Akili zetu zinatumika kwenye migogoro badala ya kutumika kwenye mambo ya maendeleo. Shukrani Mchungaji, upo sahihi kabisa.
@ahimidiwerishya8523
3 жыл бұрын
Oh my God very intelligent pastor Wazo tunamkumbuka Sana. Ibada za mazishi badala ya watu kulia alituchekesha hatusahau. Ukikaa naye lazima upone
@heronimomsefya3190
8 ай бұрын
Dah nimecheka sn huyu mchungaji una upeo na maono sana mwenyezi mungu mwingi wa rehema akutangulie daima
@DIDASTUMAINI
3 жыл бұрын
Hawa ndio wachungaji ambao dunia inawahitaji saaana.Kichwa cha mzee kina mamillion ya GB, Bible ameikariri sana.👏....Mungu azidi kumtangulia katika kazi aitendayo.
@obedysylvester3024
2 жыл бұрын
Hajakariri kaielewa ubarikiwe mpendwa
@christinewomanoffaith5479
2 жыл бұрын
Mmh ,huu moyo aisee lazima uwe na Mungu tu sio rahisi kuchukuliana na kuvumiliana na watu unaowasaidia! Mungu akubariki sana uwe unawaombea pia hao watu
@joshuamagoti5029
3 жыл бұрын
Uko vizuri mchugaji nabarikiwa sana
@nganyanyukahumphrey37
2 жыл бұрын
Aisee
@jacksonnduna4419
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 khaa, huyu pastor noma sana kawanunulia DCM mateja wakamgonga traffic, 🔥🔥🔥🔥 mapastor wote wamjini watasubiri sana anatililika na mistali yabibilia hadi raha
@robertsebanyota8499
2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia kwa mashauri yak mema barikiwa xana
@safhe-mpungi6075
3 жыл бұрын
Memory yako ni nzuri sana Mchungaji. Anasimulia kama vile anasoma, safi sana.
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
9 ай бұрын
Amazing
@angelinamichael7742
2 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri sana Mungu akubariki sana
@marymichael8197
3 жыл бұрын
Barikiwa baba Mchungaji. Hekima zako zimenibariki.
@gardenchaneli5838
2 жыл бұрын
Nakupenda hananja
@jessejulius9735
3 жыл бұрын
Amazing testimony Pastor
@fredrickpius9182
2 жыл бұрын
Daah..hyu mchungaji nmemwelewa sna kusema kwel... Nadhan hyo awe mfno kwa wengneee
Kwel mubeba maono hafi lazima yatimie baba kwavikwazo ulivyo pitia mungu tu ndo anajua
@gracehenga1980
3 жыл бұрын
Uko vizuri Mchungaji nakupenda unaongea point.
@leskarmeikok8956
3 жыл бұрын
Pastor anajua sana ni hazina kwa taifa inapaswa aisaidie jamii kwa conceling.
@nwntz
2 жыл бұрын
Hananja love you
@madorosilver7411
3 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana nimecheka kama.mwehu
@paulotsaqwa4300
2 жыл бұрын
Ukombozi wa fikra
@Pihansmo
3 жыл бұрын
Hananja ni jembe alihudumu kibangu yaniiii👍👋👋👋
@franktimothkisimbo5354
3 жыл бұрын
Daaah upoo vzr baba mchungaji
@zacharialubazu3481
3 жыл бұрын
"Utoto Utumwa,Ujana Maswali,Uzee Ugonjwa"-Mch Richard Hananja.
@piusjusto2602
3 жыл бұрын
Hakika leo nimefurahi Sana kwa maneno yako Mchungaji
@onesmomassawe6230
3 жыл бұрын
Safi sanaaaaa
@MariamSanga.
3 жыл бұрын
Dah nimecheka sana lkn somo nililolipata ni kubwa kuliko ...Mungu akutunze mtumish huduma yak ni kubwa sana kuwakumbatia waliokataliwa na kuwa positive kiasi hiki ni hekima ya hali ya juu.....
@zacharialubazu3481
3 жыл бұрын
Hakuna Mkaa Safi,Kuna Mkaa Bora.
@anthonygikuri
2 жыл бұрын
Huyu Pastor big up
@emiliusfrance8286
3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@nteghenjwamnaya3757
3 жыл бұрын
. Safi sana mchungaji ameni
@christinewomanoffaith5479
2 жыл бұрын
Ukivaa jeans unapewa mke bure😁 Shetani haonei mtu asie na akili,kitu... Mwizi haibi nyumba isiyo kuwa na kitu.. Kumpenda mwanamke mwisho siku 90 baada ya hapo ni mazoea,unaziea hips ...🙌 Kupendwa ni kuliwa...🏃😂 Kupenda ni kula ...😁 Jana historia, leo zawadi,kesho maono..🤔🙌hakyamama nimecheka mi leo! Kweli Yesu ana watu jmn! Barikiwa!
@ashrafchillah9857
3 жыл бұрын
Daah Mungu Akuongozee Point Zako Nzuri God Bless You.
@zaitunabdala6385
3 жыл бұрын
Nimependa Sana mchungaji
@adrianhilary1241
3 жыл бұрын
Interesting..Kudos..Mchungaji anaongea kwa utani ila ana hoja za msingi sana!
@simonringo4701
3 жыл бұрын
Great guy!
@enjorbertleverian5356
2 жыл бұрын
Ameni
@nelsonchivaula6574
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 duuuh huyu comedian sanaaa.
@kumekuchaonlinetv
3 жыл бұрын
Pastor Rich yuko vzuri sana,hachoshi kumsikiliza?
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Nikweli utadhani ni kurya wa kenya
@fadhilismnekajr8514
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂. Dah ya uyu mchungaji komed kweli ngoja nicheke kwanza
Mungu azidi kukuinua. Niwatu wachache wako Kama wewe Mungu AKUTUNZE uishi kwaajili yawengine wapate kupona
@basictv7661
3 жыл бұрын
Very nice
@hilgathjoshua8804
3 жыл бұрын
Ameni barikiwa sana mtumishi ❤❤
@eliasurious7419
3 жыл бұрын
Big up sanaa
@thomasmwaruka8247
3 жыл бұрын
Jamani huyu Mtumishi nampenda Sana, sana..!
@williamuphilipo7447
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na hii interview.
@maryschroeder521
2 жыл бұрын
Amazing 😂😂😂🙏🏾
@emilymngongo5173
3 жыл бұрын
Power Bernard!!🤗🤗
@MrJuniorwonder
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@thomasjohn7176
3 жыл бұрын
Hahahaha... nimefurahi na kubarikiwa sana Mchungaji
@kelvinchaula5075
3 жыл бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akubariki
@laizerlekisongo1216
3 жыл бұрын
Yan unasema kweli cyo Spika anatudanganya
@julianamahu776
2 жыл бұрын
Baba yangu nimebarikiwa sana.pia nimejifunza kitu
@samsonmwakikuti5318
3 жыл бұрын
Mchungaji wangu usharika wa Wazo hill
@georgemngodo9546
3 жыл бұрын
Tafadhali naomba kupata contact za mchungaji. Mungu akubariki mchungaji
@sulemankileo5605
3 жыл бұрын
Fuatilia mwishoni kaitaja shida mnaaraka ukiamua kufuatilia fuatilia kitu adi mwisho chukua namba mwishoni apo
@dianajohn3493
3 жыл бұрын
Ukisikia ule wimbo wa Yesu ni bwana, ametubadilisha yesu. Tulikuwa wababe kuliko wew.. Ametubadilisha yesu
@mkamitidaniel4153
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mchungaji kiboko
@amanam2735
3 жыл бұрын
Penda sana huyu mchungaji. Kichwa
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
3 жыл бұрын
Yupo sawa Sana!!
@usanifumaandishi7519
3 жыл бұрын
Dah pastor kiboko
@dicksonkilupa6881
3 жыл бұрын
HANANJA UKO VIZURI UNAIKUMBUKA CHIYANGA NI MBOONZO. NIMEKUELEWA SANA. TENA UKIFUNDISHA KANISANI UNANIFRAHISHA. NA UKO NA KUMBUKUMBU NYINGI
@francofrederick972
3 жыл бұрын
Wewe uliabdaliwa kwa kazi maalumu kweli
@mrematvbabakoku8336
3 жыл бұрын
Mchungaji mbavu zanguuuuu. Azisha kipindi utawafunika wasanii woootee
@edwardlawrence3615
3 жыл бұрын
Stay blessed
@ephraimndelwa4073
3 жыл бұрын
Duuuh
@najmasaleh9231
3 жыл бұрын
Duu Rexonal inanikumbusha mbali sana Creartone ilikuwa ni cream tumekimbiza hizo gari za sukari lkn maduka ya ugawaji ni kitambo sana
@christinewomanoffaith5479
2 жыл бұрын
😁😁duh aisee🙌🙌
@felixlamar9196
3 жыл бұрын
Nimecheka kinoma ila nimejifunza mengi
@francislovemore3858
3 жыл бұрын
Kweli wewe Mch mungu akutunze
@elisantemrita9894
3 жыл бұрын
Watangazaji wameishiwa maneno
@amenaameeena3317
2 жыл бұрын
Ukimsikiliza mchg Hananja unaongeza siku lazima ucheke unaongeza siku za kuishi
@andreaotaigo40
3 жыл бұрын
Mmh hakika napata buludani sana nikiwa nakuskiliza mchungaji
@christiannyamamba9089
3 жыл бұрын
Tatizo la wachungaji wa sasa wanacomplicate sana na wanataka wenye pesa na wanaofanya kazi maofisini nawakati waliopotea wapo mitaani
@fadhilismnekajr8514
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ngoja nicheke kwanza
@godfreymlowe4815
2 жыл бұрын
Huyu Mchungaji ni nouuuuuuma Sana mwanzoni nilikuwa simuelewi kabisa lakini kwasasa nalala macho kumsikiliza Ana akili Sana uwezo wake wa kukalili vitu ni mkubwa sana
@msafiriaugustino2957
3 жыл бұрын
Umejua kunifurahisha aisee mchungaji 😂😂😂🤣🤣
@erickmanyeck3913
3 жыл бұрын
Muhubiri 9:3
@dorcasfaith5050
3 жыл бұрын
Amina kwa story
@alicematemu8002
3 жыл бұрын
Dah!hongera mtumishi!
@janesemngindo4878
3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia kwa utukufu wake mchungaji huduma hii ni adimu nchini hapa
@thomasmwaruka8247
3 жыл бұрын
Great testimony Ooooh God Almighty
@marcobulili4341
3 жыл бұрын
Mchungaji an akili sana pia ni mwalimu mzuri sana kwan anafundisha kwa mifano huku anakuchekesha
@barakakings
3 жыл бұрын
Mchungaji ana kipaji cha Kuongea sio cha nchi hii. Ana maneno milioni 8 laki 7 kwa sekunde 1
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
Huyu ni Kama Man Kush wakenya
@belindagiliard8977
3 жыл бұрын
Hapana, man kush ana mizaha na anasema ukimkuta njiani usimuite mchungaji.......... Huyu anamkiri Yesu
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Unayeshangaa si mkristo wa Kweli
@benjaminmartin4548
2 жыл бұрын
Mchungaji upo vizuri mwanzoni nilikuwa sikuelewi.sasa nimekuelewa una akili sana.
@subimbeba4526
3 жыл бұрын
Mzeee
@farajameshack7907
Жыл бұрын
hananji juz tembe za ndoa
@christiannyamamba9089
3 жыл бұрын
Huyu mzee dah ana mafunzo huku unafurahi
@zacharialubazu3481
3 жыл бұрын
shetani haonei MTU asiye na akili.
@mrsloganthevoiceofinspirat4982
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@godwinkileo7702
2 жыл бұрын
Tulibwino kwa mbili
@deusoden3614
3 жыл бұрын
😀😀
@martindepores6309
2 жыл бұрын
turudi sasa kwenye mstari!!! hahahhah, unahitaji ujiandae kuendesha interview na mtu kama huyu , la sivyo utajikuta unacheka tu
@samsonmwakikuti5318
3 жыл бұрын
Baba Mchungaji una hazina kubwa ya mistari ya biblia kichwani
Пікірлер: 127