Ante sana Dr Kwa SoMo nzuri Ina imarisha ndoa ya wengi
@shabanidaudi720
3 жыл бұрын
Vizur sana dada mwanaisha kwakulitambua hilo bas naomba tumia nafasi kidogo kuwashauli wanawake wanaofatilia kipindi hiki cha uyo dr mungu atakulipa dada
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Maashaallah, shukran sana… sikuzote minaamini wanaume wote wangetumia akilinyingi kuishi nasisi dunia ingekuwa na amani kiasi kikubwa sana… Ila tatizo wanatumia nguvunyingi hatimae baadhiyao kwasasa wanaitwa wanaume kwajinsiatu na sio cheo au uongozi km waliopewa na mungu.
@kids_giftshopkids_giftshop3374
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣numecheka jaman
@chrissg4026
4 жыл бұрын
Kosa ilo tayari😂
@sharifamohammed809
3 жыл бұрын
Ufanye yote hayo siku ya kukubadilikiya nimoja 2 Hawana huruma wanaume wakiamuwa kukufanyiya kitu hawa rudi nyuma 🙌🙌
@hozzamwanaidy3289
3 жыл бұрын
Nimependa sana mafunzo yoko yananijenga,nayananifungua mambo ambayo nilikuwa siyajui.
@citegetsealine5704
4 жыл бұрын
Uko mwanaume mwenye busara,alafu nakupongeza kwaushahuri mwema unashauriya sisi wanawake, asante
@maggyfrancy
4 жыл бұрын
God bless you for reminding us! Ndoa zitakuwa bora sana tukizingatia mambo haya!
@babypijo5788
4 жыл бұрын
hayo mengine Dr wivu tu .inaerekea unawivu sn kwa mkeo msifiage nyie tu wanawake wazuri tukisifia ss kosa so kweri Dr
@perischari3630
Жыл бұрын
Kweli kabisa.Shukrani Kwa ujumbe mzuri.
@zamoyonimagige9619
3 жыл бұрын
Somo zuri sana
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@zamoyonimagige9619
3 жыл бұрын
Sawa dock nimekupenda sana mm nko kwenye ndoa ila nilikuwa na mgogoro na Mme wangu nikajua yey ndo ananikosea ila nilivyofatilia somo lako nimejifuza sana ady na yey kashangaa nilivyobadilika Kwa sasa tuko vizuri mungu akubaliki sana akupe maisha maref
@esternzumbi1888
2 жыл бұрын
mafundisho mazuri sanaaa🙏
@FarajaKwatwa
11 ай бұрын
aisee....umeongea saaaana...Bless you Dk.
@adelhemaboras546
3 жыл бұрын
Nimekubali. Hivyo ndivyo walivyo wababa wetu
@mwanaishahussein2635
4 жыл бұрын
Ni kweli wanawake tumezidi tuache madharau katika ndoa zetu tupate baraka za MUNGU😏😏😏🇰🇪
@dinahdianah9653
4 жыл бұрын
Kwa hii karne si mke wala mme wote tumekua vichaa kwenye ndoa , MUNGU aturejeshe kwenye position yake shetan ametukamata hatu- kamatiki ivi mm ujiuliza hii dunia itaisha vipi ? nkifanansha na wakati wa sodom yan ya wakati huu makubwa mdogo yana nafuu kna vitu nmevifunza kupitia mtandao hadi na regreat sanaa kua king'ang'anizi wakujiunga mitandaon kutoka ndio nmeshindwa ashindwe ibilisi a aye nkamatia humu n bora kua boya uone ufalme wa mbingun
@hamzasemgen3049
3 жыл бұрын
@@dinahdianah9653 you
@dinahdianah9653
4 жыл бұрын
Asante kwa funzo nzur sanaa pongezi, licha naomba pia makosa ya wanaume nawaona kwenye comments utadhan wao n malaika gabriel ameshuka kutoka mbingun I mean utadhan hawakosei, kwanza hawa wanaume ukiwasaidia n balaa wakati atakuacha atakuachia watoto , lkn kwa mwanamke kusaidiwa na mme si shida manake muda akiondoka atakuacha na something kwa utumizi ya watoto
@juventjustinianaloyse6640
4 жыл бұрын
Nipe nambako nikutumie whatsap mambo ya mwanamme from Dr K mauke 0756423952
nakukubali sana Dr mauki am 100percent supporting you
@Stellahnyongesa-mt6lm
Жыл бұрын
It has interesting notice shapens might
@syliviadeogratias6835
4 жыл бұрын
Value ya mwanamke ni kuwa na mahusiano. Hapo umeniacha hoi.
@renafarmers1375
4 жыл бұрын
Asante umenifunza kitu dear
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@hamisamaundi5661
3 жыл бұрын
Shukrani sana, unafanya vizuri sana kutukumbusha tuliyo yasahau, Shukrani
@kadogoomushadi5409
4 жыл бұрын
Sahihi kabisaa kaka unayosemaa shukran
@christophersunguti8957
Жыл бұрын
Umenijenga Dr asante
@hawahawa4976
3 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa elimu hii barikiwa sana
@maryemanuel6122
3 жыл бұрын
Thanks kuna vitu najifunza🙏🏾
@omarykajembe4385
Жыл бұрын
nipo ktk mgumu sana kaka criss..kosa la kwanza hadi la kumi yote mke wangu anayo..nipo ktk mchakato wa kutoka na tunawatoto wawil
@fridasanga2494
Жыл бұрын
Pole kaka yangu usimuache mkeo mtumia hii crip aisikilize uenda atapata funzo
@fridamarymakubo7677
3 жыл бұрын
Habari,docta naomba kujua nawezaje kumfanya mume wangu akaanza kufanya bihashara yake mwenyewe"how to start a business physically and mentally ?"
@silvesterpetro2544
3 жыл бұрын
Mungu akubariki
@Kitumainimauwa08
2 жыл бұрын
Thank you so much
@anaksa4412
4 жыл бұрын
Well said Dr, wanguu🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️qwa hayo yoote ni bure qwake, juu once you just mess kidogo, all those qualities zinageuka vicevesa qwako, untill you see yourself nothing on that rlnxhp 😔😔😔😔
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@esthermrambamramba1570
4 жыл бұрын
Nmejifunza asante
@joviangeofrey7212
4 жыл бұрын
Aya makosa ni kweli aisee yanafanywa sana na wake zetu. Tena yote hayo yanajirudia. Ila umegusa ili yarekebishwe then mambo yawe mazur
@elishalesilwa3365
4 жыл бұрын
Asante kwa SoMo zuri sana Hilo Mungu akubariki.
@halimashamis7811
3 жыл бұрын
Shukran mungu akusimamie as ante🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
Amazing speech may you live long life dr cris mauki
@ChrisMauki1
2 жыл бұрын
Asante sana rafiki
@danielmemiti4050
4 жыл бұрын
Kabixa Daktari barikiwa sana ujumbe wameipata
@mollelmjomba9237
4 жыл бұрын
Asante sana Mwalimu wangu, nazidi kujifunza mengi kutoka kwako, May GOD bless you!
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Asante sana
@wanjirukarago9308
4 жыл бұрын
Ndoa ni kazi kweli 😂😂😂😂 ....am not ready to do this ata submitting is a problem 😂😂😂.
@victorioussuestar3131
4 жыл бұрын
Wanjirus tuko na shida kweli kweli ikifika hapo😂
@juliuskoina6684
4 жыл бұрын
Woow i have learnt alot ,thnkz Dr
@PetronellaTembo-fq3un
Жыл бұрын
Asante baba
@mcnyawanda7971
4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana sana. Naamini watu wengi wamejifunza kupitia hapa
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Nashukuru sana mkuu
@davidmmbaga3350
4 жыл бұрын
Powerful! I love the background
@meryfrank5272
3 жыл бұрын
Ni kwel kabisa
@SporahappymacxMkomekwa
6 ай бұрын
Asante
@andrewmagwila1602
4 жыл бұрын
Point Doctor ubarikiwe sanaa
@zahraalbaloochi2841
4 жыл бұрын
Very good point...
@farhannahomary5505
2 жыл бұрын
Je mwanaume kukosoa ni sawa
@kamathimagretgm6952
3 жыл бұрын
Na Ikifikia pale mwanaume anajiona yy ako sawa especially akiangalia his background ...hw a Lady can handle that situation
@hamismabula5813
4 жыл бұрын
Ama kweli, "mwanamke amtii mume wake" utiifu ukitoweka ah! Basi!!!
@hannahkaruga1547
4 жыл бұрын
I mean well for my husband.. Mungu anisaidie.. Marriage is not a joke aki.. You're not brother and sister.. Ni ngumu aki wah
@SusanWangechi-h1z
7 ай бұрын
True 💯💯💯 mungu atusaidie sana 😊
@leahkhatoroinjenikhatoroin6151
3 жыл бұрын
ok, leo umenena lakini niulize mwanaume akiibia mkewe pesa apeleke mpango wakando matembezi, alafu mkewe ajue, kuna vile heshima itadumu
@hamiduiyaka1308
4 жыл бұрын
Broo umenifurahisha sana
@zainazaina8711
3 жыл бұрын
Hi Dr kama mara ya Kwanza alikua na michipuko nikamshika mara pili tena amerudilia mpaka sasa amezaa nae m chipuko mm aniaangali wala mtoto Wangu tunafanya KAZI pamoja na tunalipwa mshahara Kila mwezi yy Hana pesa na tunaishi pamoja
@erasmusdomician8056
4 жыл бұрын
nimependa somo dr
@re.emmanuelmdoe3345
Күн бұрын
🔑🙏💐 HALELUYAAA,
@aminashaibu7732
4 жыл бұрын
Dr.wanaume wengi ni wagumu sana kurekebishwa na wake zao,utafanyaje?
@ensanako44
4 жыл бұрын
Thats true they don't want to be questioned
@prettyh7509
4 жыл бұрын
Ahahaha ni mwendo wa ngumi ss hiv wanawake tunafanya mazoezi
@boazmosses8204
3 жыл бұрын
Jmn mwanamke wangu anatabia zote hizi hasa hili la 10 na la kwanza daaaaaah
@richardboaz-mashagospel2346
4 жыл бұрын
Man you are bright....I love it, I am staring this with my wife first and all married men in my Church. ¡Gracias!
@ChrisMauki1
4 жыл бұрын
Thanks so much
@sainapeisieku1598
3 жыл бұрын
Thanks alot nice one
@zuwenaabdallah199
2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 +
@syliviabaruti4660
3 жыл бұрын
yan uelewe makosa ya mwanaume malaya hapana kwa kweli tena anafanya umalaya waz waz bila kujali heshima yako wala kujali familia yko nitamvumilia akiwa hana hela na nitayavumilia madhaifu mengine ila cyo ya kimalaya 😭😭
@fozyafozya4060
4 жыл бұрын
Asante sana Dr Chris🙏
@ameenajumah7335
4 жыл бұрын
Shukran Dr.Chris
@DaveHumphrey2514
4 жыл бұрын
Tuseme ukweli, kuishi tu na mtu ni MAJARIBU MMNO, its a very discomfort zone, that gives us a chance of growth,imagine mtu na stress zako af bado unakutana na kisirani... Doh. Kipekee, DONT BE WITH SOMEONE BECAUSE YOU LOVE THEM, BUT BECAUSE YOU WANT TO "GROW". love goes away, once akicheat, akifukuzwa kazi, akikupiga.... Ila ukienda kwenye mahusiano taka kukuwa kiakili, kiuchumi, kimtazamo wa akili, kimapenzi.... Hakikisha, unajiona ukitoka kwenye hiyo relationship uko more resiliant to danger, more smart,, more loving, more patient... Hivyo vyote vizuri come in great pain, pain fruits are better than relaxing fruits.
@jackneymasamson8335
4 жыл бұрын
Wow nimeipenda hii
@DaveHumphrey2514
4 жыл бұрын
@@jackneymasamson8335 eeeh jacky, love is blind! Mapenzi ni upofu... Kukua ndio lengo kuu. Google growth kujua zaidi. Kunatisha flani...
@hoccyhilary6789
4 жыл бұрын
You are very smart, ila wanaume wengine hawajitambui, you found a best woman very good a Nakupenda anakuwa everthing kwake then anajisahau anakuchukulia kama you cant live without him, too bad, mnajisahau
@stanycleaners1886
4 жыл бұрын
Be blessed Dr Chris
@carolinenakirutimana1559
4 жыл бұрын
Wanaume munapenda kueshimia lakini hamutaki kuheshime wake zenu.. Tena wanaume munaweza na mweye ku fail .lakini kwa kuwa nyinyi ni wanaume munatawala hamukuaki Na kosa sasa mwanaume .
@yunismussa7191
3 жыл бұрын
Axante xana
@estherkabeya4453
4 жыл бұрын
Asante sana
@neemamtega7215
3 жыл бұрын
Nimependa Asante kwa mafundisho
@sharonadagala9251
4 жыл бұрын
Nice teaching
@sarahodenyi6940
4 жыл бұрын
point taken ..have Learn alot
@marymusangi5568
4 жыл бұрын
AKi nimeshukuru sana nimepata siri kubwa ambayo nilikuwa sijajua mungu akubariki nimepata funzo kubwa sana naomba unipe namba yako🙏🙏🙏🙏
@bizimanamariam4842
3 жыл бұрын
Kipindi cako nimekipenda saana mimi ni mtu kutoka Burundi, sasa kama Mme wako unaona kama anaaca kuhudumia famillia na hali yakua kipato anaco ,yéyé tu anataka mwanamke alete héla tu ,akisha pata héla za mwanamke anasepa ,kunawakati mwanamke anashindwa vumilia na akasema maneno inje ili afarijike ,samahani Dr mateso yamezidi kwenye ndoa nyingi ,
@lucyboniface8922
4 жыл бұрын
Uko vizur sana
@aqulinafaston9204
2 жыл бұрын
Doctor ninahitaji kuzungumza nawewe nakupataje
@ChrisMauki1
2 жыл бұрын
Piga 0713407182
@shabanidaudi720
3 жыл бұрын
Wanawake walio wengi dhalau zimezid sana hawajui samani ya ndoa ndo tatizo wana shindana na wamezao apo kuna maisha kweli ?
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Haha huyu jamaa ni Genius
@paulinamloka2817
4 жыл бұрын
In conclusion... don't break a man's ego. Embrace it❤
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤔🤔🤔🙌🙌
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Very true • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@dismusabong3708
3 жыл бұрын
Dr.Chris Nina tatizo moja..na tatizo langu ni hili...Nina wake wawili mmoja akona mtoto wangu na pia naishi na yeye na yule mwingine hana mtoto wangu mbali tuko katika mahusiano....mama wa mtoto wangu anapiga kabisa Mimi kuwa na yule Dada......na inafika mahali tunangombana kwa ajili ya yule Dada.....mke wangu ananieleza kuwa anampenda yule mwanadada kama rafiki mbali siyo mke mweza....nimeshindwa jinsi ya kufanya naomba unisaidie
@salamasaidi6620
Жыл бұрын
Tulia na mkeo acha tamaa hamtagombana
@aishamaulidi4679
4 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe doctor 100%
@aminathaabubakarmasoud565
4 жыл бұрын
Grace Kiria keep it watching, inakuhusu😂😂😂
@traidalaurence5137
4 жыл бұрын
Asantee dr
@angelcharles7731
4 жыл бұрын
Hakika umenena asante xna
@asantekwahuuwimbozubeda873
4 жыл бұрын
Wanaume sio waelewa maana hawajui majukumu yao wanatuelemezea mizigo mizito ss wanawake
Poleni wanaume mlifikiri wanawake ni malaika wasifikirie au wasifanye kosa lolote??Nawashangaa wanaume mnaona makosa ya wanawake tu mnasahau wanaume nao hatari
@watwegopnina6480
4 жыл бұрын
Aisee wanajisahau wanadhani ni enzi za Alnacha, mambo yanatakiwa pande z ote lkn siyo kusema mwanaume atajisikia dharau au vyovyote vile, kwahiyo mwanamke asifu hata kama vyote hamna? Mhhhhh sidhani
@asantekwahuuwimbozubeda873
4 жыл бұрын
Ukihesabu makosa ya wanaume huwezi kuishi kuishi na mwaume ata kidogo maana wamezidi kuwa malaya siku hizi wanahita nabii waombewe
@ashelyabely7854
3 жыл бұрын
Upo sahihi dor
@zlucaszacharia3202
4 жыл бұрын
Uko sawa
@gemkachar
4 жыл бұрын
Kosa la mwanamke kusema mme wake bure kitandani. Hapo ndoa kwisha.
@gfjdcxffxg6741
2 жыл бұрын
GOOD
@TausiRajabu-s1m
2 ай бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@kamathimagretgm6952
3 жыл бұрын
My Money his Money,his Money My Money ...but some men r taking wrong advantage of Ladies with big heart...sababu ya kumueka wazi kwa mapato kaa mwanamke,Mwanaume anakunyanyaza pale kwamba ukiongea kuhusu kusaidia Familia yako kaa mwanamke inaleta shinda na yy mwenyewe hakwambii kuhusu kuwasaidia
@chrissg4026
4 жыл бұрын
big up doctor👍
@filimonmboya5805
4 жыл бұрын
Nakupata vizuri sana
@wanjirukarago9308
4 жыл бұрын
Mnafanana na Waziri mmoja wa Kenya Aden Duale 🤔.
@alicewamaithamungai2078
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha uongo
@ednanyaboke4536
4 жыл бұрын
Kabisaa aky duale
@irenesteve9765
4 жыл бұрын
Hahaaa😆😆😆nilikuwa nathani ni Mr Duale
@essiewariuwawambui634
4 жыл бұрын
Yes, almost 😂😂
@margieashleymukami2927
4 жыл бұрын
Kogurokoga wee
@dorisndossi4734
2 жыл бұрын
Mungu atupe hekima tu baasi maana this gender 🙈
@lwisekweka8321
3 жыл бұрын
Kwani Dr. Anayetakiwa kulinda ndoa ni mwanamke tuuu.? Msomo yako ya mahusiano mengi yanahusu "mwanaume anachopenda na asichopenda" what about women?????
@shahzadmehmet5922
2 жыл бұрын
Exactly📌
@florencekiendi1727
4 жыл бұрын
Everything women this ,women that and men?when are we going to read about makosa men do..women also have value..can we for once have advice for men....
@ernestsinje9532
3 жыл бұрын
asante
@fhyubhhh2881
3 жыл бұрын
True...100%
@chikumbwilo9565
4 жыл бұрын
Naomba mawasiliano nimekusikiliza bado kunamambo mengine inabidi yakae sawa.
@modestarubunda4250
4 жыл бұрын
Mbona wanaume wanasifia wanawake wengine mbele yangu?
@sylvesterndundu6918
4 жыл бұрын
Kwa sababu huna matako kubwa
@fozyafozya4060
4 жыл бұрын
@@sylvesterndundu6918 😂😂😂
@dequeen460
4 жыл бұрын
Vumilia' kkkkkkkkkkkkkkkk
@gwaltuhappy4983
4 жыл бұрын
Iga ufe
@maryemanuel6122
3 жыл бұрын
Mi naona jamii ijitahidi kuwaelekeza wanaume kwa nguvu kubwa namna ya kuishi na wananwake itasaidia mno kuondoa sumu maana wanawake wengi wanafanya yatokanayo na wanaume”kama muwekavyo nguvu kwa wanawake basi wanaume pia muwaelimishe”mnakosoa sana wanawake hadi tunaogopa kuishi na wanaume tunawaona kama wapo complicated sana
@lydiabuyungu5117
4 жыл бұрын
What if najitoa ktk familia hrf mume anakutangaza ktk familia yake huna msaada wowote ili hali ukilinganisha pengine mke anajitoa almost 75% kuliko mume.
@joshuamwasandube5279
4 жыл бұрын
Upo vizuri dr
@carolinenakirutimana1559
4 жыл бұрын
Sasa docter unamaniisha ya kwamba Akifanya makosa mufano kuharibu Mali ya familia mwanamke anapaswa kubari na makosa yote? Ukinyamanza unamuacha anairibisha kisha mikiishiwa anaanza kukulani wewe mwanamke kama haufai.
Пікірлер: 286