Inaonekana hii story ni nzuri sana ILA PRESENTER ndio tatizo...!
@estermgata9617
2 жыл бұрын
Mr. Bonnie Fete, I think it will be beneficial for you to trace who your dad is or was. Then take that information to the embassy responsible (Is it Italian? France?). Ask for any type of assistance that they can offer to you and your family. Usually, these countries they don't let their citizens to suffer
@ik3934
2 жыл бұрын
This is a good material but the presenter need to be more active especially on his tone!!
@calimahad9274
2 жыл бұрын
Interview imejaa ujinga wa rangi... inasikitisha kuona Interview imetawala rangi za watu. Kwa hali hii Wazungu wataendelea kututawala mpaka dunia itakwisha.
@clarisssimpenzwe6298
2 жыл бұрын
Wale ata ni weusi… wazungu gani 😜😜😜😜
@williamfelly7810
2 жыл бұрын
Try to write your comments respectfully. Uyu Journalist anafaa kazinzuri sana. Kama ungelimurekebishia, nivizuri umurekebishie indirectement; apana yawazi hivi >. Please, it's so genuines to think about others feelings and emotions because you don't know what's people are going through. Thanks.
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Unasema vibaya ulaya weusi wapo wengi , siyo mzungu ni chotara Yani minti
@williamfelly7810
2 жыл бұрын
Mtagazaji unafaa kazinzuri; lakini ujitaidi kuwa namutazamo ingine juya Peau noir na peau blash. Wazungu niwatu kama wewe; kuko ba intelligent naba moin intelligent. Kamavile ba noire kuko ba intelligent naba moins intelligent. Aussi ufanye utafiti juya question general na question personell wakati unafaa interview nawatu. Unafaa kazinjema kaka. Kwamazuri zaidi, fanya utafiti mingi juya maswali.
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
huyu dada akienda ulaya na kuvaa vile vinguo vya asili yao anakuwa mzungu kabisa kama wa huko
@deejeydaev
2 жыл бұрын
Content mbovu mnoooo sasa ndio nini kutuwekea beat badala ya interview.. total waste of MB
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Wacha ujinga. May be you dont understand kiswahil na français. Nous sommes tout çava pas de problém.
@matsarigi2986
2 жыл бұрын
Mash Allah mama ni mrembo mno❤️
@agnettakamugisha4984
2 жыл бұрын
Kweli "Kusaidiana ni upendo"❤❤❤
@يوسف-ح1ل9ن
2 жыл бұрын
Sasa mkichukua story hii mziki ndio tunaudkia kuliko sauti ya msimuliaji lirekebisheni hilo
@sidrasidra8616
2 жыл бұрын
Masha Allah ana binti mzuri🥰
@fatoumaahmed7670
2 жыл бұрын
Bravo Mr bon courage
@florianntulo5731
2 жыл бұрын
Wakati naanza kuitazama hii vidio nilijua ni Tanzania, dada anaongea kiswahili kuzuri sana, hongera sana dada,, ni wakati mwafaka kuindeleza lugha yetu
@josephkenga5627
2 жыл бұрын
Aende wapi hapo alipo ndio kwake na kwao, ardhi ndio utajiri mkubwa, na hao wako na mchanganyiko wa damu za mwaafrika;paradiso ni Africa, uzunguni hangepata hata kipande cha ardhi aite kwake;
@tinaa6671
2 жыл бұрын
She is so beautiful lady ❤️🥰🥰🥰
@bonifacechiuri2136
2 жыл бұрын
Exactly she can wonder in modelling world.
@balekelayiandre4735
8 ай бұрын
mon ami boni fête courage
@Jamie-zp7bb
2 жыл бұрын
Halafu we!! Mtangazaji wewe!! yaani unaweka hadi tege kabisa na sauti unaitolea puani. Unashindwa hata kuzificha hisia zako za kumtaka huyo mtoto na hali ya kuwa amekwambia ameolewa tayari. Mnapoenda kuwa interview watu zingatieni mipaka ya taaluma zenu😡😠😏mtakuja kutandikwa bure..
@dadaagnes4483
2 жыл бұрын
😆😆😆 kumbe umeshagundua
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Mpuuzi huyuu
@agnesmagembe9298
2 жыл бұрын
imebidi nirudie kuangalia 😃😃
@rehemavickie6521
2 жыл бұрын
Jamie umenichekesha eti umaeka hadi tege🤣🤣
@zainabually2968
2 жыл бұрын
Mashaallah binti mrembo yupo uko maisha ya kijijin
@esthernaya6489
2 жыл бұрын
Hahaha uamini warembo wako kijijini tu
@DBrownstain
2 жыл бұрын
MTANGAZAJI UMEBOA KISHENZ, UNASHOBOOOKA NA RANGI, NA USHAAMBIWA KAOLEWA BADO UNAMGANDA DADA WA WATU. SHAME ON YOU. HUJAELIMIKA HATA KIDOGO KUHUSU RACISM. NONSENSE
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Mimi pia sikujisikia vizuri. Naona dada naye hakupenda maswali ya namna ile
Ww nae punguza makasiliko ukiwaona ww uko inatosha asafiri kisa kuona hizo pua zao 😅😅😅🤣 Ukirud tuletee mmoja tuwafananishe
@kwibejanvier2140
2 жыл бұрын
Yani bro una maswali yakijinga sana
@vayokhamakhama4081
2 жыл бұрын
Sana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Sana huyo upepo
@jerryjuma1339
2 жыл бұрын
yaani ndugu zetu wang'@mbo yaani mkionaga mtu mweupe yaani sijui mnakuaje, hao ni watu wakawaida Kama wewe ivyo basi hiyo ngozi nyeupe isikutishe my friend
@juliethhouseofdesigns147
2 жыл бұрын
Wakishaamia africa wanakuwa waafrica kwetu hatuna rangi nyeupe wala nyeusi wote tuko sawa
Bien bien mi naishi mji wa kolwezi namshukuru sana uyo mzee kwa kaji ile eko nafanya merci.
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Namfaam kabla nikingali mdogo nilimuonaga kabla sijaja Tanzania naona kazeeka sasa
@CharlesMs25Daghaly
2 ай бұрын
Saf sana watangazaj watanganyika tv mnaupiga mwingi sana
@audaceleroi1370
2 жыл бұрын
mtangazaji, kuwa na maadili ban, unataka kumchukuwa mke wa mwenzako?😃😃😃
@angelageofrey9756
2 жыл бұрын
Kampenda
@audaceleroi1370
2 жыл бұрын
@@angelageofrey9756 😂😂
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Upepo huyo
@noelashaoona
2 жыл бұрын
I swear this is not necessary at all, it full of nonsense
@DBrownstain
2 жыл бұрын
Indeed
@yunusrnb5227
2 жыл бұрын
Hana watoto WENGINE jamani tuoe?mbna wazuri
@emoalembe4790
2 жыл бұрын
Kuna ahina ya maswali mtangazaji anahuliza lakini yana leta baridi. Yale maswali ya kutaka kumu weka mzee bonne fête kuwa ni kumzungu.na kwamba inchi yake ni ufaransa. Hapana !
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Hata mimi huwa ananishangaza akienda Ufaransa sio mzungu huyo.ninaishi Ufaransa waliochanganya rangi sio wazungu kabisa d’inuite ni kwa nini analazimisha huyo mzee ni mzungu
@joelnondo7440
9 ай бұрын
Uyu presenter haujui....kupresente vizuri
@Mamiseti7
2 жыл бұрын
Uyu dada mzuri jmn
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
Nyie bado mnatawaliwa na Wazungu kama South Africa.
@nelsonlushasi2273
2 жыл бұрын
Hata dar wamejaa i think wacongo wana uhaba wa machotara!!!
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 kweli uko na opinion ya ajabu
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
@@johnkuma6867 mpaka lugha bado ya wakoloni. Hivyo hakuna cha ajabu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Watu wa jinsi hiyo Kenya si wengi pahala walipo wengi ni Angola, South Africa , Cape verde, Mocambique Maputo , Seashells na Madagascar, Kenya na Tanzania waliowengi ni machotara ya kiarabu na mabaniani neyi neyi kalunga kushineyi
@ritagrace4882
2 жыл бұрын
Mwambie atafute kuna jia anaweza kusaidika
@buharimwanga284
2 жыл бұрын
aisee jina zuri la kiswahili nimependa kiswahili chako,si kiswahili tu bro napenda sana kuona mtu anaongea lugha asili za africa
@delsonmalumbe8086
Жыл бұрын
Ozo beta mosala malamu
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Et mi nikija nikuoe nikupeleke mjini hilo swali lako limenichefua sana mfano hilo swali anaulizwa mke wako alafu wewe upo karibu hapo hapo utafurahi?alafu unasistiza kbs et nitarudi kukuona tena na umesisitiza zaidi nitakuwa na wewe mwanzo mwisho unataka habari au matamanio ya mke wa mtu?usitie doa kwenye mapenz ya watu muandishi tafakali hilo
@DBrownstain
2 жыл бұрын
Yaani kashindwa kabisa kujizuia😃
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@DBrownstain Mpumbavu sana yaan anachomaanisha kama mwanamke amekosea kuolewa na uyo jamaa alie nae sasa sababu hali ya chini amchukue yeye akampendezeshe mjini hovyo sana huyu mtangazaji
@lisaozokalonji7655
2 жыл бұрын
Journaliste émission yako iko sawa lakini uko kama unatete mekeya Mzungu sana eti Mzungu ni mtu waakali sana unamaanisha nini? kuna wazungu awajuwi kitu! Monsieur bonne fête iko très gentil na siyo kila mzungu
@noelashaoona
2 жыл бұрын
Kabisa
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Yanis huyu mtangazaji huwa nachukia kweli kujilinganisha rangi eti rangi nyeusi ninaishi Ufaransa nawaona waliokimbia shule wanavyotaabîa mtaani.na huyo akirudi ulaya sio mzungu kabisa.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 huyo ni mshamba pengine ni kwasababu mazingira aliyonayo hakuna watu wa jinsi ya aina hiyo sisi kwetu mocambique zipo baadhi ya koo zetu mababu zetu walikuwa watu weupe toka portugal so na watu hawashangai ata kidogo
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Nilifika Nampula na Montepuez mwaka 2017 ni kweli Moçambique imechanganyika na watu hawajali haya mambo ya rangi ya ngozi. Nilipapenda sana
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@abiboseleman1649
2 жыл бұрын
Kkkkkkkkkk mtangazaji bn kkkk bado sana
@victoriaritte8810
2 жыл бұрын
@Millard Ayo fuatilia hii story
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Asante kwa bidii mutangazaji
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Wambiye Rama Rama kwa salimu
@zainabmwengela5987
2 жыл бұрын
Jitahidi usitafune maneno unasikika kwa shida sana
@augustiyadi4085
2 жыл бұрын
If father was Italian, France it will be hard to coprate, because this story reflects to my grandfather land because there was fmly living in that country land earlys 1810to1945 befor my grandfather take over the place, and so the left their elder son behind because time was war around the world 🗺 actually it was hard to find his fmly back... Anyway his one he came back for him.. And this man God will bless him and if not him then through his children... Stay strong man... Blessed tag 📺.
@makondorshimora5017
2 жыл бұрын
Mama mcongomani na kazaliwa congo sasa anakuwaje mzungu? Huyo ni chotala wa kiafirka na kizungu na kwao ni congo
@embeteidi5023
2 жыл бұрын
Pia mzee bonne fete anajulikana kama mmbembe ama mfulero?
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
TAZAMA SEHEM YA KWANZA kzitem.info/news/bejne/q5qdznmncZeaZ4I
@heraldloshi1864
2 жыл бұрын
Ah! Kumbe kaolewa!! Samahani sana.
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Wewe kazi ni nzuri ku wa gunduwa watu hawa nakufata kutoka omani ila nami ni mu Congo mani bukavu
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Kwa waarabu ni kuzuri na nasikia wanadharau mtu mweusi sana?
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Basi nikuzuri sababu hawana tabia kama ya watu weusi hawanywi pombe haibi hawagombane hawatembeleane balabala nzuri hawana milima ao bondé ni nchi inatulia ina nyooka ila hawaesabu mutu mweusi kuwa ni mtu wa najuwa mtu mweusi ni nyama kati ya wa nyama ao ni mashine ao ni punda hawataki mutu aji teteye haki yake ikiwa ni mweusi wakifanya kosa hawataki ijulikane wa najuwa wawo niwatakatifu kuliko wote duniani
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 nakata ati ni watakatifu dununiani. Kama ni watakatifu Mbona wanadhulumu mtu mweusi na wamupati haki yake. Wanamtumia mtu mweusi kama mnyama. Hawa ni watu katili na siwatu wazuri wakuwafanyia kazi. Bahati yako nikuwa Oman iko watu wengi toka Zanzibar wanaongea kiswahili
@mamialsawafi8020
2 жыл бұрын
@@jolemerci2155 rudi congo kale nyama ya nyani pumbavu ulitumwa uende maana weusi hawadhulum na hawauwani ngedere ww mnyamafu mla nyani ndio mana mmekaa kama majambazi
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
@@mamialsawafi8020 pole. Mami hapana kumjibu mjinga. Hawa walidanganyika kwa wafaransa na wabelgik sababu ya kifaransa sasa wako tu na mashida mingi na akili zimeenda. Je suis Zanzibari, biensûr je parle kiswahili, anglais,italian. Espanõl et français. Dont use your energy for such stupid Bayaka. Je sais bien Congo. Asil 60% wanazungumza kiswahili lakin ukiwa Kinshasa wanasema kiswahili sio cha congo na sasa wanataka kujiunga na sisi east africa. Polon sana kwa watu wajinga kama hawa.
@NgenaBiambo
Ай бұрын
Asanteni sana
@TheConqueror__Yb
2 жыл бұрын
Presenter ajielewi hajui kupanga mada yupoyupo tu..
@embeteidi5023
2 жыл бұрын
Sasa mbona haujamuuliza magumu ya vizi?
@mangetz2835
2 жыл бұрын
Pay est malade… imeisha iyooo Youtubiiiii
@g-africalyrics5857
2 жыл бұрын
Improve your interviews.
@zawadibushiri9394
2 жыл бұрын
Nishahidiye number ya huhu dada
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Mwambie Demuzungu akuoneshe kwao Dieu au bienve aukami
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
Madada wenye asili ya kizungu nawapenda
@coyoluo
2 жыл бұрын
Mzee afanye DNA test aneza patana na mandugu zake wa ng'ambo.
@marcominja8850
2 жыл бұрын
Mbona mtangazaji una maswali ya kipuuzi sana, yenye mwelekeo wa bullying?
@chanylove
2 жыл бұрын
Tuliishi nao wooote kambini lugufu
@maombiecha3297
2 жыл бұрын
Tuone video zake zamaubiri please
@mamanetsesastuces690
2 жыл бұрын
Waou! Uyo mzee bonne fête siyo tena muzungu. Anakuwa mweusi tout fait
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Home juwa kali sana2 tuu
@bennymochiwa4800
2 жыл бұрын
We mtangazaji mbona unapenda sana ubaguzi???
@enochdavidtv8636
2 жыл бұрын
#Felicitations, Timenel kedal
@nuruworldinsight2957
2 жыл бұрын
Asanteni sana Tanganyika TV kwa habari moto moto za kuelimisha ! Nimeku MFUASI WENU MZURI SANA ! Salama kutoka Tanzania
@YabatuMitambwe
7 ай бұрын
Mzee wa zamani huyo:Mkatolika wa damu..
@ngomafrancis1659
2 жыл бұрын
Mtoto wa Bonneface anaolewa tiari aho bado pia wateja wamepatikana watatu kama yuko tiari kibarua nimeambiwa kiko
@martinbyamungu5539
2 жыл бұрын
Jambo habari gani huko, mimi nimefata mazungmuzo mulifanya na muzee Bonne Fete, Anasema kama ako na watoto wengi mimi ningependelea kujuwa, kama angaliki na fille mwenye hajaolewa naomba kujuwa please.
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Unataka umuowe?😅
@MoussaMoussa-hp4bs
2 жыл бұрын
Whoa she's so cute
@allansk1035
2 жыл бұрын
She is mixed wtf
@r14kgroup68
2 жыл бұрын
Congo nchi mzuri
@Japhet.B
2 жыл бұрын
Vieux nabiso, respect papa ✊🏾
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
nampenda huyo dada jamani kama hajaolewa nitumie namba yake nataka ikiwezekana nimuoe niko tanzanie🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mangofish9079
2 жыл бұрын
Lakini angekuwa mweusi uzuri usingeonekana au vipi?
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Baadhi ya wanaume nikuwaacha tu na ulimbukeni wao😏😏😏
@machibyajeremia9650
2 жыл бұрын
nitumie namba yako anaitaji kukuona kwa projects
@gerrardmmandama9418
2 жыл бұрын
Great job
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Hata mimi simuelewi kabisa huyo mtangazaji anaringanisha rangi kumtia ujinga tuu,mzungu analazimisha kumuita mzungu aliyechanga taifa mbili? Akibagua uharisia wa mama wa aliyemzaa huyo mzee.aje Ulaya aone ikiwa ataangaliwa kama mzungu.
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 umesema ukweli mtupu
@kassimkasi846
2 жыл бұрын
Mtangazaji hana uwezo
@rizikiree20
2 жыл бұрын
Sijaona yake yakwanza mbona
@agustinocharles2650
2 жыл бұрын
Swahili bora hiyo
@wowo1546
2 жыл бұрын
yeye mke wake na watoto wako wapi?🏡🎊🎉🇨🇩
@seifseifmohamed7118
2 жыл бұрын
Mpigie sim yake. Téléphonez á lui.
@shamimhayat7637
2 жыл бұрын
Mzuri sana mashaaalah wapi huko mkoa gani
@ditapen
2 жыл бұрын
Katoto kazuri
@richardsaikong1138
2 жыл бұрын
Hii ni tanzania?
@heraldloshi1864
2 жыл бұрын
Naomba uchumba.
@hildegalda.malamoya.8328
2 жыл бұрын
Wekeni Subtitles
@J4UPro
2 жыл бұрын
safi sana ,
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Bonne Fête shukuru ivo iulivo hakuna nchi nzuri kama Congo congo inakubali n'a kupokea wa geni sisi tuliko nchini hapa uarabuni tuna penda tuishi hapa ila hawataki iyo sheria haipo ila kazi kwako ni nzuri sana courage Bonne fête
@nitunda
2 жыл бұрын
Pole kabisa Ndugu Jole
@heyumi2340
2 жыл бұрын
afrika hakuna ubaguzi
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 Ndio
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@nitunda naam nchi za wenzetu mtihan sana
@nitunda
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 pole sana uko inchi gani?
@merrydaniel9124
2 жыл бұрын
KATA YA FIZI 🙄
@Farajahelene23031
2 жыл бұрын
muna mutafuta kwa sababu ni mzungu mbona wako weusi wengi wenge shida kuliko yeye pumbavu mkumbwa wewe na tena mtumwa wewe nonsense
@rehemaathumani6925
2 жыл бұрын
Unazungua unazarau rangi yako njoo tanzania akuna mtu anawashangaa
@nyembomajidi3027
2 жыл бұрын
nikumwambia achane na maneno haya eti ni mzungu
@eliudkijalo6510
2 жыл бұрын
We mwandishi unaboa unaona wazungu ni bora kuliko rangi yako mjinga sana jifunze kujikubali wewe acha ufala
@mkanamc8341
2 жыл бұрын
Mziki mkubwa sauti haisikiki
@abordecapester9086
Жыл бұрын
USA wabembe wamezaa nawazungu wengi2 nawanaogea kibembe acheni ushamb tz tunaishi n'a wengi amuja kua wajanjatu! Dunguzangu ?
@merrydaniel9124
2 жыл бұрын
Kabambalee 😁
@diti4899
2 жыл бұрын
Huyu mwandishi?????????
@devothasimbi1055
2 жыл бұрын
Eti mzungu na mnapongezana kutiana ujinga mzungu
@butugaeve3300
2 жыл бұрын
Mimi binafsi uwa napenda vipindi vyako ila kwahii moja nahisi kama umeniboa sana. Kuweni mnaandaa maswali ya kuwauliza mtu. Maswali mengine yanaleta aibu kwetu sisi watazamaji Sijapenda hivo kabisa.
@TanganyikaTV
2 жыл бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi ,tafadhali fahamu kwamba maoni yako yametufikia.
Пікірлер: 207