Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.
@froma3732
3 ай бұрын
Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio
@thelalas9204
3 ай бұрын
Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
@user-sj3wf5vz7l
3 ай бұрын
Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi
@easternyerembe7271
3 ай бұрын
Hongera sana mh Paul Makonda
@user-ih1pk1vs4q
3 ай бұрын
Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole
@barakamanga5502
3 ай бұрын
Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi
@user-yc1tm4hp4n
3 ай бұрын
Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.
@babuuosama8752
2 ай бұрын
Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo
@HassanWarsame-bk3sv
3 ай бұрын
Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi
@jewajua-tv
2 ай бұрын
Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero
@ag3044
2 ай бұрын
Wow what r lady
@deega1234
2 ай бұрын
Hello ❤
@mansooralaisri5200
3 ай бұрын
Mahakama zinanuka Rushwa
@aminaosman3315
2 ай бұрын
,mahakama Tanzania tatizo kubwa kwa wany9nge wasio fedha wenye uwezo ndio wenye haki
@user-oo1vz3zi1t
3 ай бұрын
Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi
@mohdsaid8744
2 ай бұрын
Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati
@bakariomari8758
3 ай бұрын
Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti
@VailettyShigerla-fw2sg
2 ай бұрын
❤Mungu akuride
@user-ml3zf7mw1y
2 ай бұрын
Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao
@charlesmakuri792
2 ай бұрын
Du umezeeka pole
@hakunamatata8065
2 ай бұрын
Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa
@mohdsaid8744
2 ай бұрын
Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani
@user-ov7ge3ci6f
3 ай бұрын
Da rais samia unayskia haya
@radhiambwana3353
2 ай бұрын
Pole
@JohnP-gl1ie
3 ай бұрын
Mama mtafte n waziri slaa
@OmanOman-dn6dj
3 ай бұрын
Anaongea kama mangekimambi😅😅😅
@esterMahenge
2 ай бұрын
Kbs😂😂😂
@JosephuSwai
3 ай бұрын
Kweli mama
@VailettyShigerla-fw2sg
2 ай бұрын
Mawakili teden haki
@amaniarajiga1902
2 ай бұрын
Rushwa inapofusha
@hellenshayo3454
2 ай бұрын
Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz
@jamalimussa4928
3 ай бұрын
Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe
@Charzlomo
3 ай бұрын
Very sad why
@cephassikaonga6370
3 ай бұрын
Tatizo mahaka
@davidanselmo4041
2 ай бұрын
Arusha wamepata kichwa 😅
@fundimagari5825
2 ай бұрын
Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active
@AnoliasiKope
3 ай бұрын
mama yetu anajua mungu
@MosesJoseph-tp3dr
3 ай бұрын
Mchukue mwabukusi WA mbeya
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?
@geraldadolf4928
2 ай бұрын
Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO
@user-rc1dp6ux3k
2 ай бұрын
Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini
@user-sj3wf5vz7l
3 ай бұрын
Baba akiwa na mali ni shida
@charlesmakuri792
2 ай бұрын
Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,
@user-ov7ge3ci6f
3 ай бұрын
Da na jaji mkui yupo yan da
@Itsst4ra
2 ай бұрын
Watu wa Arusha wazuri
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda
@HassanSheikhghalib
2 ай бұрын
Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama
@mahamudali1453
2 ай бұрын
Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena
@msafiriomary893
3 ай бұрын
ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna
@valenakomba7686
3 ай бұрын
WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.
@user-zn6mg3xp3l
2 ай бұрын
Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!
@faidhatmagige133
2 ай бұрын
Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman
@rasnchimbi
3 ай бұрын
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@imranhassan9994
3 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
@user-xk7vy4gb6g
3 ай бұрын
Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli
@user-rs4vz2vt9z
3 ай бұрын
Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.
Пікірлер: 61