Mbarikiwa 🙏🙏👍Pure brain, pure heart God bless you 🙏
@DanielKoipapei
8 сағат бұрын
Hongera sana baba yetu ichii milele Mungu awabariki sana baba yetu amen
@christianchando7041
17 сағат бұрын
Huyu siyo Nabii na huo sio unabii, Labla waseme kuwa hiyo ndiyo mipango yao waliyoipanga. Hapo ingekuwa sawa, ila wasimsingizie Mungu, Mungu huwa hashushi unabii wa aina hiyo, Mungu haangamizi, Mungu anaponya na kuokoa
@neemamarko176
18 сағат бұрын
Mungu yupo pamoja nanyi Zaburi 118:17
@evangelistpetropiason6202
21 сағат бұрын
Mungu Yu pamoja nanyi
@Deboraclementgm
19 сағат бұрын
Songa mbele baba haoo ni wapumbavu kama waitwavyo Kwa bibilia ashinde sana in Jesus name
@SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr
21 сағат бұрын
BWANA YESU akulinde wewe nawenye haki wote
@eudockchrispine5608
19 сағат бұрын
Mbarikiwa kubali maonyo usichukulie vitu personal mpaka hapo umeambiwa kuwa Bwana Amemuonya,hilo ni Onyo. ONYO linakupa nafasi ya kujichunguza na Kutubu hasa kwako kama Mtumishi Wa Mungu,hivyo usijilinganishe na wakina lema na mbowe. Wewe ni Mtumishi unayetakwa na Mungu ukubali kugeuka maana Unamjua Mungu na unayo nafasi hiyo ya kutubu. Ikiwa Ujumbe huu umetoka Kwa Mungu basi si sehemu ya wewe kujihesabia haki ama kujilinganisha na wengine bali shuka na kuupokea Ujumbe na kutubu.
@FrankLambano
19 сағат бұрын
Amen huo ndo ukwelii kaka
@Mbarikiwa_Mwakipesile
19 сағат бұрын
Siwezi kugeuka kuwa mwizi, tapeli, muuaji nk ili tukufurahishe wewe. Kwani huyo panyarodi mwenzio anataka tuache kupinga hayo nawe panyarodi mwenzie unasema tukubali kugeuka.
@Mahegatv
19 сағат бұрын
Wewe kuna maonyo ya kuonya kweli ukajuwa kweli hili onyo limetoka kwa Mungu lakini siyo mtu katoka usingizini anaropoka tu anatabiri unjiga ndoo tuseme hilo ni onyo
@VailethGerald
18 сағат бұрын
Mbarikiwa hakuna mtumishi wa kweli asiekubali kuonywa usijihesabie haki umekua na upumbavu wa kurusha maneno machafu kwa watumishi kua na hekima
@NorbethJosphath-hm1zb
18 сағат бұрын
Muacheni mchungaji mbalikiwa mwakipesile amefanya mengi kwa Bwana tunaenderea kujifunza zaidi kwa mchungaji mbalikiwa mchungaji huyu nabii ametumwa anaelewa kinachotokea wala hajatumwa na Mungu kweli mchungaji mtetee Yesu vita ni vikari usirudi nyuma vita vimekwisha wote wanakufuta kwa mabaya wamekwisha meizwa na bahari
@ugalidona-cs2yn
19 сағат бұрын
Deo Lwaga njeni "katika UPUMBAVU WE NI MPUMBAVU katika UPUMBAVU WAKO UWO".
@ugalidona-cs2yn
19 сағат бұрын
Deo Lwaga njeni yawezekana umetumwa, ili waliokutuma wakija kufanya Mabaya waliokusudia sawa sawa na dhamili zao, hili uje useme ni unabii wako?. Je! Deo Lwaga njeni, hupo kwenye Mpango wa kishirika wa kishetani wa kutumiza mabaya juu ya watu hawa?.
@jacksonmkuye7739
19 сағат бұрын
Mbona nabii mwenyewe anatabiri kwa mashack kana kwamba kuna maneno anajitahidi kujizuiya asiropoke asije akavujisha siri.
@reginaldmapunda6702
18 сағат бұрын
Haijapita wiki nilisema hazitapita siku nyingi watumishi wa Mungu wataanza kupigana wenyewe kwa wenyewe hadharani . Nimewahi pia kuonyesha wasiwasi wangu kuhusu uwingi wa manabii na unabii au utabiri unaoenea kwa kasi kubwa hapa nchini ila tofauti yake ni kwamba safari hii unabii umewagusa manabii wenyewe na hapo ndipo wanapojitokeza na kuhoji uhalali wa manabii na unabii wao na kuwaita ni wapiga ramli lakini Ingekuwa ametabiri kuhusu viongozi wa serikali hizo kelele zisingesikika comments za like na kumpongeza zingetawala. Sasa hivi watumishi wa Mungu wanatoa laana,wanashusha wenye vipato, na mengi yasiyohesabika. Sisi tunawaangalieni tu lakini Mungu anawaona.
@msanginaza905
18 сағат бұрын
Kuna siku km week mbili zimepita nimeamka zangu kuomba usiku saaa tisa heeeh nakuta namuombea huyu baba yaaan najitwistiii kuomba yangu narudi palepale kumuombea huyu baba! Nikamuombea mpk nikapata Amani sijui alikuwa anapitia Nini mpk niguswe kumuombea
@sifawayesu7079
11 сағат бұрын
Ubarikiwe sana
@sifawayesu7079
11 сағат бұрын
Huyu kijana Deo ni wa nabii wa mchongo maana anabahatisha ila ikiwa mmojawapo atatekwa ibadi atuambie vizuri
@MusaNzunda-j3h
19 сағат бұрын
Mtumishi wesema wao sio mungu
@blackjack3356
19 сағат бұрын
Kwanza hafanini ata unabii kwaneno yake anaonekana nimwango nikama anasoma
@michaeljaphet2778
19 сағат бұрын
Kijana huyo musaidieni unabii gani huo jmn
@ConfusedBlockGame-nw3lb
12 сағат бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🤝
@hildandumbalo5827
18 сағат бұрын
Deo Lwaga amelewa bangi au mental
@charlesseba2000
21 сағат бұрын
Wanataka wakufunge kaka, wameleta majaji wapya wa kufanya Hilo na hila zao Zita kuwa wazi
@Mapitoyazamani-y7n
21 сағат бұрын
Tunaamini Mungu ni mkuu sana kuliko jaji yoyote.
@Mapitoyazamani-y7n
21 сағат бұрын
Duuuu! Mtoto anaharibika tukimuona na macho, nilijua anauhusiano na kauli mbiu yake ya MBINGUNI KAMA DUNIANI, kumbe dogo naye anaganga njaa mjini hapa.
@RevPrimiche
17 сағат бұрын
@Mapitoyazamani-y7n-Mtoto? 😅mbona kwenye comment yako tunauona utoto zaidi!! Nilitegemea hapa hekima ya hali ya juu ila naona maneno ya kihuni tu!! Mungu akurehemu na wewe.
@Mapitoyazamani-y7n
16 сағат бұрын
@@RevPrimiche Hauwezi ukaelewa namaanisha nini kwa sababu kwanza hata mtu ninayemzungumzia haujui hata robo ya historia yake, kwahiyo wewe kaa kimya tu!, pengine kama ni wewe ni chawa wake.
@RevPrimiche
15 сағат бұрын
@@Mapitoyazamani-y7n😂😂pole sana maana watu wazima wote wanaomjua kwa karibu kama unavyosema ni watu ambao wanaiishi Waefeso 4:29 kisawa sawa, wewe naona ni mshabiki huku mtandaoni na mtu uliyehemka, lugha zako tu zinaonyesha unatokea kundi gani.
@RevPrimiche
15 сағат бұрын
@@Mapitoyazamani-y7nHalafu kama ni Dogo kama unavyomuita na unavyojifanya kumjua Historia yake sana kwanini usimtafute ukaongea nae kuliko kuja kutafuta sifa huku mtandaoni, Anyway ukweli utabaki pale pale, Mungu bado anaongea na hachagui nani wa kusema juu yake!!Mungu Hamuwezi kumfunga kinywa kwa matakwa yenu binafsi
@Mapitoyazamani-y7n
14 сағат бұрын
@@RevPrimiche Wewe nadhani akili zako ni kama haziko sawa!, hivi yeye katoa unabii wa kipumbavu mtandaoni kwani hakujua aliko mbarikiwa au cassiani ili akawaambie private na badala yake anaropoka hadharani, uko sawa kichwani wewe?? haufikirii hata hilo tu??? yaani yeye aropoke hadharani halafu sisi tumfuate private, ndugu usinipotezee muda kukuelewesha kwa mambo ya kijinga hivi.
@hildandumbalo5827
18 сағат бұрын
Du!
@maliproductiontv5708
17 сағат бұрын
Toka hapa wewe deo ni panya road tu umefeli na unabii wa uongo wako. Au ulitaka kiki?
@Magufuli.
21 сағат бұрын
Songa mbele mzee wangu, huu ni wakati wa upepo na dhoruba za kuzimu.
Пікірлер: 65