Kurujuani inafanya kazi, na bado!! Akamatwe na akaonyeshe hayo mapori na alichokifanya huko na yeye amehusika.
@user-um5uw9yo5q
15 күн бұрын
Ccm ni shida kunankatibu wa ccm mkoanfulani anasema Hakuna maendeleo bila ccm kutaka hii inchi inaongozwaje jamani
@bonifacegasper9508
15 күн бұрын
Dam zinawalilia Bado watasema mengi yatakaa wazi,mbona mpaka sasa hajaojiwa napolice mpakasasa Kama selikali haiusiki.
@kekiplus1andonly
15 күн бұрын
Jamani mbona mnatufanyia hivi jamani😂😂😂😂😂😂
@user-sy5lx7el4z
15 күн бұрын
Wasafi tushawachoka mnajitahidi kuwatetea serikali lakini wapi?
@Magehemaj
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ChekaKivia
13 күн бұрын
Wanaogopa kwani unadhani hapo hawajui kwamba alichoongea huyo ni Cha kweli wanajua sana ila wanaogopa
@bennymochiwa4800
12 күн бұрын
Hawa wasafi wapuuzi sana
@neemamasimba2981
Күн бұрын
Wapo sahihi , kufanya hivyo . Mambo yanawabana.
@RajiEmadaki
15 күн бұрын
Mlango umefunguka kaingia bila kuona nyuma😂
@victoriabernard5287
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂jamani mnawazagaaaa
@BerniceAtieno-n4m
15 күн бұрын
Damu za watu zinawalilia
@wanejohnmsukwa6590
15 күн бұрын
Shetani akiwa ndani ya mtu kuna wakati anataka ajulikane mnahitaji elimu ya Mungu kupambanua hayo shetani amaesha ropoka kupitia mwili wake na sasa hapo alipo anashangaa imekuwaje karopoa hayo...Hivyo ukifanya uovu kwa siri ogopa ipo siku itajulikana tu .Kwa kusema mwenyewe au kwa kufichuliwa na watu.
Siku zote shetani akishakutumia tu ..ujue ni yake kwa baadae aje akuaibishe tu..
@OmarrySingano-kf9il
15 күн бұрын
Maripo nihapa duniani
@edsonnelson4464
15 күн бұрын
@@OmarrySingano-kf9il malipo siyo maripo
@AdamLameck-x5n
15 күн бұрын
Ok
@alexandermanase8956
15 күн бұрын
Tunapoona akina tundu lissu wanalalamika sana , Sasa tunazidi kuwaelewa daaaahhh siasa bhana
@israelkisaila8401
15 күн бұрын
Watu wengi sana wameshatolewa kafara ndugu acha tu😭😭
@newtonnyembe8228
15 күн бұрын
Mmeshatolewa kwenye issue ya Bint wa yombo.
@GabrielSky64
15 күн бұрын
Nikweri kabisa ila hata hili ni kubwa pia Tena saana@@newtonnyembe8228
@ElishaOisso
15 күн бұрын
Wakati wa mungu ni wakati sahihi,waofu wameanza kuumbuliwa..raundi hii mtasema yote mnayo yafanya kwenye mapori
@Leeeeeeee-96
13 күн бұрын
😂
@eliakanyika4921
15 күн бұрын
Wasafi mpo moto sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GabrielSky64
15 күн бұрын
Mbona mnajizima data amkumbuki yule Kada wa CCM alisema si ndio tunawapotezaga watu. Hivi vitu kitambo vipo wazi.
@josephkamatha407
15 күн бұрын
Lakini mmesema hata polisi aliniambia mbowe hatasihinda Ina maana ni serikali ilihusika
@hamadindago
15 күн бұрын
Ngoja ninywe chai kwanza
@OlivreKimario
15 күн бұрын
😂😂😂
@JohnMagudi
12 күн бұрын
siku za uflme zikipimwa ufalme huanguka wenyewe na hutekwa kirahisi sana,hawa ccm wasipomuogopa Mungu,wamepimwa kwenye mzani nao wamepungua ,hawa watu wenu wanasema kweli hii ndio siri yenu ,acha muwalize upya watu waliopotelewa na nd zao
@peemsafi6068
15 күн бұрын
Mungu watetee watanzania❤
@hamidabarraball3162
15 күн бұрын
Wee zembwela Fala sana unaongea tumbo sana, kwanini unageuza maneno?
@deusdeditishengoma4335
10 күн бұрын
Wananchi wataibwaga CCM kuanzia serikali za mitaa mpk uchaguzi mkuu mwakani.
@amanimrindoko7387
15 күн бұрын
Huyu jamaa ni jasiri na sio katika watu waoga, mkimchokonoa sana atajibu maswali yenu. Kwanza ameshapoteza kila kitu, hana tena kitu cha kupoteza.
@theteacherchance6750
15 күн бұрын
Beware of someone who has nothing to lose
@emmanuelmasatu
5 күн бұрын
Kamakweli Serikali haihusiki kwanini huyu Dc wa Longido hajafikishwa kwenye vyombo vya dola wala hajahojiwa wala hajakamatwa.!? CCM wanajua.
@LabanMauma
15 күн бұрын
Mwenyezi Mungu aliye HAI amejidhihirisha wazi kwa kumleta huyu DC wa Longido kusema hayo tena mbele ya kikao cha Madiwani wa chama tawala. Watanzania mnataka ushuhuda gani zaidi? AIBU kubwa!
@abelmghana2843
15 күн бұрын
mungu Asante sana damu ya mtu hapotei mungu anataa majibu Amina
@deusdeditishengoma4335
10 күн бұрын
CCM mwaka huu mnalo, lazima wananchi tuwabwage, kwa kuuwa watu!
@clauschaula2050
15 күн бұрын
Kila anyoshae mkono kumdhuru binadamu mwenzake hulawania yeye na uzao wake.Sasa wanaofanya hivyo waendelee tu kwani majibu ya Mungu hayana haraka kama chumvi kwenye mboga.
@YusufuMagembe
15 күн бұрын
Zambi huwa haidumu lazima iwaludie tu Mungu atatenda
@alexandermanase8956
15 күн бұрын
Mussa kipanya bhana😂😂😂😂😂, eti amjaze ujasiri😅😅,, mpeni namba jaman
@Souza_G_94
13 күн бұрын
Justice will be found hata kama ni late..
@sebastiansalamba313
15 күн бұрын
Nyoka akishaonekana maisha yake ni mafupi
@mussakingazi8875
15 күн бұрын
Fact
@edgarmbegu1974
15 күн бұрын
😂😂😂😂
@MohamedIbrahim-bn1gz
12 күн бұрын
Jelad yuko wapi
@SilvesterApolo
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 ila hii redio kitenge nomaa😅😅😅
@EstherHaule-pl9cl
11 күн бұрын
Mimi ningepewa kiti cha hakimu,hakika ninawaambia hukumu yangu ningekuwa naitoa ndani ya masaa 6 tu,kwasababu hauhitaji ushahidi umekamilika.
@solomonsaitabau4461
15 күн бұрын
mlevi anasemaga ukweli tu. tusisingizie pombe
@AishaOman-k6f
3 күн бұрын
Zembwela.nawenzie.mnafurahisha
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Nashauri huyu isiishietu kwenye kutumbuliwa achunguzwe aseme yote anayo mengi huyo yatatokea mengi
@israelkisaila8401
15 күн бұрын
Nani sasa wakumchunguza? 😢maana wahusika ni haohao?😢
@ImaniBalankwaya
15 күн бұрын
asa atamkamata nani hapo wakati wenye nacho ndo wahusika itaishia kupotezwa tyu bas
@EdgarLema-g6f
15 күн бұрын
Bila kupingwa inarudi😮 zembwela unashangaa nn tumeshamaliza kaziCHAMA CHA MAJAMBAZI(CCM)
@LoitushulYamat
13 күн бұрын
Nashangaa taasisi za haki za binadamu bado hawajampeleka mahakamani mpaka sasa hivi jamaa huyu
@peterakim9756
13 күн бұрын
Wanatuo Kwenye reli baada ya katibu wa ccm kukataa kutokea Kwenye mdahalo wa vyama vya siasa bila sababu
@Zenny89
15 күн бұрын
Serikalii itamuuwa kabla ukweli wote kutoka!!!
@omarmkumba3547
14 күн бұрын
Aaaaaah,kitenge we noma
@ThomasmerinyoMollel
12 күн бұрын
Nilikua siwapendi sasa nawapenda redio yenu taaaluma inafanya kazi yake sawiya
@user-bx3ko9ft5t
15 күн бұрын
Huyo Moja kwa moja ni muuuaji Msi mteteeee kabisa ndo muuaji wa wapinzani
@peterkanja4765
15 күн бұрын
Tafadhali msilazishe awajibu mnaweza fariki mapema kabla ya muda wenu. Mtaambiwa hata raisi wenu aliyepo ni wao walimuweka bunge lote limewekwa na selikali na hivyo haliwezi simamia serikali ni michezo ya kuigiza tu. Father kitima alisema hivyo hivyo juu ya wizi wa uchaguzi.Mbungo bishop Gwajima ulipatikana huku mawakala wa upinzani wakiwa wamechoshwa wewe uko happy tu na unajiita bishop huna chochote rohoni na waumini wako wanasema wewe ndio Rais wa baadae na kwamba umefunuliwa. Nape pia alisema mchezo unaofanyika sisi tunawàngalia tu siku tukichoka hata makabiri yatawakataa.
Dah, ama kweli, mumemkalia kooni haswa ipasavyo... Kongere kwenu watangazaji...
@JoffreyEmmanuel
15 күн бұрын
Kwani.yeye.alikua.nani 7:10
@hassnsalim5156
14 күн бұрын
DAMU YA BINAADAM HAIPOTEI ALLAH ATAWAUMBUA WOTE WANAO TENDA ZAMBI YA KUMUUWA BINAADAM MWENZIO KWA KULINDA VYEO VYA WATU MMESAHAU KAMA KUNA MUNGU NA KUMUABUDU SHETWENI
@IddyHassan-x7i
10 күн бұрын
Damu ya mtu asiyekuwaa na hatiyaa itakumalizaa tu kivyovyote tu
@joshuaswai8203
13 күн бұрын
Sehemu nyingine walifanyia kwenye shule za chekechea
@eliurumamalisa4700
13 күн бұрын
Uyo DC kasema ukweli wa serikali Yao ya ccm
@MpokigwaMwakalinga
13 күн бұрын
Natakakuunda kabila.naliita sambaramasai.ngorongoro laana ya wenyeji .
@donaldbenedict5761
15 күн бұрын
Wakiambiwa wanateka watu wanakataa leo mambo yanadhihirika kuwa kweli wanaoshukiwa ni baadhi ya viongozi
@JobnManase-gh2fp
15 күн бұрын
Lakini angekuwa chadema lina mhusu itelegensia
@bensonscott3491
15 күн бұрын
😂😂😂 kwenye mapori ndio tatizoooooo
@رقيهالخصيبي
15 күн бұрын
😂😂😂😂eti atueleze huko maporini huko kuna nini
@israelkisaila8401
15 күн бұрын
@@رقيهالخصيبيUWENDA ndo wanakowauwa watu😢😢
@VicentTarra
15 күн бұрын
Mnachambua kwa kutuchekesha jmn mbarikiwe
@abuumuhammad7133
13 күн бұрын
Na nani alimtuma? Na ilikuwa Serekali ya nani kipindi hicho alichodai 2020?
@mnolamanyendi4956
14 күн бұрын
Ndiomana walio zurumu uchaguzi ure walikufa gafla
@shikuhata
13 күн бұрын
Sasa kama serikali imefanya mambo mazuri meengi kwann isiwe sababu ya watu kupita bila kupingwa? Acheni uchochezi🤐🤐🤐🤐
@AbelJohn-tx4in
13 күн бұрын
Sass si mumwite huyo DC hapo wasafi kwenye interview mumuulize yote hayo
@saluuhans
15 күн бұрын
Vipara 😂
@abdallahkihanza482
15 күн бұрын
Ili serikali isihusishwe na kauli ya huyo bwana apelekwe mahakamani akatoe ushahidi kama serikali ndio ilimtuma
@sambigaDigital
11 күн бұрын
Kamwe! Serikali ya chama cha Mapinduzi, haimtupi mtu anaewafanyia kazi kubwa eyt kwa kosa la kusema hadharani kuwa anafanya kazi kubwa. , unadhani akiondolewa ..je, ukubwa wa kazi utafanywa na nani? Who is ready to loose ?
@amirjuma9395
12 күн бұрын
Nyinyi mbona mnampiga yeye anasema serkali nyinyi manasema ni wewe mnatuchanganya
@isaackemanuel3712
14 күн бұрын
Soon tutasikia Zembwela na Kitenge wameenda porini
@mrrockboy9508
15 күн бұрын
Awa jamaa wanajua kukabia juuu😂😂😂
@gtgmediaproduction764
15 күн бұрын
Mbona mnaanza kuitetea serikali Wakati amesha sema kuwa kazi ya kushinda madiwani wenye biti na wabunge nk kuwa serikali imesaidia kupita bila kupingwa mnataka Nini Sasa msigeuze ajenda amesema ukweli kwani uongo?
@KOLASCLASSICDESIGNS
14 күн бұрын
Damu za watu zinaongea huwezi kumwaga damu ikakuacha salama. washaanza kua vichaa taratibu
@PowerTZKifaru
15 күн бұрын
akaaaaa
@TitoRufizi-xb2ub
15 күн бұрын
Hiyo ndo ccccccm inayo fanya mambo ya kishenzi myaka yote,nyie msishangae hayo mambo kwa ma ccccm kawaida
@MpokigwaMwakalinga
13 күн бұрын
Hamjui nini
@msafirimatingo6065
15 күн бұрын
Mm nahisi watakuwa wamehama inchi kama Tulia alivosema
Пікірлер: 139