Kama nawe unaamini Arusha ni Nchi nipe like twende saw 😂😂😂
@michaelthobias9967
11 ай бұрын
Nikushauri huwenda hujajuwa ulicho andika kina mana tofauti ktk maswala kuwa makini na ulopokaji usije kuwa mhaini
@michaelramadhan9466
11 ай бұрын
Mhubiri 12:1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
@laurnyandwi-sb1gu
11 ай бұрын
Arusha kazi IPO.., mungu auponye huu mkoa Mana Hawa wagalatia sjuwi nani aliyeroga😢
@MursalMursal-op3ly
11 ай бұрын
Hahaha alikua mdudu wawatu 😂😂😂
@happyshayo2321
11 ай бұрын
Hahaha
@user-yn6yu9zl1p
11 ай бұрын
Kweli
@hanifatanzania7258
11 ай бұрын
Hahaa
@user-yn6yu9zl1p
11 ай бұрын
Nihatari sana
@epema632
11 ай бұрын
Mnasema Arusha, Jamaniiiiii.... Bora Arusha wanaume bado wapoooooo!!! Sitaki kutaja mikoa yenu... ❤️❤️❤️Chuga
@lucasmhagama8166
11 ай бұрын
Huko ni kupotoka Arusha day after day vijana wanazidi kupotea kwa sifa za kipumbavu
@johnycavishe5207
11 ай бұрын
Kwishaaaaaa
@rachelsimon2876
11 ай бұрын
Jamani huyu kaka alikuwa mteja wang mpole anapendwa na watu imetuuma sana hapendi ugomvi. Tuishin na watu vizuri hakuna ambaye hajaguswa na huu msiba
@saliminyusuph6122
11 ай бұрын
Alichokitafuta amekipata. Kila nafsi itaonja umaut
@hermankihwili1095
11 ай бұрын
@@saliminyusuph6122 kwa hiyo ume furahi mwenzako kufa?Idiot
@agnesjohn9382
11 ай бұрын
Alikuwa mteja wako wa gongo au 😂😂 maana mwenzie kasema alikuwa anameza nae gongo
@cosmasthomas9164
11 ай бұрын
Kweli huko arusha vijana wamevurugwa kweli!!😂😂😢😢
@angelmsuya6487
11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atulinde Kwa Kweli🙏🏾❤️
@michaelsamson9663
11 ай бұрын
Uomkoa niwakuangalia kwa jicho lakipekee wanawake wamevulugwa wanaongea kiswahil chakihuni sana ukija kwa vijana wakiume ndioshida kubwa zaidi 😓😓
@imamuhamisi4421
11 ай бұрын
Nimekaa Arusha sometimes wanasifa tu wakiona camera nd wanajishebedua kuongea ivo ila ukiend chuga au ukiish utajionea wanaongeag tu kawaid la afudh yao , ila sas wakiona camera sijui waandish ndo wanachangany uhuni
@michaelsamson9663
11 ай бұрын
@@imamuhamisi4421 adi tunaogopa sasa
@yusuphswai6851
11 ай бұрын
@@imamuhamisi4421wandish wahabar wanawaeka hao wanao hongea kihuni ila mtu ukiongea kistarabu wakurush
@lucasmhagama8166
11 ай бұрын
Alafu kazi kusifia upuuzi wakati wanazidi kupotoka huu upumbavu kabisa
@fatumabakari2640
7 ай бұрын
@@yusuphswai6851😂😂😂😂
@suleymansalim5732
11 ай бұрын
YANI VIJANA WANABOA HAWA WANAJIFANYA WASELA KWELI YANI.
@marrypius576
11 ай бұрын
Nimasela ndio na hiy ndo ongea yao au wew sio wa chuga
@kakaaignas3675
11 ай бұрын
Sio pouwa
@mayaally2512
11 ай бұрын
Sio wanajifanya ni masela kweli
@samuelmwangu3301
11 ай бұрын
“Jamaa alikuwa mdudu wa watu” 😂 😂😂 Arusha ni nchi nyingine kabisa🤣
@user-op7zl7fo1r
11 ай бұрын
Yaaan hawa watu n watu wengine 😅😅😅
@barakaleader1550
11 ай бұрын
Umenena Vyema
@Octavinaelisa-fn6js
11 ай бұрын
Ahahahaha
@hamiduhamisi2371
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa hii itakuwa miksa na kenya
@dannymoses1882
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@lucasmhagama8166
11 ай бұрын
Tuache kuwapotosha hawa vijana wa Arusha kwa kuwapa sifa za kijinga wakati wanazidi kupotea mnazidi kuharibu taswira ya Arusha kila siku
@phinaswai4718
11 ай бұрын
Shida ni kwamba sio rahis sasa
@sifatiiman
11 ай бұрын
@@Djray255nyinyi ni wasenge tu kama wasenge wengine sifa za kijinga zitawauwa sana
@abdulyabdunuru1476
11 ай бұрын
Hawa watoto pumbavu sana wanajiona wao miamba Kumbe kamas tupu wake kahama waone chuga wenzao wanavyo jichanganya huku wengine mason now
@danielromario5183
11 ай бұрын
bora hao kuliko wanaokuwa mashoga kama daslam
@nyaticarriersllc3075
11 ай бұрын
Mwenye alituletea madawa ya kulevya !! we don't have the future in our society. Drugs Drugs!!!
@JailosPhilbert-vd5is
11 ай бұрын
1997 ni mdogo sana Mungu wasaidie vijana wetu
@shanifesto9037
11 ай бұрын
Mji wangu mungu atusaidie Kwa kweli ,,hata kama ni rambi rambi sio kusimamisha magari ya watu,,🙌
@delsonandrea5223
11 ай бұрын
Arusha mm siwez ishi kabisa
@KingKing-jt7zd
11 ай бұрын
Me niko uku lakin naona panishnda kabsa
@sistymbombo1616
11 ай бұрын
Arusha baadae ya miaka mitano hakuna wazee wa busara kama vijana ndo Hawa wore wanapata kitu Cha Arusha ni hatari sana
@tegemeareuben7618
11 ай бұрын
Umakini jamani Arusha tumepoteza vijana wengi mnoo May God forbid 😢
@degreatprime
11 ай бұрын
njoo uone maendeleo kulko mkoa wenu😅
@josephluvanga5233
11 ай бұрын
Lema Alisema Mkasema Hawa Ni Maafisa Usafirishaji 😢😢😢😢
@leokamil6284
11 ай бұрын
Na bado zimeletwa nyingi za kuwapa ili wawapigie kura ,cha ajabu hawa wanaoenda kupewa watashangilia sana.lakini wamesahau kuwa wanapewa ili waendelee kujichicha huko mabarabarani na hawawaulizi mnatupa hii kwa kisingizio ati ni ajira je watoto wenu wana ajira hii hii mnayotupa sisi watoto wa maskini ?
@hijazhija316
11 ай бұрын
Ok wataftie ajira
@ilakozasembumende1975
11 ай бұрын
Mwendo wa buku😂😂😂😂😂😂😂
@michaelmaja-1699
11 ай бұрын
Umeonaee. Hii ni kazi ya laana.
@sumamwashamwasha3286
8 ай бұрын
Kuna mwendo wa buku Kuna wa buku jero na buku mbili😅
@dallasmusic6465
11 ай бұрын
Mtayakumbuka maneno ya @God bless lema .....vjana wanaisha
@aderanderwa7623
11 ай бұрын
INJILI YA YESU KRISTO INAHITAJIKA SANA ARUSHA
@aishahamisi5854
11 ай бұрын
Kabsa yan
@mcback4384
11 ай бұрын
Huwezi amini hakuna mkoa Tanzania wenye radio nyingi za injili kama arusha
@mlewamlewa976
11 ай бұрын
Point kabisa dad
@richardchristopher589
11 ай бұрын
Vijana wamepotea. Kimsingi hakuna vijana kbsa wanafikilia maisha ni simple km wanavyofikiria.
@syliviakente9460
11 ай бұрын
Wengine ni.mkumbo tu
@MursalMursal-op3ly
11 ай бұрын
Tatizo bangi wakishavuta wanajiona wapo juu ya kila kitu
@jonassenkoro177
11 ай бұрын
We unae fikiria maisha umefkia wap
@hallowkij5677
11 ай бұрын
@@jonassenkoro177. unauliza utumbo.
@aboutz1733
11 ай бұрын
Doh😢 inasikitisha. Ila wahuni wanavyoongea sasa inabidi ucheke kwa huzuni tu haina jinsi. #Chuga❤
@kakaaignas3675
11 ай бұрын
Kabisa
@fridaphilemon8898
11 ай бұрын
Lema alisema akatukanwa haya😢
@leokamil6284
11 ай бұрын
Wameletewa za bure ili wazidi kujiua ila watoto wao wanawapa ajira shule wanasoma nzuri kwa kodi za mlala hoi.Mtoto wa mlala hoi anadanganywa kwa kupewa pikipiki ili atoe kura ya ndio akisahau anapewa kifo ati ajira ,ajira mbona kama ni ajira wao hawaachi kazi wakawa na ajira ya bodaboda.
@user-wr3pu4ng9j
11 ай бұрын
Tuachieni arusha yetu❤
@gmavoice1893
11 ай бұрын
Love from home kaskazini ❤❤❤❤❤❤
@josephatmathiasgalagalabuh786
11 ай бұрын
Nimependa wanavyogeuza kuwa sasa masikini ndio wanazikwa kwa umaarufu
@antoniamkilindi7744
11 ай бұрын
Duh arusha nawapenda sana ❤❤❤❤❤
@nelsonjonathan7660
11 ай бұрын
Uhuni usio na maana yoyote😢
@MatonangeMathias
28 күн бұрын
Polee sana
@elizabethismile6827
11 ай бұрын
Arusha,🙌🙌🙌🙌 lakinii daah polenii
@deborahcharles4916
11 ай бұрын
Naipenda sana arusha sabu hawataki ujinga
@jay-nyeye1900
11 ай бұрын
Vijana wanapenda kazi ambazo hazitumii nguvu ndiyo Mana vijana wengi wamekimbilia kuwa madereva boda boda mbona hii nchi ina mashamba si wakalime waache kulalamika 🙌🏽
@joycesanga4378
11 ай бұрын
Yaani mtoto wa kike anaongea kiswahili cha kihuni mama wa baadaye huyo da wachaga shikamooo
@josephkigembe-ec4pq
11 ай бұрын
Watengenezee soko la uhakika uone kma hawatalima, shida soko mjomba alafu wasafiri kibao, utachagua mwenyewe. Serikali ndo mchawi ila kupitia vijana hawa tunaowaona inajichimbia kaburi. Sema nn, vijana wa mikoa mengine jiandaeni kufanya kazi Kaskazini soon wazalishaji hakuna kule.
@josephkigembe-ec4pq
11 ай бұрын
@@joycesanga4378 so Mama wa baadae, hapo alipo yupo na watoii 3.
@blessedg871
11 ай бұрын
Achana na mawazo mgando jombaa. Yaani hiyo kichwa umebeba haina ubongo au? Boda ni kazi nyepesi wewe panya?
@@karimjuma4019 ni wajinga na malezi nayo huchangia
@blackeagle4441
11 ай бұрын
ARUSHA kama California 🔥🔥🔥❤️🙌
@lucasmhagama8166
11 ай бұрын
Ujinga tu vijana wanazidi kupotoka na kupotea mji inazidi kuharibu taswira yake nzuri Hivi sio vitu vya kusifia ujinga tu
@blackeagle4441
11 ай бұрын
@@lucasmhagama8166 ulilala na malaya gan mkuu jn 😏😏😏nyie ndo wale mnao kufaga kama konokono
@nelsongabriel6324
11 ай бұрын
Arusha 🙌🙌🙌🙌
@user-kq5si5pv9n
11 ай бұрын
Safi sana kinukisheni
@Djray255
11 ай бұрын
Peace kwa wadudu wote Nchini chuga 🔥🔥🔥
@inukauleunywe5717
9 ай бұрын
Wadudu...hili neno Mungu asimame
@shabaniduduma8885
11 ай бұрын
Hawa wataisha wengi mno kwa kuwa washamba,sifa na kujifanya wana ujasiri wakisenge hivi
@issamohamedi9225
11 ай бұрын
Kwan wewe utaishi milele
@phinaswai4718
11 ай бұрын
Wewe unamkataba wa milele??
@mafurumatijo8803
11 ай бұрын
Mungu akubariki hawa vijana saidia familia yangu.
@kikalarashid9003
11 ай бұрын
Madogo wapumbavu sana!! Shenzi kabisa!!
@tato8979
11 ай бұрын
Hatari kweli wadudu wakutosha arusha
@user-jr3mo3je3k
11 ай бұрын
Dah lkn Arusha Arusha mungu anawaona et mdudu jmn
@zoizanzibar5923
11 ай бұрын
Umakini unahitajika @ZOI Zanzibar
@YahayaHamadi-lz6ic
7 ай бұрын
Poleni.sana
@neemalema5312
11 ай бұрын
Watu makini Chuga ❤
@JohnMalengua-jh6ps
6 ай бұрын
Duu Arusha hata kiwahili chao nitofauti sana, kweli ni shida
@user-dv2jo9yq2s
11 ай бұрын
Mungu akulaze pema ndugu yangu tumeumia sana
@bensonjr4879
11 ай бұрын
Arusha kuna Usenge mwingi sanaa
@mbecheterombeche3375
11 ай бұрын
Wadudu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@razackndeze-pv5bm
11 ай бұрын
Mbona mateja kibao, Arusha noma
@kichwachafamilia
11 ай бұрын
Mungu simama baba
@jumabisale9974
11 ай бұрын
Kwa mahojiano haya siwezi kwenda kuishi huo mkoa, maana inaonekana 70% ya vjana ni wahuni tu, yaana watu wamevurugwa,kuchafukwa khaaaah!!!
@daniellevoso523
11 ай бұрын
Dunia tunapita 😭😭
@JOHNLAINZER
3 ай бұрын
Poleni sana
@emanuelleopod3949
11 ай бұрын
Yaani Arusha kuna watu wamepinda sana yani
@syliviakente9460
11 ай бұрын
Cha Arusha
@Jackylmariam-qy6qe
11 ай бұрын
Ushamba mwingi Arusha lugha chafu hawaoni aibu
@shaushaibu9792
11 ай бұрын
Hapo mzima ni diwani hawo wengine chenga akili mbili😂😂😂😂
@user-ye1eu9dh6n
7 ай бұрын
Arusha kwa pikipiki❤😢
@mercyherbert8978
11 ай бұрын
Arusha aisee yan vijana wanajiamini siku nmeenda kule najikuta rafudhi kama wao ila wanaupendo ukikutana nao wape hi katiza mitaa unakuwa salama hata upite chochoro gani usumbuliwi ukipeleka ubishoo unaumia.r.i.p fundi.
@yusuphswai6851
11 ай бұрын
mambio yasio kuwa na maana na kutofat sheri za barabar zitatuw wote tukilet mchezo
@mrambadiana9678
11 ай бұрын
Masela mavi
@petercostakisoka
11 ай бұрын
Daah kweli uyo chalii anayo watu wa kuzidi
@mafurumatijo8803
11 ай бұрын
Wanakula sana mirungi
@marcominja8850
11 ай бұрын
Dah! Mwendo wa buku ni kutaka kujiua? Ili bodaboda apunguze spid ni lazima mteja alipe zaidi, ni ujinga ulioje hao vijana kuhatarisha maisha.
@HusnaSimbila
10 ай бұрын
Dah serikali isimame na arusha vijana wamepotea
@user-fr8li9vj9v
11 ай бұрын
Arusha rudieni mungu
@aloyceandrew1855
11 ай бұрын
Arushaa❤
@WilliamWilliamJ-ik6ym
10 ай бұрын
Mambo
@khadidjasuleiman8006
11 ай бұрын
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 🤔 ni mtihani kabisa 🤔🤔🤔
@HalimaNyauba
11 ай бұрын
Arusha Arusha Arusha nakuita mara tatu...Arusha mmempasua ubongo kakaangu akiwa ndani ya gwanda za serikali nyie ni nchi nyingine kabisa kiukweli ubinadamu wenu ni hadi muamue wenyewe ...
@ibrahimmagere5545
11 ай бұрын
Polisi inabidi wachukuwe hatua mapema kudhibiti hizi tabia za hawa vijana wa Arusha. Hili ni bomu
@blackeagle4441
11 ай бұрын
Asa kama ni chalii yetu alitembea tunaeza acha kulwenda kumzika mbona na ww unakoroga ba mdo😠
@dextech2023
11 ай бұрын
Huna akili tunahitaji vijana waliochangamka kama hawa hili nchi limelala sana
@lucaspaulo5371
11 ай бұрын
Hawana shida na mto hawadhuru.
@user-ou7jp8ug7z
11 ай бұрын
Umoja ni nguvu apaaa nikweree
@pascalphilemon9916
7 ай бұрын
Poleni sana vijana wenzangu ! Ila kutokana na mazoea mlonayo kutojua thamani ya kuvaa helmet kwa sababu zenu binafsi, basi endeleeni tu hatuna cha kiwashauri zaudi ya kuwatazama kama picha kila majanga yanapotokea
@rosefredy5398
11 ай бұрын
Kiswaili chao sasa mimi hoii kihuni kihuni tu hahahahha
@user-il5pk2dr5n
11 ай бұрын
Mnawapa sifa hawajielewi.
@amanimanase8798
11 ай бұрын
Upumbavu mtupu usio na mwelekeo kwa vijana,wanajifanya wahuni afu kazi hawataki wanataka maisha laini,aisee vijana wa arusha badilikeni uhuni wa kuongea lafudhi za kiduanzi acheni,angalien maisha sio rahisi ivyo
@christinagervas2134
11 ай бұрын
Hiyo ndio lafudhi yao na hakuna kitu inaeza wabadilisha.
@IamRaySmartTz
11 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@RojazTz
11 ай бұрын
😢
@fatmahamesa2449
11 ай бұрын
Katika habari zote hii ya leo kiboko 😂😂😂😂
@mkuluwaukae2221
11 ай бұрын
Miami
@jay-nyeye1900
11 ай бұрын
Arusha wana uhuni wakishamba 🤣🤣🤣🤣🤣 uhuni wa kichoko 🤣🤣🤣 Dar wahuni wapo ila asilimia 90 wahuni wanajielewa sio hawa wa Arusha wapuzi wapuzi tu
@adolfmathew9698
Ай бұрын
Sasa dar Kwa machoko unataka ufananishe na chuga yenye wahuni. Chuga mtu kuanzia anazaliwa had anatembea anakua kakulia kwnye unyaksi arif
@agnesmartin5716
10 ай бұрын
MUNGU aibadilishe Arusha inauma Sana vijana wetu wanaangamia kwakusa maarifa jaman
@bavonichristopha1693
11 ай бұрын
Daah chuga nouma sana mwamba anaitwa apeche haloloo
@salmamlokela1987
11 ай бұрын
😂😂😂acha tuu
@DonPrince11
11 ай бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi
@ausonjustinian4673
8 ай бұрын
Poleni macharii. Ila punguza au hacha kabisa Bang
@user-ne8yu5io4e
11 ай бұрын
Enyewe😢
@hilaliusjohn8386
11 ай бұрын
Hawa vijana wanaongea Kama mateja
@sylvestercameo6263
11 ай бұрын
So Kama mateja, ni mateja asilia!
@user-ff8jq8nz1n
7 ай бұрын
Alo balaa lipo kwakweli mungu awasaidie 😢❤❤
@christinesulle5051
11 ай бұрын
Uwiiiiii jamani hii ya Meru kweli ni organic ila Mungu atuokoe
@bakarikolumba9660
11 ай бұрын
Enyew...! 😂😂 apocho alolo nawaelew machalii
@MohammedAli-rh5si
11 ай бұрын
Hatari sana
@GracePaul-vj9hw
11 ай бұрын
Enyewe enyewe enyewe
@mokhancarlito
11 ай бұрын
wakiona camera sifa nyingi kumamae
@user-ot7wh1jy6t
11 ай бұрын
Daaah nacheka kama mazuri vile ila naipenda Arusha yangu
@ameenamohammed4413
11 ай бұрын
😢😢😢japo hawa vijana wanakosea lakina wanaupendo sana yaani 😢 serikali iwape ajira vijana waachane na bodaboda zitawamaliza 😢😢
@ashuuuaisha9122
11 ай бұрын
Hizo gari je. Maaana kila siku wanakufa
@carlyboytz
11 ай бұрын
Wana umoja
@ImamuIdarusi
11 ай бұрын
Yan hawa wa2 wa aruxha wanajiona kama wanaixhi kwenye nchi yao
@imamuhamisi4421
11 ай бұрын
Naitw bahati na sibu kuish dunian majaribu😂
@user-op7zl7fo1r
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah et alikua mdudu wa watu
@agnesjohn9382
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 du hawa jamaa wamepinda aise
@agnesjohn9382
11 ай бұрын
@@user-op7zl7fo1r😂😂😂
@FrankMsenga-gy4tn
11 ай бұрын
Wengi wanao laumu wanashindwa kuelewa juu ya ukuaji wa utanda wazi na hata hyo kuongea sio matendo mbona na sio vichaa ni watu na wanaendesha maisha yao tu tena vzr tatiz linakuja juu ta tafasiri za mikoani naomba niandike tena kwa herufi kubwa @ARUSHA haina shida na watu wake tupo salama na tunaendesha maisha
@blackeagle4441
11 ай бұрын
Mkuu njoo billiys Leo una kreti yako Moja nalipia🔥🔥❤️🙌
@eliashibundabalinze2754
11 ай бұрын
Hapo umeandika, je ungeongea si ndo walewale.... Eti jamaa alikuwa mdudu wa watu
@deboramakala3044
11 ай бұрын
Mnachotakiwa kuelewa hapo ni wanafanya tu usanii kwenye camera lakini kwenye maisha ya kawaida huwezi kuwakuta watu kama hao mtaani tena wengi wana kazi zao nzuri tu na wengine ni watoto wa wachungaji nyumbani wanatulia tuli na kanisani wanaenda 😂
@deboramakala3044
11 ай бұрын
Ni usanii tu msiwaogope,wanaoishi Arusha wanawaelewa
@blackeagle4441
11 ай бұрын
@@deboramakala3044 mama sanamu lako pakulieka najua mwenyewe❤️❤️❤️🙌
@bagoomary8358
8 ай бұрын
Alusha sio tz kwakeli🔥🔥🔥😂😂😂😢
@mfalmekaitaba2425
11 ай бұрын
Dah!! Ety kuna mwendo wa buku,buku jero na buku mbili..
Пікірлер: 534