Hamisa Kabarikiwa sana....... Nguvu anayotumia Lulu kumuongelea Hamisa na watoto tofauti kabisa na Hamisa anapoulizwa kuhusu lulu na familia yake .....Hamisa amekuwa humble sana
@righitkileo
2 ай бұрын
❤❤❤❤Nakupenda bure Lullu❤❤❤ una akili sana ❤❤
@lizzygabriel9601
2 ай бұрын
Iko hivyo ukimpa mtu kitu mara moja ataona msaada ukimpa mara ya pili na yatatu anafeel entitled, kwamba ni haki yake ama ni wajibu wako kumsaidia
@ChenchiKing
2 ай бұрын
Uwaga Nawakubali Xana Hii Tv Mnajuw Kutupa Raha Tunazohitajii❤❤🎉🎉
@smartonlinetv5144
2 ай бұрын
Sio kwamba sina pesa.......la hasha, Bali sina pesa ya kukupa. Hiyo ni nzr na nimeipenda Millard
@benancejohn1198
2 ай бұрын
Sema Lulu nimemuelewa sana.
@user-pt5we2gu4l
2 ай бұрын
Vizuli sana lulu nakupenda sana mana huna makuu❤❤❤❤❤❤
@bintimohamed2646
2 ай бұрын
🙏🏽👍👍❤️🌹💯
@merinakassembe4251
2 ай бұрын
Lili hamuezi Hamisa nöbete nijirani yangı tegeta horoza moja
@CharifaImurane
2 ай бұрын
Mi nampendaga Frida jmn❤❤❤
@aminmohammed4249
2 ай бұрын
Nkupe namba zake😎
@Bwenge-minecraft
2 ай бұрын
hiyo nikweli kabisa 👍
@magrethmanintveld5477
2 ай бұрын
Jamani yaani kama mimi
@sumayaishengoma4543
2 ай бұрын
Amani ni kila kitu jamani..
@LucyRaia-sx8jk
2 ай бұрын
Daa
@assengamn
2 ай бұрын
Kamati ya wachoyo mmekaa kama watu 😂
@merinakassembe4251
2 ай бұрын
Na buncu ana viwanja viwili mikataba kama yote influenza escortand money
@user-uj5wg9mm2t
2 ай бұрын
Kanaongea sana mbk kero,,humo ndan nazan moto majjizo anakutana nao,,ndiomana hta kuchana nywele sometimes anashindwa na kunyoosha nguo huwa hanyooshi
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
Hahahaha
@salhamlanz9806
2 ай бұрын
😂😂kisabufa nchi shido sana hii
@DM.2200
2 ай бұрын
Acha makasiriko wee😂😂
@zainabramadhani9838
2 ай бұрын
Waandishi bila kumtaja Hamisa hamuoni raha Alisha move on jamaniii muacheni Aishi Kwa amani huyu dada Elizabeth Michael ni mshari Kila akiulizwa swali kuhusu Hamisa anajibu mbovu anaonekana ana chuki moyoni
@mwajabudegwa
2 ай бұрын
Sas kajibu mbovu gan apo
@catherinekiwipa9271
2 ай бұрын
@@mwajabudegwasindo hapo
@DM.2200
2 ай бұрын
Wala hajajibu mbovu ni wew na makasiriko acha izo 😅😮
@fatmaallyabdul1732
2 ай бұрын
Acha makasiriko wewe
@MatyldahMkandoe
2 ай бұрын
Achana na lulu .....wewe nenda ukojoe ulale na makasiriko yako😅😅😏
Пікірлер: 27