@billnass ningemwambia aanze tu mapema. Iweje kwa Ruge waende haraka harakA. Lkn kwa bilnas eti wamuangalie kwanza
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@towelman2380
4 жыл бұрын
Hello ...I really love this interview .you know how to do your work congratulations for that....love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@asiajuma8342
4 жыл бұрын
Yani creez anahoji vizuri adi raha hongera sana
@hamidaabdul556
4 жыл бұрын
Mungu awabaridi nawapenda sana
@leylahleylah4599
4 жыл бұрын
Hawa ndio aina ya waandishi tunaowakubali maswali ya maana sana na yenye mvuto...
@kibongobongo4608
4 жыл бұрын
Angalau NANDY kabahatika kupata wazazi wote wawili wenye busara na wapo nyuma yake kwa kila jambo. Pole sana GIGI kwa kukosa malezi mazuri ya baba na mama ndio maana unayumba. Na bahati mbaya umekosa washauri wazuri kwako mpaka watu wanahisi unatumia kitu yaani kama Sio akili yako
@happynesskipoya9777
4 жыл бұрын
Hongera mama
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
Mama mwenye KUJIELEWA🥰🥰🥰🥰🤗👌
@ikrammahonda4566
4 жыл бұрын
Mama cyokama amtaki nenga anawazuga wambea mambo yako Sawa itakuwa
@hidayaking3383
4 жыл бұрын
Mama ni mama jamani 😍
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
Adi raha Mama iko vizuri
@faridamayele6077
4 жыл бұрын
safi Sana mama
@munirahassan2220
4 жыл бұрын
Safi mama
@khadeejaabdullah7083
4 жыл бұрын
Mama mzaa chema MashaAllah
@susanruo8087
4 жыл бұрын
Creez gonna be the king size interview,... Maswali bomba
@asinathasinath5090
4 жыл бұрын
Ndio mana naipenda sns 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏😍😍😍😍😍😍😍
@gladystarraphael9298
4 жыл бұрын
Nice mother
@mariamalongo8803
4 жыл бұрын
Good say mama
@chainbre275
4 жыл бұрын
Ila chrez ww mujanja ka sungura ise Yani yani umegonja wenzako wa ende ili update interview bomba good job done
u guys just an advise, i do follow ur intervirews and this guy is an amazing interviewer i am not tanzanian..lakini labda niwape mawaidha tu,..doesnt look good using one microphone..kushinda kupitisha mic back n forth,..guys am sure u can do better thn tht walai,..ama vipi,..
@ndayushimiyeskitu1032
4 жыл бұрын
Naipenda sauti yako
@nassorsada213
4 жыл бұрын
Mama ni mama Nandy muheshim mama Hakun kam mama
@Queen-be1uf
4 жыл бұрын
Nandy alisema harusi yao itakua 1st of Dec 2020
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Waache i watu wapendane jaman maisha ni yao
@rehemashafi4809
4 жыл бұрын
Hongera sana nandy
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Billnass kaa mkao wa kula. Usije kuwa unapoteza muda mdogo wangu!
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
Mama km mama interview inetulia sana
@janemakonya7715
4 жыл бұрын
Nilimsikia nandy kwa millard ayo kwamba ulikuwa wafunge ndoa na Ruge. Sasa iweje kwa billnass wamuangalie kwanza ? Ina maana hawamuamini bilnass ?
@salehalbasam41
4 жыл бұрын
Bilnaisi bd ujana unasumbua ruge umri umkubwa wasinge sumbuana sn
@mdomani2404
4 жыл бұрын
Uwenda mama alimuelewa Sana marehemu ruge 🙄nimtizamo wang tu
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁🙉🙈🙊
@rahmaali4009
4 жыл бұрын
Saf mama kwamalez yenu bora
@chainbre275
4 жыл бұрын
Kwahiyo BillNas bado hajakubalika rasmi kwenye family ya Nandy
@masalakulwa7601
4 жыл бұрын
Mama Mandy usikubal kbs mwanao aolewe na bills. Mhuni tu Yule...mwanamke mwenzako hapa..Mandy sio wa kuolewa na bills. Take it or not
@sweetnesskway9794
4 жыл бұрын
Sema mapenz ni hisia jmn
@mercyfifi6587
4 жыл бұрын
Muace hizo wamependa wenyewe
@albeleenalberto158
4 жыл бұрын
Mama is beautiful than mwana
@kwisa4899
4 жыл бұрын
Huyu Mama hana tabu na mtu
@biancashamra1761
4 жыл бұрын
I don't like #billnass he is not the right man for her
@aishakhamis2996
4 жыл бұрын
Ohhh why?...
@masalakulwa7601
4 жыл бұрын
I second u maa' he is not the type...ptu
@masalakulwa7601
4 жыл бұрын
Nandy anatakiwa kuolewa na mtu anayejielewa .mtu mwenyew mipango yake ya kueleweka ..sio hao wavaa kata k
@جودقيم-ط2ظ
4 жыл бұрын
Wee usiongee vibaya kwa bilnass
@fatmafaki5665
4 жыл бұрын
Nandy sio class ya billnas mbona amvulia chupi mmh Kwan alikua ajui kma hana hela wazimu tu wanapenda wenyewe wayamalize wenyewe
Пікірлер: 56