Awamu ya pili ya ziara #Miaka10 #WanachamaMilioni10 inaendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi.
M/Mwenyekiti Isihaka Mchinjita Dar es Salaam na Morogoro na leo yupo Kinondoni, Katibu Mkuu Ado Shaibu atazuru Kusini na Kanda ya Ziwa na leo yupo Maswa Magharibi, Kiongozi wa Chama Mstaafu Zitto Kabwe yupo Nyanda za juu Kusini na leo yupo Mbarali - Ubaruku
#taifalawote #maslahiyawote #habari #habarileo #thefutureispurple #habarizauhakika #miezi10 #wanachamamilioni10 #actmedia
Негізгі бет LIVE 🔴:MAKAMU MWENYEKITI ACT WAZALENDO BARA KUWASHUKIA WAMINYA DEMOKRASIA
Пікірлер: 1