walio ishia darasa la saba wanapateje fursa ya kuishi marekani
@joyceknursecanada
3 жыл бұрын
Nice 👍 video outside the house. Please show us more
@kidigajames
3 жыл бұрын
Pako vizuri, Missourri!
@shijaathanas1897
3 жыл бұрын
Hakika huo ndio mji mzuri wa kuishi mie napenda kukaa nje ya mji...kasans city
@francismboma6839
2 жыл бұрын
Kazi nzuri unatupa mwanga .wengi wetu tunaamini munaishi nchi zilozoendelea kama munafuraha sana. Nahisi kuna vitu vingeongezwa kama camera man na wewe ungekuwa kama mtangazaji mbele ya camera.
@kassimchaku477
2 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana kwa kutoa elimu nzuri ya maisha ya ughaibuni pia katika lil
@malakimollel6044
3 жыл бұрын
Asante mkubwa wa kazi ebm
@lordrichreuben1446
3 жыл бұрын
Daah nmefurahia sana,vp gharama za kujenga
@seifomar1148
3 жыл бұрын
Inaonekana mji wa Kansas na mizuri ipo shamba ?
@EBMSWAHILI
3 жыл бұрын
Yes, majimbo ya Kansas, Missouri na mengi ya katikati ya USA, yaani Midwest ni "vijijini" kuna mashamba tuseme
@mamirokongx195
3 жыл бұрын
Ahsante kwa taarifa
@SK-pb5ke
3 жыл бұрын
Mazingira yapendeza kweli kweli haya.
@محمدالقايد-د6ب
3 жыл бұрын
Pako vizuri sana aisee
@jovovichmedia9424
3 жыл бұрын
Mkuu one bedroom kwa mwezi hapo unapoishi ni dola ngapi
@mudyadinani5182
3 жыл бұрын
Nakubari
@josephmatonyi6533
2 жыл бұрын
kitu ambacho kipo hapo ni kwamba huko ughaibuni kuna usalama afu watu asilimia 100 wanamaisha mazuli wanashinda ndan wanaishi maisha yao sio kama huku umasikin mwingi coz ujinga mwingi kwaiyo ni bora mtu ajivike fens kubwa tu bc
@EBMSWAHILI
2 жыл бұрын
Kweli kabisa ulichosema
@whycriphpetro1568
3 жыл бұрын
One day yes
@isaacsinkala5236
3 жыл бұрын
Mimi siwezi kuishi uko
@محمدالقايد-د6ب
3 жыл бұрын
@@isaacsinkala5236 😄😄karibu Ila ndondani tuu Tanzania free sana
@tadeikapinga2905
3 жыл бұрын
Kwa vurugu zangu apo ni kama jela
@connectiononlinetv_tz
3 жыл бұрын
😂😂😂 wakina Tadei hatupo hivyo hapo tumepigwa😂
@bsamohamed122
2 жыл бұрын
Naomba namba Yako kaka nahitaji kukueleza kuhusu mambo ya kazi
@ivanamkapa2369
2 жыл бұрын
Nitafutie kazi
@geofreybarama4000
2 жыл бұрын
Pana View nzuriiiii
@williammatata2611
2 жыл бұрын
Kama maisha ya uko ni indoor life vipi kuhusu kama ukipata msiba inakuaje
@mwazanmwazan766
3 жыл бұрын
Nimependa mazingira ykee
@muranisalim3572
3 жыл бұрын
Duh mwezi 11 nipo huko ila hayo mazingira nitahaha sana
@kamikazisalma5209
2 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka 🙏
@mdmahammad3278
Жыл бұрын
Hakunaneno ukiwa mbari na mji
@mdmahammad3278
Жыл бұрын
Uko safi kwakutuumbya macho ili tujipange kuja huko
@joycemuhoja4729
3 жыл бұрын
Natamani nifike uko Kansas City
@pillyolsen8377
3 жыл бұрын
Kwa mimi nilio zoea vurugu huko naona polini
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@King_Of_Everything
3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@kidigajames
3 жыл бұрын
Panapendeza sana hapo mitaa yako.
@obillaezra6205
2 жыл бұрын
Mfano Jirani kapata Msiba” Bongo huku watu wanakusanyika na Wengine hadi Wanalala huku Sebule ikitolewa kila kitu na kuwekwa Mikeka” Vip huko Hali kama hiyo ipoje huko?
@cdeleo9336
2 жыл бұрын
Huku hamna vitu hivyo nyumbani Tanzania watu ndo hufanya hivyo
@kipigapasilisungu2581
3 жыл бұрын
.
@mabolokituyi5781
2 жыл бұрын
No wonder they are obese.Kukula na kulala wananona ovyo ovyo
@tadeikapinga2905
3 жыл бұрын
Bara bara mbovu kumeboa
@josephwilliam5813
3 жыл бұрын
Apo kijijini
@vamitv873
3 жыл бұрын
Bora hapo kijijin barabra za mtaa zina lami wakati dar peneyewe load za mitaa haizina lami, ukienda mikoani unapigwa vumbi la kutosha
@محمدالقايد-د6ب
3 жыл бұрын
Uku ni kama Kijijini ila mjini pazuri njoo utembee
Пікірлер: 47