Mtangazaji jifunze etiquette ya jinsi ya kukaa wakati wa interview. It adds a lot. Watching from Holland 🇳🇱
@neemakalugila7674
4 күн бұрын
Pastor 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@josephatbwakome5711
5 ай бұрын
Safi sana mzee wangu kwa mahubiri yako mazuri.
@user-sx9wp3zx9p
6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@SigifridiTarimo-tw3bl
3 ай бұрын
Mchungaj ubarikiwe Sana
@heritier5119
6 ай бұрын
Mungu anaangalia roho ni funzo la shetqni
@josephatbwakome5711
5 ай бұрын
Mchungaji namuelewa sana aisee.
@heronimomsefya3190
5 ай бұрын
Nimecheka sana Leo 😂😂, unasema ukweli mtupu mchungaji
@tinnahagustinolyelu4247
7 ай бұрын
Jamani natuma teena Nina mauwa yako
@user-zt3ug9wv7f
5 ай бұрын
Eti hata panyalodi huwez muuwa kwa maji 😂😂,huyu mchungaji kiboko
@tinnahagustinolyelu4247
7 ай бұрын
Mchungaji nakuelewa saana abarikiwe
@moussoda7901
5 ай бұрын
Mchungaji naye mkubali; natowa salamu. sasa mimi Nina swali umesema kuwa Mungu ameshindwa kuishi na shetani; sijaelewa vizuri shetani mwenyewe kaumbwa na Mungu ; na Mungu hashindwi nakitu chochote sasa inakuwaje Mungu (ashindwe) kuishi na shetani ; nafikiri hajashindwa maana neno kushindwa kwa Mungu kuishi na shetani sijaelewa .Asante!
@user-jq5ys8ek3c
4 ай бұрын
Katika uislamu shetani alifukuzwa katika ufalme wa allah baada ya kuto tii amri ya kumsujudia adamu
@nickolatharwelamila776
7 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@newlightmoviesproduction3598
3 ай бұрын
Mzee huyo angetokea kipindi cha magu akifanyiwa ulinzi wa serikali.
@user-sx9wp3zx9p
6 ай бұрын
Hakia!
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Wewe ndiyo mchungaji unaesema ukweli wengi wao ni matapeli wanaokula za ajinga ndiyo waliwao
@benjaminreternyau30
4 ай бұрын
ukomboz wa fikira na maarifa, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa na uchaji
@user-dp6wu3gl3w
4 ай бұрын
❤🎉🎉🎉
@engelbertkiondo4014
4 ай бұрын
mch. mungu akupe ufunuo zaidi ....watu hawasomi kabisa biblia. wanasoma vimistari 2/3 wanahubiri sokoni na kujiita askofu...mtume...
Пікірлер: 20