Sawa Lilian lakin mhona unajieleza pasipo kuulizwa maswalii lakn unajieleza vizuriii...nimeipenda iyo
@safiyabenda9535
Ай бұрын
I love her🥰
@danielmsanga
Ай бұрын
Umeua mzee ommy
@RoseMsiani
Ай бұрын
Zdaaah kwel unafaa maan unaongea Atari
@hassanimsizilo
Ай бұрын
Unyama sana
@Better0world
Ай бұрын
Ila harmonize😄
@BerthaModest
Ай бұрын
Mnajiendekeza snaa
@enjobw5682
28 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@salimjumaa8180
Ай бұрын
Hyu ndio yke dda alileta mchakato mzima wa wtoto wa elfu mbili sio.
@m.vmediazawadi4570
28 күн бұрын
kazuli sana kama lulu eliza
@modestmkali3436
26 күн бұрын
I do love Lil Ommy, mambo ambayo watu wanachukulia negative huwa anajutahidi kuyachimba ili tujue ukweli, firstly watu walikuwa wanachukulia huyu binti kama vile ni katoto kadogo, pili walikuwa wanamchukulia kama vile ni muhuni tu na hana elimu yoyote, now tumejua kuwa kwanza sio mtoto, maana kama kasoma miaka mitatu chuo kikukuu na akamaliza 2017 maana yake sio mtoto mdogo, but also ni msomi, ana akili, from now on mpeni heshima yake
@suzymike78
Ай бұрын
Kanajiamini sana
@mussambilinyi423
21 күн бұрын
Mcheshi sana huyu bint
@user-gh3zf4ow4c
Ай бұрын
Lema WA wapi jaman
@redmarkcreations45
Ай бұрын
Lema ni mchaga
@user-gh3zf4ow4c
Ай бұрын
@@redmarkcreations45 Namm ni mchaga halafu ukoo wangu pia ni lema
@kimchi-91
28 күн бұрын
Nigeria 🇳🇬
@user-gh3zf4ow4c
28 күн бұрын
@@kimchi-91 Mim natokea Kilimanjaro Kijiji cha kyier
@nancyg8664
27 күн бұрын
@@user-gh3zf4ow4c😮kumbe unajua af sababu nawewe ni lema. ulikua unatujaribu au
Пікірлер: 22