Mkuu wa wilaya ya korogwe Kissa Gwakissa ametoa asilimia 15 ya fedha zilizokusanywa katika korogwe min marathon iliyofanyika leo kwa ajili ya wahanga waliokumbwa na mafuliko ya maji yaliyosabisha vifo na watu kukosa makazi kwa ajili ya kuwasaidia katika kipindi hiki kigumu wanachopitia wakati mvua zikiendelea kunyesha wilayani humo katika maeneo tofauti tofauti na kuwataka watumia wa barabara ya korogwe segera wapitie njia ya Handeni ili kurahisisha usafiri kuliko kukaa mda mrefu kusubili maji ya pungua barabarani
- 4 жыл бұрын
MAAMUZI YA DC KOROGWE BAADA YA MAFURIKO WILAYANI KWAKE, ATOA FEDHA KIASI HIKI KWA WAHANGA
- Рет қаралды 17,269
Пікірлер: 8