Piga kazi kijana walishazoea hao kuhonga sasa imefikia mwisho mungu akulinde
@exaverysimon1064
4 ай бұрын
M NDO MAANA NAPINGANA NA WATU WANAO SEMA ET VIONGOZ WOTE WA SERIKAL HAWAFAI WAPO VIONGOZ WAZUR TU KAMA HUYU GOD BLESS
@abuumuhammad7133
4 ай бұрын
Na mimi napingana na kuwa Serekali ya awamu 6 ndio Serekali sikivu na utekelezaji ila watu hawataka sasa sijui wanataka nini!
@laylayl5166
4 ай бұрын
Hatamimi sikubaliani nao wapo viongozi waadilifu kama huyu waziri wetu MashaAllah mungu amlinde kina chalamila yaaniwapoo
@zulekhaponti9353
4 ай бұрын
Wachache😅
@saidnoumani7244
4 ай бұрын
Hongera waziri unafanya kazi nzuri
@charlestobby6031
4 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏
@MegaAbby1010
4 ай бұрын
Great stuff Jerry, naona umerithi mikoba ya JPM
@user-wt7vf4uf3x
4 ай бұрын
Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.
@user-zg4yz7je8d
4 ай бұрын
Kwa hakika mimi ni mpinzani na siipendi ccm ila Jerry slaa Daa Bwana Yesu akuinue na akulinde dhidi ya maadui zako nimetokea kukupenda,
@jasonwatz7457
4 ай бұрын
Kuna mawaziri expetional, hailajilish wako chama gani, japokuwa wako wachache mno
@MinskBelarus-il2tl
4 ай бұрын
Mungu kakufedhehesha😅😅😅wachukie baadhi ya watendaji wa CCM,nasio Chama cha Mapinduzi. Hata ndani ya Chama chako wapo watendaji kama wa CCM
@dennishyera5448
4 ай бұрын
Aibu kwa walio mshindwa Mush, miaka yote hiyo alikuwa anapeta tu kwa raha zake hamna wa kumgusa du. Waziri hongera, God bless you.
@shaamemchauru1365
3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Ndo huyu kumbe? Shenzi kabisa
@muhammadvirjee
3 ай бұрын
Mweheshimiwa waziri anafanya kazi yake kwa uaminifu na kwa haki kabisa mungu amsaidie aendelee kuchapa kazi 🙏🙏
@harounkiyungi7288
4 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya
@user-vl5xv2xd6e
4 ай бұрын
Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen
@blandinamwarabu5025
4 ай бұрын
Mfate ofisini kwake utapata haki yako au mfuate Makonda hawa wamebarikiwa na Mungu asaidie watu.
@ClementinaHabineza
3 ай бұрын
Amen utasaidiwa
@aminaomary5567
4 ай бұрын
Mhe. Waziri huyu mzee mwizi na ni majanja sana anamdhulumu baba wa watu.Waziri ongera sana❤❤❤❤
@JoshuaMusukwa-kq4ll
4 ай бұрын
Waziri Silaa ongela kwa kazi zito Mungu Akubaliki sheria ni musomeno ongela sana Silaaa
@nyakatongongo4292
4 ай бұрын
Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena
@nassercurtis9579
4 ай бұрын
Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)
@hatibbaraka3956
4 ай бұрын
Waziri hukupewa kwa kubahatisha wizara upo vizuri na unaijua hasa sheria maana unavyowachalenji matapeli asee! Hongera zako!
@babazungu3180
4 ай бұрын
Huyu waziri siku 1 nilimsikia akisema yeye hanywi pombe wala havuti sigara na usiku yuko nyumban nikasema hapa nimepata kiongoz,hongera sana wazir wangu
@user-ul1co9kw4c
4 ай бұрын
Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.
@butoyihenis1389
Ай бұрын
Mueshimiwa waziri Silas Mungu akulinde ajaliye ujaliye ujage kuwa rayisi wa tanzania
@TitoRufizi-xb2ub
4 ай бұрын
Waziri nakupongeza sana kwa kazi unayofanya,unastahili kuteuliwa nafasi ya juu zaidi,viongozi wengi ni mizigo kwa serikali hawawajibiki
@emmanuelmwakyoma5746
4 ай бұрын
Ateuliwe nafasi ya juu alafu hii achukue nani? Maoni hayatoshi
@ngambikomsu64
4 ай бұрын
Nafasi hiyo inatosha apambane kwanza na hao mazandiki wa ardhi, akitoka hapo aingie wizara ya ujenzi apambane na makandarasi uchwara.
@HamzaGaudence
3 ай бұрын
Safi sana waziri mchapa kazi hodari so kinyonge an unaijuwa kazi ako na unaifanya vyema so👏👏👏👏👏👏💪
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Kwann mataoel wengi wa ardhi ni mushi,mmasi, yaani majina yaliyotrend humu 🙌
@jomba6514
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiongozi kazi nzuri
@aliabdallah8456
3 ай бұрын
Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri
@victoriamazula5592
4 ай бұрын
Peter nakuona lo ni miaka mingi sana enzi za NBC. Hongera kwa kupata haki yako
@elizabethtenge152
4 ай бұрын
Hongera kiongozi Mungu akulinde
@angonzamujunangoma8775
2 ай бұрын
Unafanya kazi nzuri mbunge wangu,Mungu akubariki
@zablonnyanda6095
4 ай бұрын
Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??
@user-ks7zc6kd7u
3 ай бұрын
Mungu akutunze na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako unawatetea wananakandamizwa
@dignakanje4508
4 ай бұрын
Nimekupenda mpka mungu amesikia.Mm SIPENDI uonevu kwenye nchi hii,ila slaa mungu akupe heri.Watoto wako wawe nahkma kma zakwako,Huna hraka huna hsira huna hk hka yamajibu.Unafanya kitu kwaumakini unaheshma nahkma.Mam akuache jmn uwanyoishe wenye mabavu,hpo mama hkukosea kukuweka hpo.Kwi umesomea ardhi mkuu.
@dignakanje4508
4 ай бұрын
Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.
@apolleorevocatus8577
4 ай бұрын
Kuna ndugu wa ukoo wake anaitwa Ryodes Mushi naye ni mdhulumati wa viwanja na nyumba Arusha kama huyu wa Mbezi Dsm
@kwzjkwz3532
3 ай бұрын
ukilikuta kanisani kitambi mbele kutoa sadaka huku likisema vijna hawajui kutafuta hela ila wachaga duh
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Kuna mmasi pia yaani ni aibu jmn Mpk wajane jmn,🙌😭
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
@@apolleorevocatus8577basi atakua yule aliyekutana na makonda Ndo maana nashangaa mbona Majina yaleyale kumbe ni ukoo 1 Aisee Kuna koo sio kabisa
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
@@kwzjkwz3532kabisa tena unakuta lizee la kanisa
@user-oo1vz3zi1t
4 ай бұрын
Hongera Wazir kwa maswali mazur yenyekueleweka
@user-ws8bc1jn7z
4 ай бұрын
Waziri jerry uko vizuri mungu akulinde katika kazi zako ameen
@NancyMatuli-fb5jp
4 ай бұрын
Mushi wewe mwogope mungu utasababisha watoto wako na wajukuu zako kupata laana
@user-qh2bx5em6j
26 күн бұрын
Asante👏🏻
@blandinamwarabu5025
4 ай бұрын
Mpeni ulinzi huyu mtu
@khamisjuma1278
2 ай бұрын
Hongera sana Mr slaa kwa kazi iliyotukuka
@nkenemalulu1330
4 ай бұрын
Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi
@chemstry409
3 ай бұрын
Mh SLAA ABSOLUTELY YOUR AMAZING BRO' PIGA KAZI WE ARE BEHIND YOU 100%
@salumchoma8731
4 ай бұрын
Kwa ukweli mawaziri wanaoteuliwa na rais ktk wizara hii mungu awajaalie sana kz zenu zinaonekana tangia Lukuvi,na Sasa Jerry silaa
@jumaayubumohamedi4813
3 ай бұрын
Bigg up mheshimiwa waziri hon Jerry Slaa
@johnmichaellukindo21
4 ай бұрын
Yule waziri mabula aliyeondoka ndio alikuwa anapewa hongo na kina mushi! Hongera slaa
@user-ii6gs2jg4g
4 ай бұрын
👏👏👏👏👏
@dotnatajoseph2620
4 ай бұрын
Huyu wazir ni hazina yetu ya baadae ya nnchi yetu mwenyez mungu amtunze inshallah 🙏
@shaamemchauru1365
3 ай бұрын
BIG UP JERRY PIGA KAZI HAKUNA UOGA,KUFA MTU ANAKUFA MARA MOJA....
@user-xo4cs9eu4o
3 ай бұрын
Tanzania inatakiwa kuwa na kina waziri Silaa kila mkoa na wilaya. Hongera waziri Silaa
@gladistaemanueliy6336
3 ай бұрын
Asant waziri mungu akubariki naomba uje arusha
@user-fv4zw5ki3x
4 ай бұрын
Nimependa sana mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge
@RoanCorporation
4 ай бұрын
Waziri mzuri sana , muisho mzee Meole amepata hati yake , mzuri sana
@user-cy5ck8lh4j
4 ай бұрын
safi sana wazili haki itendeke nawanao tumiya pesa zao wakomeshwe
@jamhurilibawa6505
4 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati.
@emanuelleopod3949
4 ай бұрын
Wachaga ukicheka nao ni wazulumishi balaa 😂
@abuumuhammad7133
4 ай бұрын
Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.
@safiaothman5175
3 ай бұрын
HONGERA MH.WAZIRI JERRY SLAA.
@rosehaule6765
4 ай бұрын
Mungunni.mwema sana Mungu pekee atakulinda waziri wetu
@leahivan6915
3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akutunze waziri.
@user-sj3wf5vz7l
2 ай бұрын
Dah wachaga kwa ardhi uwiii😂😂😂
@IsayaSosolo-nx8zk
Ай бұрын
Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!
@ahmadseaman3487
2 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@laylayl5166
4 ай бұрын
Mama yetu samiha umetupa kiongozi huyu niwaziri mashaallah
@salimamri6738
4 ай бұрын
Sio Mushi peke yake,wapo Wachaga wengi wavamizi wa ardhi za watu kwa kutumia ubabaishaji na jeuri ya pesa.Asante Waziri Slaa.
Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana, Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani, Hongera sana waziri
@simulizitanzania2571
4 ай бұрын
Sasa Nchi ilivyo ya kipekee,utasikia Jerry amebadilishwa wizara
@rashiditembo1574
4 ай бұрын
Mwenyezi mungu akutangulie waziri,
@YusuphMwangobola
Ай бұрын
Hyu mzee hatari .
@ismailmuna1604
3 ай бұрын
Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO
@lovegodmunisi1006
4 ай бұрын
Hongera kiongozi
@angellomarcel5677
Ай бұрын
Silaaaaa DADEKI
@sambulugu9988
4 ай бұрын
Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!
@johnmamuya5398
3 ай бұрын
Ndugu@sambulugu9988, huyu Mushi ni mhalifu na anatakiwa ashughulikiwe kama mhalifu na sio kama mchaga
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Aisee too much
@musayosia4081
4 ай бұрын
Mungu akulinde muheshimiwa uendelee kutetea wananchi🙏
@rosehaule6765
4 ай бұрын
Nimesikia aibu mzee unaaibikq kwnn jamani unakuwa na tamaa Mungu wngu Mungu akusahidie babaangu unafanyaje sasa..walah Mungu.mrehemu baba yngu apumzike kwa amani Sasa baba hapa mbona unapata aibu adharani kwa media kwa.mtandaoni kiulimwengu baba
@damsonwilson5202
4 ай бұрын
Huyo Mzee Tapel tuuu
@blandinamwarabu5025
4 ай бұрын
Matapeli wanababanishwa
@hassannasir4561
Ай бұрын
Alafu kwa nini Ni mabwashee Kwa Asilimia Kubwa Ndio Wanaongozaga ktk Utapeli Wa Ardhi
@sheilamarandu2750
4 ай бұрын
Mungu yupo tumeteseka mno
@anaabsaid3544
4 ай бұрын
The wachaga system popote walipo
@KeiFerouz-fn9oc
4 ай бұрын
Asante mama samia
@WatsonMwaigaga-uy5jk
3 ай бұрын
Kijana anafanya kazi. Mama usimwache uyu.
@matukutajuma156
4 ай бұрын
SHUKRAN WAZIRI
@matukutajuma156
4 ай бұрын
ASANTE KIJANA HUYO MUSHI ANAONEKANA MJANJAMJANJA WA MAHAKAMA!
@mlatambuu6364
3 ай бұрын
Sifa ya kwanza ya tapeli, ni kupekua pekua daftari au kuchezea simu wakati akihojiwa 😂😂
@user-rn6ft5yz2l
4 ай бұрын
Ndo viongozi tunaowataka mungu akubariki sana waziri
@bobobobosh2268
2 ай бұрын
Huyu hapo na Msama
@nurdinmfamau3493
3 ай бұрын
Kwa Sie Tuliosoma Masomo Yadini Tunaamini Kivyovyote Haki Aipotei Bali Nisuala Lamuda.Ila Tunaamini Upo Uwezekani Haki Kuweza Kuchelewa Tu.
@johnmamuya5398
3 ай бұрын
Mungu mlinde huyu mja wako ukipenda awe mrithi wa mama SAMIA 2025 tutafika mbali
@jtheophil5499
4 ай бұрын
Waziri mungu akusimamie .umeweza wako wengi kama uyo yaani ni balaaa.
@mohamedimuyugi6249
4 ай бұрын
Ongera sana kakaangu
@amosmbangala9079
4 ай бұрын
Waziri unafanya kazi nzuri naomba uje njombe kunatajili kama mushi anaitwa yohana sanga marufu makete namtoto wake endwin kasian sanga wanacheza na kaimu mkuu waidara ya aridhi kamishina namwenyekiti mtaa mjimwema lenard mkupi
@samsonmbukwa8389
4 ай бұрын
Lusha you tube wataiona
@MohamedIbrahim-bn1gz
4 ай бұрын
uyu mzee katuangaisha sanaaaaa sanaaaaa
@ChristopherKiwanga
3 ай бұрын
Jerry slaa mwamba WA ardhi......mbez,,bagamoyo Kuna mitapeli kama hayo mengi sana
@jamesjahasa3348
4 ай бұрын
Viongozi hawa MUNGU walinde hongela waziri
@EliaEgbert
4 ай бұрын
Huyu mzee anatowaga rusha silaa mungu akulinde
@mutlack
3 ай бұрын
Mwamba Mushi mwamba inapenda ardhi balaa
@user-kd9dc4li7f
Ай бұрын
Mchaga mwizi Uyo kwani Moshi hakuna Aridhi
@maneno_kairuki
Ай бұрын
Mushi ni mwizi sana
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Aisee
@winfredkaroli5065
4 ай бұрын
Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe
Пікірлер: 246