Que vive la parole de nôtre Jésus christ de Nazareth
@peterekiru7607
Ай бұрын
Congo muko nyuma sana....watachukua miaka mingi kuelewa maadiko.Mungu awasaidie sana.
@Neemaa098-yf9os
Ай бұрын
Kwa kweli nduguyangu
@sheyosquad5755
Ай бұрын
Hawa wacongo ni sawa na waislamu
@Amitie-bb6bc
14 күн бұрын
Hauzi elewa mtu asipokuwa kiroho n'a kuamini kama yesus ni mungu
@macdonaldotieno5010
Ай бұрын
Kelele nyingi.
@stellakajuju-gj7fq
18 күн бұрын
Truth is most hated by humans being
@wilfredondieki5954
Ай бұрын
Mbwembwe
@wilfredondieki5954
Ай бұрын
Congo kuko na mbwembwe sana
@cyrusmutsami1195
Ай бұрын
Furaha 😂😂😂 tamu tamu
@nicholasambani4075
Ай бұрын
HAKIKA BILA SHAKA, MUNGU HAWEZI KUPATIKANA MAHALA KAMA HAPA!!! HII NI BABLONI TUPU!!! HATA MAZINGARA KAMA HAYA ROHO WA MUNGU HAWEZI KUKAA
@JaffOburu
24 күн бұрын
Proof from the bible
@japhetndoro6533
8 күн бұрын
WWE hujui kitu angalia mafundisho yake Paulo ndio utajua kulikuwa na mashindano soma acts18:28
@japhetndoro6533
8 күн бұрын
General conference haiwez fundisha hivi Toka brio huko jiunge na matengenezo
@nicholasambani4075
3 күн бұрын
@@JaffOburu PHILIPPIANS 2:2-5 2. Ijalizeni furaha yangu, ili mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, MKINIA MAMOJA. [3. MSITENDE NENO LO LOTE KWA KUSHINDANA WALA KWA MAJIVUNO; BALI KWA UNYENYEKEVU, KILA MTU NA AMHESABU MWENZIWE KUWA BORA KULIKO NAFSI YAKE. [4] Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. [5. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ILIKUWAMO PIA NDANI YA KRISTO YESU;
@mwanyunimadee4157
22 күн бұрын
Uzuri ujumbe umefika wsikize wasisikize hayo n yao
@MarcellinMitamo-jx6qu
6 күн бұрын
Mister peterekiru,usingali taja neno ao jina congo.ila ungetaja neno ao jina bukavu.
@loysamwel6308
29 күн бұрын
Haoniwasilanu
@BarakaZabron-py2fz
Ай бұрын
Mwanzoni nilipata shida kumuelewa ndasha,nikampa muda wa kumsiliza zaidi na zaidi. Nikamuelewa na nikaelewa na biblia. Yesu ni mwana wangu.
@donaldmwahalende4841
Ай бұрын
Ubarikiwe
@josephomollo1451
Ай бұрын
Amina mtumishi
@nyimbozakuabudu2650
18 күн бұрын
Lakin pia kuna maswali Ndacha hakueeza kutajibu kuhusu yesu kujiita Baba
@nyimbozakuabudu2650
18 күн бұрын
Na pia hakuweza kujibu kama Yesu ni Mungu au lah na kama ni Mungu basi kwenye biblia kuna Mungu wangapi , Haya ni baadhi ya Maswali sijawahi kuona Pastor Ndacha akiyajibu
@abednegokimeu7100
18 күн бұрын
Yesu n Baba kwa Sababu Yeye n Adamu wa pili, na pia Heb 2:13 inasema Yuko na watoto ambao Mungu alimpa so watoto wanamwita Yesu Baba...
@Shomariamuri1
Ай бұрын
Hapa kuko tu ushabiki. Watu hawafuatlilii maandiko 😂😂😂
@felixgitonga6783
Ай бұрын
Wacongo walimu warudi shule na mupatanizi mungu na wanandamu Nini?
@abelmoturi52
26 күн бұрын
Wakristo mko na kelele sana you don't know mko kwa kaninsa hapo mlipo
@aliiushuru8597
Ай бұрын
Kwa nini wakristo msiwe na msimamo mmoja ukristo sio dini wala kwa maandiko hakuna na ndio mana nyinyi wenyewe hamuelewani mngali elewana hamnge weka mhadhara wa nyinyi wakristo msi hangaike silimuni muwe wanyenyekevu waMungu/mufwate amri za mungu.
@macdonaldotieno5010
Ай бұрын
Na uislamu ni dini?
@user-hp6gz6ln4k
Ай бұрын
Niambie maana yadini? Dini inamaana njia.... Yesu ndiye njia kweli na uzima
@liroytito2472
27 күн бұрын
1st of all, the leaders/ teachers themselves are the one igniting and reigniting that fandom. Why ask them "ni raha sio raha?", what do you expect after tthat question. You are just arousing them
@DeluxlebonIbangyemabele
Ай бұрын
Jambo, mimi ni mcongomani nikiwa NAMIBYA, nahamini kweli WATU HUPOTEYA KWA KUTO JUWA MAHANA YA MAANDIKO, mimi waga nafatiliya sana ndacha na mazinge, pasta ndacha watu wana shindwa kuhelewa mahandiko, haho njo wa congomani haho kichwa kita kuhima, mwisho njo wana hanza semezana, lakini ni kweli ....
@macdonaldotieno5010
Ай бұрын
Hawa wacongo walitoka bure
@pascalkalama
27 күн бұрын
Sasa hawa wacongo shida yao ni nini mimi naona kama wamekuja tu kushabikia wachungaji wao juu maandiko yakisomwa na walimu wa upended mwingine wana yakataa hata kama yako wazi
Пікірлер: 38