SIFA KWA MUNGU ALIYERUHUSU UZALIWE TANZANIA JPM MUNGU AKUPE NGUVU YAKULITAKASA TAIFA KILA KUKICHA AMINA
@Bayoz7
5 жыл бұрын
jeny yusuph Mungu aendelee kumuongoza na kumbariki
@makalasaigoni2275
5 жыл бұрын
mm kura yangu ya 2020 natoa leo leo kwa magu
@scayroad8500
5 жыл бұрын
NATAMANI UONGOZE NCHI MILELE MUNGU AKUPE ULINZI WANAOKUCHUKIA WOTE NI MAFISADI WALIZOEA KUKOMBA PESA ZA SERIKALI.
@bushbabytz
5 жыл бұрын
milele??
@nachatvonline2996
5 жыл бұрын
Mungu akutangulie my president nakuelelewa sana
@mohamedimikidadi683
5 жыл бұрын
Mzee noma sana huyu namkubari kinoma
@valenakomba7686
5 жыл бұрын
NOT EVERY EDUCATED CAN BE ABLE TO A LEADER OR TO LEAD . TO BE A LEADER IS SOMETHING THAT SOMEBODY BORN WITH , IN OTHER WORD YOU CAN CALL IT A TALENT. SOMETHING YOU DON'T NEED TO HAVE A UNIVERSITY DIPLOMA FOR.
Muungano women groug kinatoa mafunzo yote ya ujasiriamali,karbuni sana wanawake tunaweza
@babanjuru8738
5 жыл бұрын
Uko vizuri magu
@mr.erickmwacha8575
5 жыл бұрын
Big up mzee baba
@ramadimbegu7996
5 жыл бұрын
KanyAgakanyagaTzTwende mbele
@mr.erickmwacha8575
5 жыл бұрын
Wewe unamchana mtu live. Sema wanaokuangusha mzee ni watu wako ndio wenywe. Rushwa tu
@alexandersonmbembela5328
5 жыл бұрын
vunja mpaka ikulu wakikuletea upuuzi
@benjamineliastz8130
5 жыл бұрын
Be blessed my president
@pmpmediatz9752
5 жыл бұрын
Millard ayo satute i appreciate u bro, never lose
@fedrckjacobo5129
5 жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania🇹🇿👈👉🇹🇿👊
@saidiyusuph5577
5 жыл бұрын
Ukweli mawaziri wengi wanawadharau wananchi, ila wanawaheshimu wananchi wakiw kwenye majimbo yao
@sigfredmawole2336
5 жыл бұрын
Wakati wa kumbe kura tuuu
@rahimaaaaa8699
5 жыл бұрын
MH. HAUNAGA LIKIZO?
@chumizola1847
5 жыл бұрын
Halafu kuna "Mburundi" mmoja wa Kigoma anathubutu kumshambulia Rais wetu JPM kwa hoja zisizo na maana!
@policeayoub8355
5 жыл бұрын
Nani huyo
@chumizola1847
5 жыл бұрын
@@policeayoub8355 aahahha wewe ni Police lazima utakuwa umeshajua ni nani anaongelewa
@malale4580
5 жыл бұрын
2020 tujiandae
@cathberthenjewele2533
5 жыл бұрын
naelewa kazi
@franciskavyega280
5 жыл бұрын
Nothing is permanent
@karimmkejina980
4 жыл бұрын
Katiba ibadilishwe jpm aongoze miaka20
@user-qf6zv9zq3v
5 ай бұрын
❤ hakuna raisi karika inchi za africa tuna weza fananisha na magufuli alikwa mtu anaye penda inchi yake alafu ni ANTI corruption R.I.P😢
@philemoncharles3181
5 жыл бұрын
#Tarakea
@rogaciandeodatus6529
5 жыл бұрын
Hatakaa akanyage hyo sehem kwa walichomfanyia🤣
@mwamvuaulled7755
5 жыл бұрын
kura yangu haijapotea bure
@gabrielmalecela3701
5 жыл бұрын
Hiii ni 2020 ishafikaaa lazma kauli nzuri ziwepoooo.....let's wait to see .......time will tell
@hassanmirambo564
5 жыл бұрын
Gabriel Malecela acha ushoga wewe kwani leo ndio anaanza kuongea katika hali hiyo tatizo ni malezi ya kulelewa kijinga ndani ya nyumba mwenye sauti anakuwa mke kuliko mume nyie watoto ndio zao hilo,eti 2020 kauli nzuri,bila shaka utakuwa unaishi Dar maana vijana wa Dar 85% akili zenu kama mashoga wanaojielewa ni wachache sana
@gabrielmalecela3701
5 жыл бұрын
@@hassanmirambo564 nashangaa saana kuona mwanaume kama wew unasumbuliwa na hisia negative na kumtafsili baba akho kua shoga ....pengine kibuli na jeuli kulelewa na baba wa kambo ndy inakuchanganya we hata baba akho amekukataa mama akho c alibakwa kisimani ukazaliwaa # kama shujaa na mwenye akili yakufikilia unge comment wew kwa akili yakoooo brother # nishagundua wew una matatzo ya akili maana sio kila chiz lazma aokote makopo!...
@abrahamkibona7038
5 жыл бұрын
@@hassanmirambo564 Umemjibu vizuri huyu jamaa ila ungemjibu yeye kama yeye maana namimi nipo Dar lakini namuelewa rais tangu aingie madarakani
@hassanmirambo564
5 жыл бұрын
Abraham Kibona nilitumia neno baadhi nikijua wenye AKILI TIMAMU mpo
@jcconfleakkid8328
5 жыл бұрын
uyu jamaaa kuma kweli anaekwambia ata asipoomba kura apati uongozi ni nani wwe mwenyewe umezaliwa kwenye utawala wa ccm sasa inakuwaje unaandka umama jpm ni bonge la President wwe tena usirudie tena
@thomasmadaraka4853
4 жыл бұрын
Piga msumali baba
@MrKhatibu
5 жыл бұрын
Katika kila watanzania 260 wanaomuangalia Mh Magufuli kupitia KZitem, kuna watanzania 28 tu ndio hawakubaliani na uwadilifu wake.
@richardmaliwanga4565
5 жыл бұрын
Takwimu za lini?
@richardmaliwanga4565
5 жыл бұрын
Umetoa wapi takwimu hizi?
@MrKhatibu
5 жыл бұрын
@@richardmaliwanga4565 angalia thumb up and thumb down. Hebu jumlisha zote ukisha gawanya utapata jibu lako. Hio ni hesabu ya chumba chapili haitaji uwe na degree ya hesabu ndugu yangu
@MrKhatibu
5 жыл бұрын
@@richardmaliwanga4565 mgeni wa youtube inaonekana
@salehemkomwa4400
5 жыл бұрын
anko magu oyeeeeeee
@robertlinuma6051
5 жыл бұрын
Ukiwa nyumbn ukaongea mchanganyiko na kiingereeza ukitoka nje uongei kiingerrza shda nn ? Au akipand
@alphonceshirima4186
5 жыл бұрын
Unaweza kungatwa na mbu na kiingereza chako...
@reachthegoal7624
5 жыл бұрын
Wewe unataka kingereza au Kiswahili au maendeleo halisi yenye mabadiliko. Ulishasikia kingereza Cha rais wa Uganda. Huyu ni mwlmu by profession. Anajua kuchagua Nini Cha kusema ili kutimiza kusudi la watu kuelewa pia kuwafanya kutamani kujifunza KISWAHILI. Huyu watamwelewa wachache wenye akili. Wenye zilizooza wataendelea kuoza. Sisi tuamwelewa na tunachojua anatupeleka tuliootaka kwa muda mrefu. Mzee JPM piga kazi tuelekea kuvuka. Mungu asikuache hata nukta moja mihasidi ikarudi kutuumiza na ubinafsi wao.
@godfreylyimo4177
5 жыл бұрын
English inatusaidia nini Watz? Sisi tunataka kuona Rais anafanya kazi tu. English awaachie walimu wa lugha na wanaolipwa kwa kusoma habari za hicho kizungu
Пікірлер: 56