Eéee Mungu katikati ya ghadhabu kumbuka rehema Tanzania🇹🇿
@user-pu4ys8cf5e
5 ай бұрын
Mungu wangu nisaidie niwe na mwisho mwema. Barikiwa Sana mtumishi
@joycemetili3876
5 ай бұрын
Naukumbuka ujumbe huu Chief Apostle. Uliutoa miaka miatatu iliyopita ujumbe ulikuwa na kichwa kinachosema HALI YA KUTISHA INAKUJA KWA KANISA. Na kati ya uliyoyasema tayari kuna ambayo yameshatokea na mengine yanaendelea kutokea. Hakika Mungu anasema na kanisa kupitia wewe. Mungu akutunze, akuhifadhi.
@NellyMbela
5 ай бұрын
Amina mungu atusimamishe
@musembijoseph5560
5 ай бұрын
😂😂😂This was last week service after watching BBC of TB Joshua why did the church post 2021?
@imanuelijoeli6794
5 ай бұрын
Miakamiatatu tena
@mselimsuya6952
5 ай бұрын
Taifa la Tanzania 🇹🇿 liko mikononi mwako Bwana.
@davidkuria6463
5 ай бұрын
Lo! Huu ni Unabii mkuu 👏🏾 Mungu atujalie neema ya kupambanua nyakati kama wana wa Isakari na kuwaombea Watakatifu. Yesu akubariki Mtumishi...
@RobertMushi-ym9me
5 ай бұрын
Mungu nisaidie katika hili niweze kuvuka katika bonde hili mungu niokoe 🎉🎉 apostle mungu akuweke miaka mingi na heri duniani
@MensonSichinga-rs3mg
2 ай бұрын
Mungu akuongezee macho yaki loho ni mekuelewa sana
@elizabethnicodemus5192
4 ай бұрын
Ee mungu unirehemu na uwalnde watumishi wako uwafunike ktk nguvu zako🙏🙏
@user-jv8ev5ol6y
5 ай бұрын
Ee Mungu anipe kushinda ktk nyakati hizi
@valenakomba7686
4 ай бұрын
SANAAA. NI KWELI KABISA. LAKINI HAWATAWEZA . TUNAOMBA ROHOMTAKATIFU STUJAZE NGUVU KIIMAMI, NA KIROHO, ILI TUWEZE KUVISHINDA VIZUWIXI KATIKA JINS LA YESU. ADANTE YESU.
@Kanutierastonyagawa
2 ай бұрын
Aminamtalemwa mchungaji wangu sema
@abigaelmokandu8978
4 ай бұрын
Amen amen mtumishi 😊waonye watu juu ya mavazi ya kigeni ,kunyoa style na vipindozi
@SamsonBupamba-oh3yl
5 ай бұрын
Truly Man of God,the current time is so bad for all true believers, may God help us now
@annehaysanday9214
5 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia apostle
@annehaysanday9214
5 ай бұрын
Jambo kubwa la msingi watu watubu na kutenda mapenzi ya Mungu na kumuhofu Mungu .Mungu ni mwingi wa rehema watu wakinyenyekea na kitubu ataghairi mabaya.
@zenassylvester125
5 ай бұрын
Biblia ndio kitabu chenye ufunuo wenye hakika kwa mambo yajayo
@godwinmakomba2714
5 ай бұрын
Nakupenda Apostle Kwa jinsi Mungu anavyo kutumia
@StephenKalenzi-fg3km
5 ай бұрын
Asante mtumishi tunaomba mungu turehemu Tanzania
@estermatee2120
5 ай бұрын
Sijawai kumsikiliza huyu mtumishi ila leo nimefurai kukutana na neno la mungu kupitia yeye❤wangu umefarijika sana
@pastorteddywaziri5754
4 ай бұрын
Unaongea ukweli mtumishi.Mimi mwenyewe hapa Sasa hivi napigwa makombora mpaka Sasa.Mpaka mtu unashangaa mtu ana kanisa kubwa ana kila kitu lakini bado anapambana na wewe au huna hata nusu ya watu alionao .Kweli nimeamini nguvu ya Mungu halisi kwenye Karne hii tuliyonayo ni adimu kuliko hata pesa.Asante Kwa unabii huu mtumishi.So powerful 🙏🙏🙏
@rabipaul2086
4 ай бұрын
Shalom! Ni kweli, chochote kilicho karibu na Mungu, hupata changamoto nyingi, usishangae hata rafiki au mtumishi au mtendakazi wa karibu akakugeuka. Songa mbele usikate tamaa. Tujifunze kwa Mtume Paulo katika Matendo ya Mitume 14,15........
@relaxtube1362
5 ай бұрын
Tatizo la wakristo wengi ni ku "IDOLIZE" watumishi. Things will only change kama tutarudisha sifa kwa Mungu na kuamini nguvu inatoka kwa Mungu na sio kwa watumishi
@jenipherkachecheba8097
5 ай бұрын
Ala kumbe!!ahsante mtumishi ubarikiwe sana! ndo maana Mwakipesile... na wengine! Mungu tusaidie.
@amaninyambulapi3650
5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ausitishe mpango Huu in the name of Jesus.
@veronicajm
5 ай бұрын
Ooooh Yesu uturehemu na utusaidie sisi watumwa wako.😢
@TwisaMwanjabala
Ай бұрын
Mungu atusadie kuelewa
@josephmahatane
5 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwaajili yako mtumishi wa Mungu kwa kuendelea kutufunulia mambo yajao. Yote uliyoongea tumeanza kuyaona sasa. Mungu akutumie zaidi na kukuhifadhi
@yoshuasalum8623
5 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu aliye juu sana, ndio maana nimejikuta toka mwaka umeanja,nina maombi kanisani ya kuimarishwa rohoni.mpaka nimekua najiuliza,kuna nini,ila jibu nimelipata tayari.asante sana
@festinamwakipale3919
5 ай бұрын
Mungu hashindwagi.kuna.watu wamepakwa mafuta mmewaombea.wakina mtalemwa wenyewe wataihubiri injili mpaka shetan ashangae.neno.injili itahubiriwa mpaka mwisho.wa.dunia watu.wasilichukulie lele mama.watatokea.watu wenye pawa kubwa kuisukuma injili someni.habari za.yehu ujue Mungu.hashindwagi mpaka kama mtu alifungua kanisa ili.apate.fedha atafunga maana wenye pawa hao hawatahitaji hela
@SikujuaEmmanuel-fj4mg
4 ай бұрын
Amina mtumishi mwenye masikio na asikie
@user-if5uk4sz8q
5 ай бұрын
Yaelewe hayo asemayo Mtumishi wa BWANA na tumwombe MUNGU atusaidie , apostle mtaremwa YESU akutunze sana tuko pamoja
@DANIELMWAKAPESA
5 ай бұрын
Mtumishi wa mungu utabili wako ni hakika kabisa maana mengine tumeanza kuyaona,,,,barikiwa sana
@sweetluc2660
5 ай бұрын
Mungu atusaidie tusimama na Mungu Ameen Baba huwa nakuerewa Sana
@RubaR-nr5wz
5 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana mchungaji mm ni mkenya nashukuru kwa ujumbe huu mungu atusaidie
@user-cs1ix8nb9f
5 ай бұрын
Mtengeneza njia ya nyakati hizi papa usizunguke, Yohana alitengeneza njia ya yesu mathayo 3:1-12 papa anatengeneza njia kwa ajili ya shetani siunasikia wanaume tuone, 2thesalonike 2:1-7. Mungu ni mwema atatutetea na kutupiganie yohano17:15-17
@jamiinaafyanjema2966
5 ай бұрын
Nimekuelewa sana man of God
@SarahKapella-rm2of
5 ай бұрын
Haleluya ! Haleluya! Praise to Lord. God bless you.
@solomoneglesias9752
4 ай бұрын
Niliamini ya kuwa u muonaji ulivotabiri kifo cha Magu,, ok Mungu awe nawe
@neemamourice
5 ай бұрын
Amen mtumishi Mungu atupe ufahamu wa kuelewa
@frankdanford8245
4 ай бұрын
Injili inayoponya na kuokowa ubarikiwe sana na YESU wa Mbinguni
@laurianj.luzwela2830
5 ай бұрын
Mungu atuhurumie Barikiwa mtumishi
@Elikanashileka
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤very TRUE
@venancymsukwa6431
5 ай бұрын
Nikweli kabisa mtumiiishi wa mungu imeanza mwaka jana walituzuia mkesha wa mwaka mpya mpaka saa sita mwisho na ma Askari waliingia kaninisani na kusema mkieenderea na maombi tunanyanganya sipika kwe li mpinga kristo ameanza mungu azidi kututia nguvu
@anyangojesinter5888
5 ай бұрын
Nakumbuka aya maneno uliyo yasema.nakubaliana na wewe kabsa 🇰🇪🇰🇪👍
@jacquelineelly6684
5 ай бұрын
May The Lord God have Mercy on us
@zenassylvester125
5 ай бұрын
I understand you... thanks for this
@coolruler6820
5 ай бұрын
Hawa watumishi wasio na roho mtakatifu bali roho mtakavitu ni wa kuangalia kwa jicho la pili, la sivyo wengi wa waumini watasombwa na haya mafuriko yao....ikumbukwe hata mpiga ramli ni mtabiri, ndivyo hata utaona Mamajusi pia walitabiri,,,,,amkeni watu wa Mungu kwani tuyaonayo si mageni kwa wanaoifahamu Bibilia, yote haya ya hawa watu yameandikwa
@peterkatete4008
5 ай бұрын
Pinga na la manyara
@noelpaul640
5 ай бұрын
True!!! Huu ujumbe naukumbka ulifundisha. Am blessed 🙏
@bensonmoris463
5 ай бұрын
mtume me nilikufatilia kwenye inshu ya magufuli kifo chake ulikiona kabla,nakukubali sana
Na hiki ndo watu hawakijui wanafikiri issue ni watumishi kumbe ni vita ya ukristo Tbj said before he died Mwal.mwakasege alisema 2yrs a go Na wengine wengi.....
@alexjeremia6471
5 ай бұрын
❤ Mungu atatutetea.acha tumwabudu yeye tu.
@nuruabraham3769
5 ай бұрын
Mungu nisaidie na unijaalie uvumilivu mpaka mwisho.🙏
@FrolianCharles-yt8qd
Ай бұрын
❤
@neemamajana3078
5 ай бұрын
KATONDA akubhele ❤
@festinamwakipale3919
5 ай бұрын
Ni kweli.watu.wengi.wanataka.ulahisi lahisi.kwa sasa.watu wanaingia makanisani ila wakiambiwa.wasifanye.vitu vya dunia hawataki kula.kuvaa.kunywa..jaman.watanzania tuache mazoea
@dorcusnkwao5714
5 ай бұрын
Mungu atuhurumie sisi na watoto wetu haya mambo yapo
@MaishanaDavid-ej1ic
5 ай бұрын
Genius
@hebronelly2891
5 ай бұрын
Mungu atusaidie
@ericamwkyokile4681
5 ай бұрын
Mungu atusaidie kusimama.
@AlexMkwama
5 ай бұрын
Upo sahihi By Rev Mkwama
@Churchofecclesia
5 ай бұрын
Weka ibada live apostle
@noelswai2660
5 ай бұрын
Nimekuelewa saana mtu wa Mungu
@innocentcareen818
5 ай бұрын
Mungu atatutetea
@user-oo3ev2hs1i
5 ай бұрын
Amen and amen 🙌🙌
@Heavenlightswai1164
5 ай бұрын
Mungu atusaidie sana
@saulimmbaga.safisana9556
5 ай бұрын
Nakuelewa sana aposto
@RobertsonNandime-eo9fp
5 ай бұрын
❤❤❤❤kweli jabisa
@edwinalkady9353
5 ай бұрын
Amina..
@stewartmosha4959
5 ай бұрын
Me nakuelewa sanaaa kuliko wotee
@samwelabondo2132
5 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏
@irakozeshakiru1131
5 ай бұрын
Amen 🙏🙌
@bushbabytz
5 ай бұрын
MMH MBONA KAMA UNABII UMETIMIA...TB JOSHUA AKAFA AISEE 2021 NA MPAKA SASA BBC WANAMUANDAMA AISEE
@happinessakim2679
5 ай бұрын
🙌🙏🙏🙏
@dee61509
5 ай бұрын
Mungu atusimamie
@FrolaMhagama-tt4ez
5 ай бұрын
Ujumbe ni mzur lakini Kuna wengene hawajui kingeleza hao itakuwaje nabi
@sundayherrieth9460
5 ай бұрын
Nakuelewa sana Mtumishi, nazidi kutiwa nguvu na Imani
@SomanjeMbewe-rq7dk
5 ай бұрын
Amen mutumichi
@skeeter24emma23
4 ай бұрын
HESHIMANTAKO MTUMISHI, HAO SASA WAMEBANZA NA SCOAN- HAKIKA MUNGU ANA ZUNGUMZA NA WATUMISHI WAKE
@israelimarco6465
5 ай бұрын
nakumbuka kabisa hii SoMo linaitwa majira ya Vita
@ev.mhugohantish288
5 ай бұрын
Duh
@MageJamess-ol9br
5 ай бұрын
MUNGU BABA atusaidie
@joshuaeliya8559
2 ай бұрын
Mwili wa Kristo leo? Nia ya mwili si mauti? Bado safari ni ndefu aisee
@user-rf9xt1rn3w
5 ай бұрын
Nataka kuombewa naumwa nko tabora
@user-ge3cg4ct9z
5 ай бұрын
Uko sahihi sana Mtumishi wa Mungu ila uko chini ya mtumishi aliyejiunga uabudu shetani jitenge na Bushiri na Roho wa Mungu akusaidie
@frenkfarm1139
5 ай бұрын
da mbalikiwa wamesha anza nae 😢ee mungu tushike mkono tunaitaji msaanda
@festinamwakipale3919
5 ай бұрын
Mwakipesile sio yule ni.mpinga kristo alimtumia fujofujo.zile.kama umefuatilia.crip zake fujofujo zilikuwa nyingi fikilia kama kila mtumishi tanzania ahubiri kama mwakipesile Shetani anapata nafasi mtumishi wa Mungu hatukani.watumishi wenzake ikiwa yesu hakumzarau yuda.utumishi wa kuzarau watumishi wenzako ni mpinga kristo I'li kazi ya Mungu isiwe.na sifa nzuri wenye macho wanajua mtumishi anazarau.watumishi wenzake wasiojua loho chafu wanaanza kutokuamini nguvu ya Mungu ko ishu.ya mwakipesile watamalizana.yy.na Mungu
@estermathias8354
5 ай бұрын
😢😢
@samwelikisigila4818
5 ай бұрын
HAKIKA YAMETIMIA CHIEF
@christinewomanoffaith5479
5 ай бұрын
Atapigwa mchungaji na kondoo watatawanyika
@ashurakodd1589
5 ай бұрын
Hivi nyie watanzania mbona ni wambea sana kila mtumishi ni muongo
@marionoti5760
5 ай бұрын
Mithili ya mganga wa kienyeji. Anacheza na akili za kusanyiko lake ili wasimkimbie.
@mwakibeteemanuel7781
5 ай бұрын
Ameen Grory to grory
@bensonmoris463
5 ай бұрын
washilika wana kaz wanadanganywa duu
@sophiaommy8343
5 ай бұрын
Umepotea njia Huku sio kwako
@estermathias8354
5 ай бұрын
Hata hakili kidogo tu za kuelewa hmn dahhh
@SophyJuma-hi6fh
5 ай бұрын
Wewe ndio utakuja sema hakuna Mungu we
@floramongi1410
5 ай бұрын
Huyu ni mpinga kristo utasemaje wakrsto wanadanganywa?
@user-ce4wg5de8c
5 ай бұрын
MUNGU atusaidie kuvuka
@msemakweli243
5 ай бұрын
Sasa wewe ni mtumishi?
@lampadshigonko3006
5 ай бұрын
huyu naye ni pimbi tuuu....kaz kutishA watu ili walete sadskq
@user-nf8gk5fi6c
5 ай бұрын
Mungu akurehemu
@joycejackson2320
5 ай бұрын
soma maandiko
@floramongi1410
5 ай бұрын
Acha injili ihubiriwe
@KAIPAAA3211
5 ай бұрын
Muongo vedio ya juzi unajifany kama unatabili wapumbavu nyie
@apostlemtalemwabushiri
5 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/2nqI2KuPj4amdIYsi=FZR_Pbu80zTIsCOr Video ilipostiwa KZitem mwaka 2021 nimekuwekea linkk hapo. Sasa unatukana tena matusi makubwa baada ya hapo ukiona ukweli hayo matusi yako yamuelekee nani?
@emmanueljohn8970
5 ай бұрын
Usingemjibu wengine ni miongoni mwao wapinga Kristo
@joycejackson2320
5 ай бұрын
utaujia upumbavu wake wakati makamasi yanakutoka!!! hata ukiua na wewe utauawa
@neemasanga5333
5 ай бұрын
ACHA KUTISHA WATU MALAKI 3:16-18 MALAKI4:1-3 NDO INATIMIA. MATHAYO 7:21-23. KAKUNA WA KUWAPIGA ILA MTAJIPIGA WENYEWE KWA MATENDO YENU. NI WENYE HEKIMA TU NDIO WATAELEWA, WEWE JIDANGANYE NA WADANGANYE HAO. ONDOA MBALI MANENA YAKO YA VITISHO ILI KUJIKINGA TUNAJUA YATATOKEA KWA AJILI YA MANABII WA UONGO.
@joycemetili3876
5 ай бұрын
Usikurupuke tu...Soma tena biblia ujue majira na nyakati alizoziamuru Mungu.
@josephezekielmasolwa8283
5 ай бұрын
@neemasanga5333 Mbona unasema hivyo? Huoni kama pia hilo nitatizo? Hekima inayofaa kwa wakati huu ni ile ya kusikia na kuomba " (Watch and pray)
Пікірлер: 122