Kama una mkubali majanaba gonga like kaza buti ... Mzee mwenzangu ridhiki anatoa mungu. Ni heri yule mkweli kuliko wale wanaotuectia. Na kuficha maisha yao halisi
Privacy ni njema sana Ndugu yangu....si vema kila kitu kuweka wazi kama hujaulizwa
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
@@kalumbugideon4159 ahsante kwa ushauri kaka gedion
@kalumbugideon4159
3 жыл бұрын
@@ghostelmendez7206 Asante Ndugu yangu
@exaudmushi8603
3 жыл бұрын
Hapa ndipo unapogundua siyo kila mwenye sura mbaya au mwenye kuvaa vibaya,mchafu mchafu,basi atakuwa mwizi,Kibaka,Wengine ni maisha magumu tu ila roho zao ziko safiiii,tena safi ile kinomaa,Na,siyo kila anayependeza basi na roho yake imependezaa,hapanaa Njee ni msafi lakini ndani ya roho kutu imejaaaa,Kama umenieleww konga like hapaa
@carptentv6848
3 жыл бұрын
Bonge la intavyuu huyu mtangazaj anatisha sana juz nlimuona Singida Mara kule kwenye msiba kuna mama alikatwa mkono dahh Milady mnastahili tuzo.kama mnawakubali nipeni like zangu
@alfredmrema8052
3 жыл бұрын
Millard mngefanya hela mtakayo pata kwenye hii video mpeni majanaba, anastahili hili🙏🏼🙏🏼
@emmanuelmayunga1518
3 жыл бұрын
Well speek🤝
@General33452
3 жыл бұрын
dah!😢😢😢
@issamamba7336
3 жыл бұрын
Sure
@ifunanyaloveness482
3 жыл бұрын
Kumsaidia majanaba tunafanyaje
@paulbunyige1246
3 жыл бұрын
Wazo pevu
@blackmamba7553
3 жыл бұрын
Hata kama ni masikini unakula mara moja kwa siku Lakini kama una furaha Ndugu yangu ww ni tajiri Respect bro #majanaba markuba
@calsonrobson4172
3 жыл бұрын
Really
@rukkysayid6613
3 жыл бұрын
Kweli kabisaa ni kumshukuru M.Mungu Alhamdulillah
@mkurungwaog5698
3 жыл бұрын
Sera mbovu
@digital21.13
3 жыл бұрын
Jamaa anaongea kam anachekesha but it's Emotional story 😥😥ingependeza kama angetaja nambayake ya cm tumchangie hata hiz miamia tunazopata maana jamaa kawa mkwel Sana 🙏🙏
@salmamanuel3727
3 жыл бұрын
Hapo umenena
@goldface3267
3 жыл бұрын
Uko nawema
@hyasintndimbo2998
3 жыл бұрын
Emotional STORY with deep feeling
@jesseofficialgosple7086
3 жыл бұрын
Watupe namba za majanaba jaman
@phoncechriss
3 жыл бұрын
Yah Sure @milard
@joetz2019
3 жыл бұрын
Nimeumia sana sana moyo wangu kiasi cha kutaka kutokwa machoz ila nkiwa kama mtoto wa kiume nmejikaza ila Daaah nisiseme mengi nkamkufulu muumba wangu 😢😢 ila mungu atakusimamia braza na maisha utayabadili sana na kubaki na kumbukumbu kuwa wapi umetokea.respect kwenu ayoTv respect sana sana sana najifunza mengi sana kupitia kwenu.
@janeayo3158
3 жыл бұрын
Mchangieni ssa
@jacklinemwanga1691
3 жыл бұрын
Dingilii umenifurahisha sana japo maisha magumu mungu akufungulie milango ya rizik
@davisgasper8814
3 жыл бұрын
Uko sawaa dadaa
@tobiasbosire4250
3 жыл бұрын
I know you Tanzanians never disappoint in helping one of your own,Help this guy to achieve his aim and goal mchangieni
@miriamlaurean2226
3 жыл бұрын
Wew pia mchangie vp unajitoa
@Its-Me.
3 жыл бұрын
Tafadhalini kuna yeyote anaeza niunganisha na huyu bwana nimlipie kodi ya nyumba angalau mwaka mmoja? Na matumizi madogo yenye mungu ataniwezesha. +254722276430 WhatsApp
@mlamar8478
3 жыл бұрын
@@Its-Me. daah
@king-rr8oc
3 жыл бұрын
Rasta mchambuko rasta gonga llike twende sawa
@adrianmallyakibona.352
3 жыл бұрын
Milad niliwahi kusikiliza history yako... Now i realize the way unajali maisha ya wanyonge... God bless man...
@badmanno.1650
3 жыл бұрын
Huyu jamaa apelekwe shule yakutangaza... Afanye kiji course cha kuzungumza redioni... Anaweza fit sana kwenye vipindi vya mazungumzo...
@barikimomadi4210
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidabdallah9253
3 жыл бұрын
absolutely
@fekechempare7510
3 жыл бұрын
#Fact
@cymone6159
3 жыл бұрын
Uko sawa kaka
@yusufumajinge59
3 жыл бұрын
Kwel kaka maana hivi ni vipaji vilivyo potea lakn vipo vinafurukuta kutoka tena.
@hassanwazir7737
3 жыл бұрын
Hadi machozi yamenitoka, usiseme wewe unamaisha magumu angalia hapo, ila Mungu hamtupi mja wake ipo siku Mungu atamnyooshea mkono
@doreenkareem5817
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kk
@adrianmallyakibona.352
3 жыл бұрын
Milad kwa nn usianzishe namna ya watz kuja pamoja kuwa support watu kama hawa.....
@hassanmkungile6021
3 жыл бұрын
Daah kweli uyu Jamaa kitambo nafatilia mungu anisaidie maisha yake changamoto kwakweli 😢😢😢
@amriharuna4236
3 жыл бұрын
Story ya kusikitisha,watanzania wengi tuna maisha hayo kuunga unga tu,MUNGU TUSAIDIE
@carptentv6848
3 жыл бұрын
Huoni kapewa simu
@jumaraha
3 жыл бұрын
jamaa yupo mkweli ndio maana Allah akosikumpa riziki,,,,,tusaidieni na number zake ,,,,tumtumie kiasi tulichokua nacho.
Pesa si chchote katika furah mtazame broo life lake lakini ana happy sana Kun nguv kweny furah May the Lord Bless you
@israelmwasenga9288
3 жыл бұрын
Kabisaa kaka tushukuru kwa kila jambo
@japhethgeriad4519
3 жыл бұрын
Hallelujah
@twariatiomary486
3 жыл бұрын
Ujue watu kama hawa nakataa wanataka maisha ya kuomba omba kama mtu hana mikono yote miwili analima kutumia makwapa na anapata lizili wew umekamilika huumwi kazi kuvuta mi bangi tuu
@corlliebougie6119
3 жыл бұрын
Yaaaan ana furahaaaaa mnoooo yaan daah tunakufuru sana kulalamika aisee
@jacksonmathayo6510
3 жыл бұрын
Kabisaaaaaa aiseeee
@gtvonlinemdee7001
3 жыл бұрын
Milard tunaomba tufanye kitu huyu jamaa kutaka kushiriki bongo star search anakitu ndani yake. Ni mpambanaji sana
@fatemaligalawa4151
3 жыл бұрын
Angetoa namba yao tumpe chochote maana tunajitahidi kujitoa saana kwawenzetu wenye kyitaji
@mariamuomari1944
3 жыл бұрын
Tuzungumze ukweli huyu jamaa kuimba hajui wala hana kipaji ukimsaport kwenye kuimba ni kupoteza muda na pesa kuliko pesa zipotee ni bora tumchangie afungue hicho kibanda cha kuku alichosema kwa maana ni mjasiriamali kwenye game tutapoteza hela
@jafarisuleimani5367
3 жыл бұрын
True
@emmanuelmbwile6928
3 жыл бұрын
Kuna wapambanaji wengi sana majirani/ndugu zako Anza na hao kwanza acheni unafiki.
@ujenzitanzania1274
3 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI AYO TV.. WENGINE WANAWATUMIA TU KUONGEZA WATAZAMAJI, NYIE MMEENDA MBELE ZAIDI .. GOD BLESS YOU
@carptentv6848
3 жыл бұрын
Yah naona wamempa simu
@shaabanramadhan6770
3 жыл бұрын
Maisha yetu yakibongo yahuzunisha San sikujua km jamaa ana maisha haya lkn nimpongeze nibora kutafuta chako cha halali kuliko kuiba
@shabandamas1759
3 жыл бұрын
Sahihi somoo
@joveomkenya
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/xI6GloiNgWKIlII
@kelvinfesto4595
3 жыл бұрын
Ds
@kelvinfesto4595
3 жыл бұрын
L
@neemaflorentino4693
3 жыл бұрын
sasa jamani c maisha bora kwa kila mtanzania au?
@husnanetto4154
3 жыл бұрын
Kama upo makambako naunaishi nyumba yakupanga naunalipa kodi sh 10 chumba kizur umeme maji choo safi get kali kwa elfukumi tu...gonga like apa
@ELIMUYAGIZA
3 жыл бұрын
Majanaba kama majanaba. huyu mwna inaonesha kitambo alikuwa baharia
@blancamushi8522
3 жыл бұрын
Nimesoma nae alikua anatukimbiza balaaa
@ramadhanimasudi6904
3 жыл бұрын
Mimi niko arusha, nitapataje namba za huyu jamaa nami nimchangie. Jamaa yuko poa sana!
@christopherkalolo1805
3 жыл бұрын
Ukimpata Millard Ayo umempata huyu jamaa
@WASHATube
3 жыл бұрын
FULL STORI: USIYOJUA KUHUSU MBU, VIFO VIMEONGEZEKA 👇👇👇 kzitem.info/news/bejne/zI-n3a57pKZya3o NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥🔥
@avitusmichael5
2 жыл бұрын
We mtafute kitaa kama upo arusha bwana
@Mbeyaconscious
3 жыл бұрын
Dah! Mshikaji Namuelewa 🤣🤣🤣🤣 SEMA Life Linakaba Ila one day yes 💪🏽💪🏽
@imansanga9018
3 жыл бұрын
Jak
@WASHATube
3 жыл бұрын
FULL STORI: USIYOJUA KUHUSU MBU, VIFO VIMEONGEZEKA 👇👇👇 kzitem.info/news/bejne/zI-n3a57pKZya3o NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥🔥
@user-jc4yn8bu3s
3 жыл бұрын
@@WASHATube MN
@unknown-vl6tz
3 жыл бұрын
Hapo mmenifurahisha Sana mlipompa simu🙏🙏🙏🙏🙏
@nadiahussein5892
3 жыл бұрын
Walllah mpaka machozi yananitoka unajiona Una shida kumbe kuna wanaokuzidi Allah akujalie mirrad Kwa kumpa cm ila tunaomba masiliano angalau tumchangie kidogo Allah atakusaidia kaka majanaba 😭😭😭 mwenyewe anafuha masikini
@mtasma1994
3 жыл бұрын
Eti kwa mwezi 25000 duuuh huruma sana aiseeeee
@habarinamichezo6427
3 жыл бұрын
Ishu nachoshangaa ni anaenjoy maisha na anafuraha zaidi yngu na still hajayakatia tamaa maisha
@eventelias3566
3 жыл бұрын
😃😃😃kweli asee
@saidoo_6975
3 жыл бұрын
Yan kafurahii hadi roho imeniumna ..Dah🤔
@kweka14l35
3 жыл бұрын
😭😭😭
@bwoyjr9408
3 жыл бұрын
aiseee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! maisha ni mapambano sisemi mengi
@omaryhamadi6659
3 жыл бұрын
Yn achat huyo mwamba kanikumbusha nilipo tokea
@dannymkenga606
3 жыл бұрын
Duh real nikwerekweche mpenisuport yayeye atakaclips 2 afanye comedy kidogo aweke nanamba za cm tumshike mkono kijana mwenze2 Much thanks Ayo tv
@mariamuomari1944
3 жыл бұрын
Tumchangie tuh aweke hicho kibanda cha kuku kwa kua ni mjasiliamali kipaji Mimi naon hana
@bwanap2003
3 жыл бұрын
@@mariamuomari1944 Tumemjua kupitia uimbaji, kipaji anacho ila cha rap cartoon, anatusua huyu kuliko hao wanaojua kuimba.
@omaryshafii1174
3 жыл бұрын
Ahsanteni sana AYO Tv hii interview inatufundisha mengi sana, moja wapo tuwe furaha na turidhike na tunachopata na maisha yataendelea.. insyaallah
@sadockalfred6750
3 жыл бұрын
Fanyeni mpango tumchangie buku buku anunue smartphone huyu mwamba tunampenda jaman
@bridgettjohn7811
3 жыл бұрын
Aswaaah ila wanaboa hawajatoa bado😭😭😭
@mussaabdiel9797
3 жыл бұрын
Asa ataichajia wp simu yenyew
@thomasdismas9521
3 жыл бұрын
Nasikiaga watu wanasema wa kwanza kucomment nipeni like hivi huwa Ina maana gani😀😀😀😀
@carenalphonce5013
3 жыл бұрын
Nais ushamba
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
@@carenalphonce5013 caren hahahh
@mabulakhan4433
3 жыл бұрын
@@carenalphonce5013 Nikweli ni uxhamba
@carenalphonce5013
3 жыл бұрын
@neno Elimu tv ni vizur lakini mpk mtu analike apende so mtu alazimishe kulike
@joveomkenya
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/xI6GloiNgWKIlII
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Dah kamanda namkubali sana. Toka Dar pande za Uswahilini. Tunaokaa life la kibishi popote tulipo piga like hapa.
@rachelmikey8363
3 жыл бұрын
Woiye jamani nimeumia naona kama ndugu yangu😭😭 lakini kwakuwa unauzima tunamshukuru Allah kwa ilo.... Ee Mungu unapo zuru wengine mkumbuke pia.
@bakarikayugwa237
3 жыл бұрын
Sina damuiyo yakuchukuachukua vitu vya watu 😂😂
@josiahmollel5815
3 жыл бұрын
Nimependa sana kasema ukwel
@kennedylymo5232
2 жыл бұрын
Kasema kweli apendi damu ya wizi
@platnumzkawiche1861
3 жыл бұрын
chalii yetu huyo jirani kabisa kitaa kimoja, millard jah bless you mpeni sapoti dingilii😂😂😂
@fahamujames8003
3 жыл бұрын
Huyu jamaa sio mkorofi kweli wala sio mwizi jaman nisaidie swali hilo
@carptentv6848
3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anaibua mambo sanaa
@haflangoztz3605
3 жыл бұрын
🙏
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
@@carptentv6848 kweli
@ramadhanimasudi6904
3 жыл бұрын
Naomba namba zake za simu nimpe zawadi yake. Nampenda bure huyu jamaa!
@emmamikate4741
3 жыл бұрын
Jah bless Kuna vitu vya kujifunza kwa mwana. Furaha sio pesa Ni uhai tu. One Love
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Alaf Majanaba me naona Kama anajua Sana kuimba, appearance tu ndo inafanya adharaurike😭😭😭😭
@mariamuomari1944
3 жыл бұрын
Kuimba hajui sema nilichokiona ni mjasiriamali tumsaport kwenye ujasiriamali aweke hicho kibanda cha kuku alichosema maisha yaende
@Jovidatz
3 жыл бұрын
Asee huyu jamaa mfanyien hata mchongo atoe japo track mbili, apate show kadhaa life yaeza change, Jamaa yupo na talent na yupo real Sana✊✊
@goldenspear6217
3 жыл бұрын
Namuona akifit radioni kitengo cha entertainment zile chombeza chombeza zile maana nimuongeaji mzuri mno jamaa. Binafsi nimemuelewa sana jamaa so humble yani.
@mariajoseph5347
3 жыл бұрын
Ee mungu wetu tukumbushe wema wako tusije laumu🙏 Wewe ndiyo mtoaji wariziki😢
@jainessyjainessy4266
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@barakamgongolwa5137
Жыл бұрын
Ameeen
@christophakawishe5152
3 жыл бұрын
KAKA MAJANABA, tuombe uzima ipo siku tutakutana, na tutaongea sana, hongera, unajitahidi sana, maana mimi ni chipukizi la gospel
@halyatmohamed9047
3 жыл бұрын
Kama hauto jar naomba ntafute
@annanassari6384
3 жыл бұрын
Unaishi wapi
@jesseofficialgosple7086
3 жыл бұрын
Me jaman namkubali sana huyu jamaaa yan
@munirnahdi3774
3 жыл бұрын
B2k
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@annanassari6384 Niko Tanga
@rougheckrig2236
3 жыл бұрын
This guy is very smart.. Family first💪 I hope he gets successful with his dreams
@SunsetHunter4526
3 жыл бұрын
Heshimu sana Hustle za kila Mwanaume Jamaa pamoja na maisha magumu anayoishi hajawahi fikiria kuiba
@quentinotieno7103
3 жыл бұрын
So inspiring Rastaman, Jah shall open ways. Where there is a will there is always a way
@ummuadam2423
3 жыл бұрын
Nice one millard ayo ila Sasa unatakiwa uwe na miky nyingine don't share umpe time ya kujibu anaeulizwa,sec micro
@hamoudcreator6343
3 жыл бұрын
Hivi ndivyo waTanzania wengi tulivyo ndani ya nafsi zetu.. Na maisha yetu kiuhalisia.. INAUMA SANAA..
@mannabu9333
3 жыл бұрын
Ni afadhali na uyo anaokota makopo na analipa kodi sio wengine mtoto wakiume unakua shoga unataka vyabure
@aminankungu7891
3 жыл бұрын
Yaani sana ndugu yangu bora yye anapambna kama mwanaum ata kama anapata kidgo
@kagarukifred7372
3 жыл бұрын
Sana sanaaa mkubwa
@weamabdoulnoor3481
3 жыл бұрын
Kwahiyo hapo a nalipa kodi?
@felisteranthony7194
3 жыл бұрын
@@weamabdoulnoor3481 kwani hujasikia au vipi?
@vm_rr
3 жыл бұрын
Najifunza maisha kila sikuh. God has something to us🙏🙏🙏💪
@sellah4603
3 жыл бұрын
Godfrey naomba connection nikutane na uyu mwamba
@godfreymillardayoripota3002
3 жыл бұрын
Ook
@arrfamush3285
3 жыл бұрын
Msaidie ndugu
@godfreymillardayoripota3002
3 жыл бұрын
@@arrfamush3285 hakuna neno
@highzacknnko4002
3 жыл бұрын
Kama upo karibu na chuga njoo nitakukutanisha nae mpaka geto lake,
@sweetmama6885
3 жыл бұрын
@@godfreymillardayoripota3002 mimi naomba namba zako wewe kama wewe. Nikutafute whatsapp. Alafu tuongee nikutumie pesa kidogo umpe Majanaba. Nauniunganishe niongee nae kabisa. Nimempenda bure. Mungu aendelee kumlinda na kum bariki. Walinde na nyie na kuwabariki pia. 🙏🙏. Au unipe jina lako la insta nikutumie msg na no zangu za cm.
@masundelwa
3 жыл бұрын
Milard fanya mpango tumchangie huyu jamaa yetu.
@ummuadam2423
3 жыл бұрын
SINA DAMU HYO, Nani ameskia kwa msisitizo
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Hahhahaha, up makn mzee
@emmanuelngassa1817
3 жыл бұрын
Dah nimeisikia
@ebitokeofficial3664
3 жыл бұрын
Alafu mdogo jamani 29 years na maisha ndio haya, Mungu amuinue namuombea 🙏
@emmanuelmakindi4409
3 жыл бұрын
Mpeni msaada jmn, maisha magumu msimu'enjoy
@happynesselisha2048
3 жыл бұрын
Kwanza hongera kwa furaha uliyonayo pamoja na maisha kuwa magumu . Jaman tukumbuke kumshukuru mungu jaman. Dah
@fredrickbuya9293
3 жыл бұрын
Determination yake itamfikisha pahala !! Being real not faking its a blessing tayari mzee !!!! God atafungua milango
@mimsbaibe6mimsgul737
3 жыл бұрын
May God protect and bless the work of our hands nmekupenda hard working Mungu atakuinua.
@Kidofilm
3 жыл бұрын
From USA ! God Bless Him !
@plasidiaplasidia7771
3 жыл бұрын
Baba na mama wenye nyumba ifikie wkt mtuonee huruma asee. Maisha magumu kwa kazi hiyo anayoifanya kulipa elfu 25 ni tatzo jmn
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Na nyumba mtu anayolipia elf 25 haina hadhi kwa binadamu.
@maryamselemanabdalah4086
3 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 kweli kabisa mpaka huruma jamani
@plasidiaplasidia7771
3 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 sio pw kbs
@mariamuomari1944
3 жыл бұрын
Mwenye nyumba mwenyewe anaonekana ni masikini tuh maana kwahiyo nyumba ni nyumba inayomilikiwa na masikini sasa akisamehe itakuaje nae maisha yake
@mwakahassan8742
3 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 ndio ivo pesa ndefu sanaa kwa mujib wa icho chumba
@WASHATube
3 жыл бұрын
FULL STORI: USIYOJUA KUHUSU MBU, VIFO VIMEONGEZEKA 👇👇👇 kzitem.info/news/bejne/zI-n3a57pKZya3o NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥🔥🔥
@franksarwatt9084
3 жыл бұрын
Nimecheka sehemu akisema Wajanja wa mjini bwana wameniweka kwenye mtanadao nami Mpaka nisanuke watakuwa wameshatafuna sana
@marryinyasi3801
3 жыл бұрын
Hahahaaaa
@shanatatrigger6537
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anachokitu kabisa awezeshwe jmn na anaongea vizuri tu kabisa 🔥🔥🔥🔥
@sharifaseki359
3 жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu mbariki majanaba kwa kumfungulia milango ya riziki
@leylamohamed9939
3 жыл бұрын
Ana furaha sana na maisha yake na yuko very comfy.. Allah akujaalie kaka yangu.. Umenigusa sana.. Na nimefurahi umesema hutaki mambo ya wizi
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
Imeniumiza hiii video .... .. Mungu atakusaidia .. Kaka
@victoriakalinga7656
3 жыл бұрын
Aiseee Mungu akuinue
@anastaziuscyriacus5415
3 жыл бұрын
Usiogope...Mungu ana mpango na kila mtu
@beatricemkassa9340
3 жыл бұрын
Halafu ana furaha na amani tu muda wote
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
@@victoriakalinga7656 ahsante Victoria
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
@@beatricemkassa9340 mungu atamsaidia tuu maana ni MTU mtafutaji
@amneshiganga1509
3 жыл бұрын
Millard fanya kitu kwa huyu..🙏
@irenezacharia2554
3 жыл бұрын
Yeah kweli wafanye kitu maana mmmmmh.
@danneismail5442
3 жыл бұрын
Huko sawa lakini sote tunaeza mtoa tukija pamoja.
@huku-sweden
3 жыл бұрын
Naomba number Ya uyo Hustler, nimtumie hata halfu 50, i like this guy 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Thanks for supporting these people.. huyu ana kipaji sema maisha tu yamemuendea ndivyo sivyo but the guy has something. Arusha pia kuna lots of talents, namuomba Mungu anijalie nikishaweka mambo yangu sawa I will be working on nothern talents cz zipo nyingi.
@bahajajuma5947
3 жыл бұрын
God is good all the tym😍....trust u'r self and learn how to forgive"life likikaa sawa ntamfuata mke wng na mtt ili maisha yaendelee" majanaba u hv a smart heart kwa kweli😘
@veranlenard9184
3 жыл бұрын
Dah na kweli
@muniraahmed624
3 жыл бұрын
Something big god atakufanyia wepesi😊😍😊
@blancamushi8522
3 жыл бұрын
Lomnyaki Mungu akusaidie rafiki angu ulikua unanisaidia sana shuleni na nilikutana na ww kwahiyo hali ukanikumbuka daah ila leo nimejua bado unajitambua hope utakua sawa nitakuja arusha kwenu napakumbuka Amen
@shantalismailhassan9878
3 жыл бұрын
I wish no. yake ya simu ingewekwa ili kwa apendae aweze kutoa chochote. Yaani kwa namna nilivyojifunza maisha sitamani kuona mtu ktk hali hiyo au zaidi ya hiyo. God bless you "dingiliii" together we can.🌺🌺🌼
@salimmatalamoma8673
3 жыл бұрын
Huyujamaa ana akiri sana anajitambua na nimkweri kinoma yan safi nimemunea huluma vilevile nimemkubar sana anarizika na kidogo anachopat yaniii dar
@mahmoudaziz4717
3 жыл бұрын
Millard Ayo ungeweka namba za jamaa tumchangie japo kamtaji.jamaa yupo really which is good 🇹🇿tusaidiane watanzania 🇹🇿🇹🇿.
@peterlaurent4046
3 жыл бұрын
live angeweka namba
@steveagustino9368
3 жыл бұрын
Ni kweli aweke namba.
@amraniibrahim6906
3 жыл бұрын
kwel an
@phightv2816
3 жыл бұрын
Nimemuelea huyu jamaa sana mpambanaji ipo siku atatoka tu God bless
@andrewpastory4019
3 жыл бұрын
Very very nice interview with full of joy
@mwanahamis5487
3 жыл бұрын
Mashaa Allah.. Yechu Yechu kapata simu
@jumasima6757
3 жыл бұрын
duh kwenye life kila mja anatafta anavyojua maana usimseme mwanzako
@firdausgreen1391
3 жыл бұрын
Muhimu dua na juhudi...Allah nae atatia wepesi
@yahayamsuya2262
3 жыл бұрын
Anazingua sana kwa nyumba gani iwe kodi elfu25
@jamesjoseph6825
3 жыл бұрын
Mungu ana kila namna ya kumfungulia mja wake mlango wa baraka, moyoni mwangu namuona mbali majanaba, namuona akiwa kwenye nyumba nzuri na maisha mazuri, Mungu ni mwema kwa kweli
@kimwedeletventertainment5331
3 жыл бұрын
Namuelewa sana majanaba kipaj anacho anahitaj support
@aishaissa2249
3 жыл бұрын
Alhamdu lilah waeza sema unashida kumbe kuna zaidi yako 😭😭😭😭😭 jaa bless you😂
@mwaminindayishimiye4434
3 жыл бұрын
Hadi machozi yana nitoka 😢😢😢
@bilihaniadriano9446
3 жыл бұрын
😭😭🙆♂️🙆♂️
@kibasamohamedi8029
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄
@didahshee1877
3 жыл бұрын
One day yes Majanaba God bless you brother ❤
@issamsumi538
3 жыл бұрын
Mungu msimamie mwanaume mwenzetu mpambanaj ambae anatafuta kwa jasho lake
@chiefandrewkidulile3028
3 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni anatupenda sote,haya yote nimaisha......Tuko pamoja majanaba nakuombea maisha mema
@japhethgeriad4519
3 жыл бұрын
Hallelujah
@royaltv6420
3 жыл бұрын
Ubatikiwe kwa maombi yako
@franksarwatt9084
3 жыл бұрын
Anakitu lakini naomba sana aache kulewa maana humkatisha tamaa...? Stress ni kitu mbaya maishani... MAJANABA muhimu kupambna
@josef_rodrick4981
3 жыл бұрын
Safi sana Milard Ayo kwa kumsaidia hyo talented boynan....be belessed.
@potinaemanuel2552
3 жыл бұрын
Sijaona Kama Kuna umuhimu wa mtu kulia baada ya hii interview, Lengo si kulia Lengo kumsaidia hapo ndo tutaonesha kweli wengi tumeumia mioyon mwetu, Nampenda maana pamoja na maisha anayoishi Ila anafuraha kuliko ata waliokuwa na maisha mazur, M/Mungu akufungulie milango ya baraka
@junuferjinu1444
3 жыл бұрын
Daaaaaa MUNGU WANGU TUONE WAJA WAKO BORA USIJE IBA CHAMTU 😢😢😢🙏🙏
@mtasma1994
3 жыл бұрын
Eti kuna watu wanatumia jina lake kutengeneza hela
@godlisenservice9555
3 жыл бұрын
I love this buddy. One day yes. never Give up.
@mabendanyakisho4340
2 жыл бұрын
Really broz
@DM-bq7ys
3 жыл бұрын
Honestly is the key of like my guy. Jamaa yuko vizuri even tho low life
@hassanmkungile6021
3 жыл бұрын
Daaah maisha Aya Ila jamaa anaish maisha yake na Hana wasi wasi mungu mfungulie njie huyu jamaa😢😢
@bakarikayugwa237
3 жыл бұрын
Ebwana hilo ndo geto halina mbwembwe
@johnsonmalembeka3413
3 жыл бұрын
😂😂😂
@Mahonda8080
3 жыл бұрын
Uyu jamaa anakitu nashangaa watu hawakioniii
@aloyatanas6296
3 жыл бұрын
Huyu jamaa ana kitu kikubwa
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Sure kabisa
@rashidiramadhani5365
3 жыл бұрын
we uliokiona fanya jambo sasa
@joveomkenya
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/xI6GloiNgWKIlII
@cornelliusbaxter70
3 жыл бұрын
Kama umekiona wewe ni kheri...fanya kitu
@petronanyaro3001
3 жыл бұрын
Hakuna namba aisee, tufanye chochote maana jamaa anapambana sanaa@ like kama tuko pamoja kwenye kumchek huyo jamaa
@denismasele8346
3 жыл бұрын
Respect bro stay real is good thing one love
@fortunathabarabara8471
3 жыл бұрын
So emotionally 😭😭😭😭😭❤🙏
@jamesnkanga3107
3 жыл бұрын
Dah mungu akusaidie Kaka😭
@chunzaalex6275
3 жыл бұрын
Millard Ayo hongera Sana kwa kuangazia hadithi ya huyu msee
@hakunamatata7037
3 жыл бұрын
Thanks bro for what you have done to Majanaba I believe there was another video you have done yesterday with him. Big up for the support bro
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. Mathayo 11:28
Пікірлер: 1,3 М.