ай бұрын
Asante sana nimejifunza kitu
@JanethDotto-y1p
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mkuu
@wadauwasizoni
7 ай бұрын
Nilishangaa namuota Joel nanauka ananipa kitabu hapo ndipo nilianza kumfuatilia.
@marianalwiva8823
7 ай бұрын
Hii ni chai ya kila siku asubuh kumsikiliza kaka Joel ameniambia nn leo kisha niendelee na kutimiza wajibu wangu....
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Songa mbele 👏🏻👏🏻👏🏻
@marianalwiva8823
7 ай бұрын
@@joelnanauka 🤝🙏
@aliyukagambo
7 ай бұрын
Kweli kaka Joel niliwahi kukwambia Mimi ni chef by professional sasa hivi nipo Romania Europe nipo Bucharest mji mkuu wa Romania nafanya Kazi capricciosa restaurant
@aliyukagambo
7 ай бұрын
Nimepandia ndege Jomo Kenyatta international airport nyumbani Tanzania kaka zangu hawakuamini dada zangu hawaamini mpaka wafanyakazi wenzangu Mwanza hawaamini lakini ndo hivo
@SuleimanMasumbuko-ol1yp
5 ай бұрын
Mkoa wetu wa mtwara umekua mkoa maarufu sana Mungu kutubariki watu wa kipekee na faida kwa jamii kama Joel. Respect sana kaka
@emmytarimo390
7 ай бұрын
Tokea nimeanza kukufatilia naona mabadiliko ndani yangu na maisha yangu pia..... Your the best bro Mungu akutunze mnoo
@goldiegranted5501
7 ай бұрын
Can't wait for this session 🥹🙌
@alexlucas1571
7 ай бұрын
Shukrani sana ndugu kwa darasa, YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏
@alexlucas1571
7 ай бұрын
I'm waiting it my mentor JOEL NANAUKA
@joelnanauka
7 ай бұрын
Naamini umesikiliza na umejifunza🙏🙏
@AmaniRashidi-i9b
7 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu wangu
@Tinahkisaka
7 ай бұрын
ur the best Mr Joel. mafundisho yako ni taa ya maisha yangu.
@Iman_Seleman01
7 ай бұрын
Good job Joel, keep up a good work and stay blessed
@AnithaCharles-s7n
15 күн бұрын
Asant nashukur mm
@Princeraphael10
7 ай бұрын
Always I feel so proud to listen you brother because always I do gain more knowledge and my life has been changed....
@polycarpmfoy6594
6 ай бұрын
Mr sijutii kukufahamu..God bless you wewe ni hazina kubwa kwenye taifa hili🏆
@rollahngimbwa6978
7 ай бұрын
Shukran kaka🙏🏽🙏🏽. " Hakika kka kifo siyo hasara kubwa hasara kubwa ni vile vitu vinavyokufa ndani yetu tukiwa bado tunaishi" Nimejifunza kitu kaka shukrani 🙏🏽🙏🏽
Nakupenda sana Joel nanauka naamini utanibadilisha 0:00
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
Hallelujah, namtukuza Mungu kwaajili yako kaka nimepata kitu kipya asubuhi yaleo ❤❤
@joelnanauka
7 ай бұрын
Amen tuendelee kujifunza. Nisaidie kushare na wengine🙏
@shukranjulius9526
7 ай бұрын
@@joelnanauka Amina kaka nina fanya hivyo kabisa nawaba furahi sana
@KalabaKlb
7 ай бұрын
kaka Joël nami niko tayari kudjiunga, please
@Sanga_jr_24
7 ай бұрын
Nibarikiwe na like Yako kaka @Joel
@gilbertbaya1546
7 ай бұрын
From Kenya...be blessed bro.
@JoyceHaule-o7b
6 ай бұрын
Joel upo vizuri sana pamoja na age yangu kubwa naona kama naanza sasa
@JaklinaClaudi
6 ай бұрын
Mungu akubariki mnoo kaka kwanza umenisogeza karibu sana Mungu
@petermunuo1657
5 ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@IbrahimDaudi-bo7ke
5 ай бұрын
Asante Sana Kaka Joel Nakufatilia Sana
@MarryJulius-wq3eg
7 ай бұрын
Kiukweli nabalikiwa na kaka Joel maisha marefu kaka
@ChantalNdayizeye-ol1re
7 ай бұрын
Mimi nishajua potentiel yangu na sasa nipo kazini,
@bernadetachari7648
7 ай бұрын
God bless yuo mwalimu
@Yasiniabjadi
7 ай бұрын
Mungu akubaliki Joel nanauka 🤲
@REMMYGASPAR
7 ай бұрын
Nimepata kitu kikubwa sana hii asubuh through this video,, Thankyuu much @ bro joel
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ahsante sana, tuendelee kujifunza🙏🙏
@FrancisNdungu-kt8xu
13 күн бұрын
Mtu anajiunga aje Kamaa kutoka Kenya
@goldiegranted5501
7 ай бұрын
Shukran sana kwa somo Coach 🏆,,,barikiwa mno🌠
@richardMwita-qy2jq
5 ай бұрын
Mwalimu unakuelewa sana
@tukaesanatu2754
7 ай бұрын
Asante Joel nitakutafuta baba ,,,ubarikiwe
@RUTHEDWIN-i6l
7 ай бұрын
MUNGU akubark san kakaangu 🙏🙏
@African511
7 ай бұрын
Prof Nanauka ❤
@philipomwazyunga4572
7 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu.
@KalabaKlb
7 ай бұрын
Kabisa ubarikiwe kk Joël
@Keyjop
7 ай бұрын
Nakujaje you tube bila kukusikiliza kaka #Joel ...nimeanza kukusikiliza November mwaka Jana hakika umenibadilisha Kwa kiasi kikibwa saana Yesu akuatamie zaid bro...
@OmanOman-c9d
7 ай бұрын
Ahsante sana kaka joel mungu akubariki
@ClementLeonard-h9m
7 ай бұрын
Safi kaka hazina ya Tanzania Kasi zaadi
@AyubuKorio
7 ай бұрын
Mungu akunze sana mtumishi
@nashonsibye
7 ай бұрын
Be blessed
@magdalenafidelis3877
7 ай бұрын
Thank you Sir,
@eliasmugume254
7 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa
@AmosBunzari
5 ай бұрын
Hongera Sana mtumishi wamngu natamani nije ofisini tuzungumze
@AmosBunzari
5 ай бұрын
Samahani Mimi natoka mkoa wa katavi
@estermathias8354
7 ай бұрын
Kwa jina la YESU naikemea roho ya uoga iliyopo ndani yangu.naamini nimeweza #matokeo badae mimi ni mshindi
@joelnanauka
7 ай бұрын
Kabisa pambana nayo
@lucympelembwa7836
6 ай бұрын
Nakutia moyo roho ya uoga ni Shetani ,pambana Kwa kuomba na kuamua kuanza,mimi namshukuru sana Kaka Joel Mungu amlinde kila siku ,alinifanya nianze,siku nasitasita kuanza nikakutana na somo lake hapa linasema USISUBIRI KUANZA ANZA KUANZIA SASA,hauwezi amini baada ya wiki mbili nilianza kwahiyo nikutie moyo tu Anza tafadhali usiwe mwoga sawa
@HeavenSumari
7 ай бұрын
Shukrani ubarikiwe joel
@stanleyandrea5153
7 ай бұрын
Shukurani sana
@julianalaly2095
7 ай бұрын
Asante sana
@aderiderkihupi7240
6 ай бұрын
Asante
@djramsoyusuph9661
7 ай бұрын
Najiungaje
@vanessasalema6087
6 ай бұрын
Noted .
@AbuuSalha
25 күн бұрын
Hiyo courser naipataje
@5fivestudio-h6u
7 ай бұрын
Thanks
@rustiqrustiq6337
7 ай бұрын
Hadi nmelia
@Yusuph-c2g
7 ай бұрын
Asante ndugu umefungua akili
@BelindaObedi
7 ай бұрын
Mungu akulinde
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏🙏
@EmmanuelKavumbu
7 ай бұрын
Asante Kwa kunipa hii chai, Mimi nimegundua ni mvivu nimeridhika ujinga
@joelnanauka
7 ай бұрын
Ongeza bidii songa mbele
@Dulla_kite
7 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤸🏾🏃🏾
@mahambagislain9618
20 күн бұрын
🎉🎉❤✍️🇨🇩
@erickathanas
6 ай бұрын
Kaka nilikuwa nimekata tamaa lkn somo lako limenirudisha kwenye tumain Tena
@RICHARDWAUSA-ep4xe
7 ай бұрын
❤
@NSCCLORUVANI-TAG
5 ай бұрын
Naitaji hiyo kozi, please
@janetmbwana553
7 ай бұрын
Kiukweli Nina kila sababu ya kutafuta potential yangu😢 sipaswi kabisa kubaki hivi nilivyo
@FaricevitusiNkane
Күн бұрын
mm ninauwezo wa kulima na kfanya biashala ya ulembo na kuwa kiongozi kwenye familia
@goldiegranted5501
7 ай бұрын
🎉🎉🎉
@WilliamSospeter
6 ай бұрын
Absolutely 💯
@tumainselestine3398
7 ай бұрын
Kwa yeyote ambaye anatamani kujoin lakini kwanjia ya Online utaratibu umekaaje Mwalimu.
@monicakilatu5780
6 ай бұрын
Gharama ni kiasi gani
@ruvinaanold5983
5 ай бұрын
Nakukubal boc
@kadoluxclassic5634
7 ай бұрын
Chai yangu kila siku nikupata mafunzo kutoka kwako
@NyakendaKandole
21 күн бұрын
kaka joel nahisi ninakarama ya kuongea na watu na kuwashauri pia lakini sijui nianzie wapi
@Coachsamwel
6 ай бұрын
You're talking with me here....
@IsmailRamadhani-ul9wc
6 ай бұрын
Visit Vizur
@JamesIzra
7 ай бұрын
Unapatikana wp kaka
@bongatv25
7 ай бұрын
Kwenye kukitafuta ukijue nahisi uwezi kukitafuta unacho kitafuta ndo wewe
Пікірлер: 107