Huyuu kumpata kwa mawasiliano ni ngumu labda mkutanee na naeza kutana nae kiila siku mselaangu mno
@John-vn4pp
2 жыл бұрын
Kuna channel ya kenya inaitwa Lynn Ngugi. Huwa wanaweka namba ya simu ya muhusika ili asaidiwe. Taarifa bila muafaka ni UNAFIKI.
@barakapendo2371
2 жыл бұрын
Milladiayo uyo jamaa kwenye peg sako yumo sana ebu mfanyie Jambo sio wewe unapost unapiga hela harf yeye anaokota makopo sio poa unauwezo wakufanyia Jambo Mungu atakulipa🙏
@saifarafa8728
2 жыл бұрын
Wee ndio umenena maneno ya maana kila siku wanawarekodi wanapata pesa halafu yeye hawamsaidii . Milledi hasaidii watu wakee tena wa mkoa wakee
@realscholarships-bolde.2344
2 жыл бұрын
Kweli
@zawadimgeni6109
2 жыл бұрын
💯💯
@aahasaidi1977
2 жыл бұрын
kiukweli kabisa
@beatbyrich2891
2 жыл бұрын
Yes point sana jamaa anataka views hapa
@lilyrose7983
Жыл бұрын
I love this guy😆😆😆He is so funny ❤️❤️❤️
@kingkong1506
2 жыл бұрын
Sio fresh mnapiga hela kupitia migongo ya watu pumbavu sana
@benjo_brighter
Жыл бұрын
Jamaa ni comedian mzuri sana 😂🤣🤣🙌
@angelkaaya5885
2 жыл бұрын
Nimemiss Atari huyu tunapishanaga Sana friends corner nikiwa arusha
@nefalandhotelroom6754
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@zerochanneltanzania3797
2 жыл бұрын
Nafurahi sana huyu jamaa. Amuibii mtu wala afanyi ualifu anapambana ki kweli kweli
@nickminja704
Жыл бұрын
kabisa
@amanlenatus9067
2 жыл бұрын
Millard hujawai kufanya kitu cha maana kwa mtu zaid ya kumtambulisha tu kwa watu nikitathimin ela ambayo umeingiza kupitia mtu huyo ni nyingi sana lkn bado unaendelea kumfanya kuwa content yako kutokana na style yake hiyo ya maisha kitu ambacho so kizuri kbs jitathimin we na watu wako mmsaidie kumkwamua
@andrewmmbaga1665
2 жыл бұрын
Smart sana
@jumapiliissa4835
2 жыл бұрын
HAHAHAHA nilimmis sana aisee hongera sana majanaba
Ivi milard ayo ilo tangazo la ndioooo ndioooo kwanini usiliweke mwisho wa habari kila saa ndio ndio ndio 😊
@user-rd7jt1vi5x
2 жыл бұрын
Eti ndio ndio ndio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@barakamarandu6163
2 жыл бұрын
Wanazingua bundle lenyewe lakuunga unga alf kila saa ndio ndio ndio ndio
@user-rd7jt1vi5x
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣NI HATAR
@chauligemeka7840
2 жыл бұрын
🤣🤣🖕
@samwelimughenyi5486
2 жыл бұрын
Huyu jamaa elimu yake ikoje maana anaongea kisomi lakini wengi hawaoni
@azizymachadeson3577
2 жыл бұрын
Ni maujanja tu ya watoto wa chuga Nimesoma nae Kaloleni Primary 2005 tumemaliza alikua chali etu anaitwa Lomnyaki!
@zuleyvendor6577
Жыл бұрын
@@azizymachadeson3577 mwambie nampenda isee😂😂😂😂
@azizymachadeson3577
Жыл бұрын
@@zuleyvendor6577 😊😊Usjali la Mama umetisha! 🔥
@emanueljohn5643
2 жыл бұрын
Uyu inabidi awe pamoja na baba levo watafany kitu kikubwa sana 😀😀😀
@lightinesssarakiky7367
2 жыл бұрын
my people now,,,🤣🤣 my Arusha now the beautiful 💖
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Tupia namba zake incase km kukiwa na chochote tumtumie
@floraleonard9095
2 жыл бұрын
Yechu yechu baba ake nakukubali sana rafiki yangu.. Mungu akusaidie ulee salama
@mwinukafundibombanjombe
2 жыл бұрын
Jamaaa anaakili sana
@user-eo7ug2tg9r
2 жыл бұрын
Watu wa Arusha Nawaelewa sanaaa
@pendaelulanga8090
2 жыл бұрын
Aajiriwe kama mtangazaji anaongea vizuri
@anicethpeter3100
Жыл бұрын
Big up sana
@idinado4524
2 жыл бұрын
I love you majanaba😂😂😂😂😂😂😂😂
@mudrickabdallah7251
2 жыл бұрын
Daaahh basi msaidieni at least awe comedian ktk michezo ya kibongo.
@achouraachoura5763
Жыл бұрын
Nakupenda bure majanaba❤️❤️❤️❤️
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
JAMANI 😂😂😂 uwoya si umlipe majanaba akuchekeshe?
@shyfettymtunda4619
Жыл бұрын
Nampenda Majanaba.🤣🤣🤣
@samwesupa6906
2 жыл бұрын
Mungu amsaidie
@kusakisoma3168
2 жыл бұрын
Namkubali majanaba
@jennytugara9470
2 жыл бұрын
Sauti anayo vocal akinolewa anaweza kuimba. Lakini swala la mimba ya mke ni personal!!
@jamesobedy3940
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@TheNewKid_TV
2 жыл бұрын
Noma sana
@homeofvideos8893
Жыл бұрын
Waarabu walitutesa na minyororo kutufunga MUAAFRIIKAAAAHHH😂😂😂😂
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
Dad zetu wanahurum atimae majanaba anaenda kuitwa baba
@user-rd7jt1vi5x
2 жыл бұрын
Kwani huyu kaka ana kasoro gani mpka asiitwe baba hebu acha ujinga wewe
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
@@user-rd7jt1vi5x ulev unaon jamb zul
@user-rd7jt1vi5x
2 жыл бұрын
@@michaelsamson9663 kila mtu na sterehe.yake hapa duniani sasa ulevi.wake na kuitwa.baba vinahusiana nini hebu acha zako hizo mbona na wewe ni mwanaume kwann unashobo kama demu kanyimwa chipsi
@michaelsamson9663
2 жыл бұрын
@@user-rd7jt1vi5x ujaitwa uku au unataka ukojolew
@zuleyvendor6577
2 жыл бұрын
@@michaelsamson9663 😂😂😂😂
@hamisikidasi3126
2 жыл бұрын
Sasa tunamsaidiajee mwamba
@sidrasidra8616
2 жыл бұрын
Kwanin aitwe majanaba jamani😔
@lailaoman3856
2 жыл бұрын
Apo sasa
@kitomarijames3507
2 жыл бұрын
Kajiita mwenyewe
@carlosandrew1787
2 жыл бұрын
Anajiita mwenyew ivow Mda Sana tyu
@nickminja704
Жыл бұрын
mistari ya marehemu doni from watengwa
@humphreystephen9534
2 жыл бұрын
Nakubali sana 😁😁
@rashidmtengule3681
2 жыл бұрын
Huyo bangi tu
@uswegesuper
2 жыл бұрын
Milad saidia watu sio kuhoji tu jamaa katoka kavu alafu mnamuhoji tu, kujifungua hiyo Hela Kwa Kanda za Arusha ni Hela mdogo sana huyu jamaa angalau awe na 1.5m ndo kidogo Angemtunza wife miez mi 3
@aishaissa2512
2 жыл бұрын
Hiyu kijana anakipaji ni dunia tuu
@shukranjazzakhaallahukheir1897
2 жыл бұрын
Afadhali kujifanya hamnazo iliupate riski kuliko kuimba
Пікірлер: 116