Wengine wanatabiri mambo waliyo panga na wakuu wa Giza.
@masterhptv4065
Күн бұрын
Kama ni mtekaji au mchawi hapo Sawa anaweza akatumia njia hizo kutimiza maneno yake, ila Mungu wanae mchanganya hivi wataaibika siku moja, akumbuke Mungu adhiakiwi kiasi hiki
@michaelwanyanga
Күн бұрын
We are born to suffer means man is born into trouble especially for those born agains in both water and the spirit of the Lord. Come what may but Jesus shall reign forever. Keep going Mbarikiwa....keep going Cassian...keep going people of Jehovah-God, fear not for the reward of the righteousness is eternal life.
@RevPrimiche
7 сағат бұрын
@michaelwanyanga- do you really know the meaning of righteousness??Or you are just a vain fan of these "cross abusers" who think maturity is attacking other servants of God!!They are full of hatred and bitterness, without knowing they are heading straight to hell together with their following.Hebrews 12:14, says make every effort to make peace with everyone!!!What these your spiritual fathers are doing is against the bible and the way of the Lord. If you are wise you will understand this.
@michaelwanyanga
7 сағат бұрын
@@RevPrimiche Making peace with all men??? What's the real meaning of it? You might be right sometimes but something is missing.
@Mapitoyazamani-y7n
Күн бұрын
Huyu kijana aweza akawa chawa aliyetumwa kutabiri wakati tayari kuna watu wanaagenda ya kufanya jambo baya.
@FrankLambano
19 сағат бұрын
Hapana unaitaji ufahamu wa neno la Mungu tu nabii anapewa taarifa na Roho mtakatifu hauna haja ya kusema kilichosemwa ni uongo afu pia hatari kubwa sio kufiwa na mtot ila ni kuikosa mbingu ya milele hiyo ndo hatari kubwa kuliko yote
@ngosha2474
15 сағат бұрын
😂😂😂😂
@Mbarikiwa_Mwakipesile
14 сағат бұрын
Hiyo nimejitahidi kujilinda toka utoto na nazidi kujilinda, mbingu ni kanuni sio bahati nasibu, hayo tunayajua sio unabii kwa sababu tuko nayo kila siku. Acheni kukumbusha maumivu wakati bado tuko kwenye majanga, kwa sasa waweza ongea lolote
@FrankLambano
12 сағат бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nabii Deo atawanyoosha mpaka muludi kwenye kweli ya Mungu maan watumish wengi wameshindwa kusimamia kweli na kulitete jina la YESU nyakati hizi.
@FrankLambano
12 сағат бұрын
@@ngosha2474 Yec
@alunekyusa4905
22 сағат бұрын
Hili jamaa jinga kweli Mch.Mbarikiwa anakemea maovu na watenda maovu
@TeloAwor
Күн бұрын
Ashidwe kwa jina la Yesu kristo.Km ni uchawi umeandaliwa urudi kwa moto
@FrolaJerard
17 сағат бұрын
Mama uko sawa Mungu akubariki,huyo unabii wa uongo hao ni manabii wa kishetani lazima wakememee mtu anatumia mafuta,chumvi,chupi,keki ya upako uongo mtupu
@danfordMlagala
Күн бұрын
Tupate wapi wa awake mashujaa kama Hawa,Mungu tunaomba haki yako na isimame Ameeen
Mama Mungu akubariki injiri ya mchungaji mbalikiwa mwakipesile ni moto ulao pamoja pasko msamehe huyo kijana niwalewale wajifunze kwa Jakob watapiri waliotekwa wako wapi waturetee ndipo tutajuwa utapiri wao niwa kweli
@WilliamSomela
Күн бұрын
Zipimeni hizo roho kama zinatokana na Mungu
@m.m.tvmbebamaono
Күн бұрын
Nyie nao mshakuwa vichekesho
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Umecheka kwa muda gani
@mosessiame7882
Күн бұрын
Amina mama Mungu awe pamoja nanyi Kama alivyo kuwa Daniel ktk tundu la simba
@RehemaFord25
5 сағат бұрын
Tuisikie sauti ya mungu tu siyo wanadamu waota ndoto
@GabrielBoniface-pe3kc
Күн бұрын
Mpumbavu uyo achaneni naye poster mbarikiwa na mwenzake Cassian wanasema ukweli tena ukweli ule wa mungu Sasa uyo nabii jina anae sema awa maposter wetu wanaopitia maumivu kwa ajili yawatanzania wanao pitia shida 😢😢😢😢
@aderanderwa7623
Күн бұрын
Manabii wauongo wanawatesa watu sana
@angeliquemwamini4791
20 сағат бұрын
Wamejipanga ili ionekane wametabiri Waovu hawana akili kbs Mlioyapanga yawarudi Mara saba ktk jina la YESU.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
Күн бұрын
Mithali 16:25 Mithali 5:23. Subiri tuone neno lipi litasimama Kati ya neno lako au neno la Njeni lipi litathibitika?... Hapo tutamuamini Mungu atakayejitukuza kwa yeyote kati yenu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Huo sio unabii sisi tunajijua njia yetu ni hiyo asijifanye nabii wakati anatuona tunapitia hayo hakuna unabii hapo
@bennymayao4560
18 сағат бұрын
Ila uyujamaa ,hajuiwasimamao katikahani ,utafutwa kuuwawa, mpumbavu ,huyo we mama mbarikiwa endeleeeni mbele
@PolycapySilayo-g9w
Күн бұрын
Huyu ni miongoni mwa watu wasiojulikana,acha nishauri msimpuuze huyu nabii wa mchongo anawajuwa hao watu watakao wadhuru ,
@miraclelogistics1526
Күн бұрын
Wewe pamoja na mumeo mlishapoteza dira ya tayari(wokovu). .Kama unataka kufa kunywa sumu acheni kuwachafua watumishi. Mnajidanganya kwamba mnamtumikia Mungu. Shetani ameshawateka kwa dhambi ya 'kiburi cha uzima' "shina la uchungu linawasumbua...' mtoto wako amechukuliwa msukule maana mnafanya vita nya mwilini. Kama hamtabadilika kutubu na kurudi miguuni kwa Yesu kwa moyo uliyopondeka....AMEN NAWAAMBIA HAMTAKUFA MAPEMA ILA CHA MOTO MTAKIONA...siyo kila mateso for sake of Christ.....turn to Jesu freshly for the blood of Jesus still speaks better.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Umedanganyika sana vifungu vilivyo andikwa nanyi mtachukiwa na watu wote ukiwemo na wewe kasoro wanaojua nini tunakifanya, naomba uniambie mtoto alichukuliwa msukule wapi kwa hilo naomba uthibitishe. Ili niumie zaidi unaona kwa kupigia ni kwa mtoto, kinachowakwaza ninyi ni Isaya 58:1, 1Timotheo 5:20 haya wewe unamtumikia Mungu wala hutakuja kupata mabaya,akina paulo Na Yesu mwenyewe waliyopitia kwa sababu ya kizazi hiki mtasema kiburi, usijifanye nawe kusema yatawapata mabaya zaidi wakati tuko kwenye mabaya zaidi ya hayo niliyosema Usisahau kuwa wewe ni binadamu
@PastorEsngorowil
Күн бұрын
Nafikiri wewe huna watoto kama ungekuwa nao usingeweza kusema maneno mazito hivyo kwamba mtoto amechukuliwa msukulo..! Ok ipo siku litakupata na wewe ili ujuwe uchungu wa kufiwa Nikuombe mama mbarikiwa Hawa watu wanatumwa kukoment ujinga wao wala usiwajibu ukishafundisha inatosha but ipo siku nayo imewadia😢😢.
@AnnaFelix-p1z
20 сағат бұрын
Miraclelo ACHA tabia hizo wokovu upo moyoni na awo wameokoka vizuli ndomana wanachukiwa
@danfordMlagala
Күн бұрын
Mungu ni mwenye haki
@PonsSalimu
Күн бұрын
Amen
@angeliquemwamini4791
20 сағат бұрын
Yani kwakweli hawa wanao jiita manabi wameamuwa kuwa vichekecho mweeee
@HappyPaul-nj9ri
23 сағат бұрын
Jifunze kunyamaza kama kristo mwenyewe hakuwa akishindana na watu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
23 сағат бұрын
Kristo yupi ambaye alinyamaza? Wa Ulaya na Marekani?
@Dianamwansasudddw
15 сағат бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesilesometimes mna majibu mabaya.God help is
@Pendopasilika
Күн бұрын
Unajuwa watu wengine wakishaona mahala pa kukumiza basi watatumia hapo lakini MUNGU yupo tambua kuwa Mbarikiwa na mke wake ni wanadamu wanao moyo wa nyama kama wewe na MUNGU anaona kile umekoment tayari kimeandikwa mbinguni kwenye kitabu cha matendo ndugu jua utavuna duniani kwanza labda uwe tasa nakushauli tubu kabla hasira ya MUNGU haijakifikia
@HAAM670
18 сағат бұрын
Nabii amesema alichoonyeshwa, kosa lake ni nini???Mnapambana na Nabii au na Unabii? Tujifunze kwa Hezekia alipopata unabii alifanyaje???
@lucaspilla873
Күн бұрын
Nyinyi watu ( watumishi wa Mungu mbarikiwa na Cassiani) tubuni kuna mahali mnakosea hamuwezi mkashindana na Mungu na watumishi wake mka kaa salama,
@happnesskitumbo5713
Күн бұрын
Acha ujinga yeye aseme ni mipango Yao ya kuwadhuru baada ya kuumbuliwa asiseme ni unabii unabii Gani! Yeye mwenyewe huyo DEO nabii wa uongo tu kama manabii wa uongo wengine soma neno la Mungu mwenyewe usisomewe na kutafsiliwa na mtu utapelekwa kichakani.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Panyarodi ndio watumishi wa Mungu? PETRO alikemewa na Paulo je kunguni hawa wako zaidi ya Petro wasikemewe? Ni kweli hiyo ni mijitu iliyo na mahusiano mazuri na wauaji au inahusika yenyewe kuua watu
@joyceatupele8848
Күн бұрын
Musihukumu msije mkahukumiwa
@aderanderwa7623
Күн бұрын
Tunawasema kwa sababu tuna uhakika ni waongo mimi nina uhakika wa Manabii wa uongo kama 50 hivi nina wajua nilisali kwa Rais wa manbii najua uongo wao wote huwezi kunidanganya Je unamjua Rais wa Manabii nimesali kwake miaka 4 kwa hiyo huwezi kunidanganya hata kidogo mimi siwezi kuwasema watumishi wa MUNGU wa ukweli mimi nasema hawa waongo ili watu watoke huko wanapokea YESU KRISTO yuko malangoni
@happnesskitumbo5713
Күн бұрын
Uliona Nini ndugu SEMA na wengine angalau wachache washituke.
@angeliquemwamini4791
20 сағат бұрын
Huyu nabii nikibaka ni mjinga Sbb hajiamini kbs hanahata aibu
@FrolaJerard
17 сағат бұрын
Huyo kijana katumwa bora atubu
@RehemaMtono
Күн бұрын
Huyu njeni niwalewale hana jipya
@gotafostv7305
Күн бұрын
Eti unabii ,unabii wa majalalani uko,sema tupo kwenye mpango wa kuua ,acha usanii
@MariaNdagile-hx5pr
Күн бұрын
Mama uko vizur sana ila yote ktk yote nenda mkatubu kwa mama mkwe wako .
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Wakatubu kwa sababu wamemtendea mema? Ulitaka wamtendee mabaya?
@Mapitoyazamani-y7n
Күн бұрын
ILA MANABII WA SASA DUUU! NI NJAA TUPU KATIKA BIBLIA HAUJAWAHI KUTOKEA UNABII WA KIJINGA NAMNA HII! VIJANA NJAA MJINI
.MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO TUNAOMBA UTUREHEMU NA KUTUOSHA NA KUTUTAKASA KWA DAMU YA YESU KRISTO.tunaomba tuondolee kila dhambi,makosa na machukizo ndani yetu na mbele zako.MATHAYO 26:28.Ufunuo waYohaya 1:5
@janewanjira-ki6ib
Күн бұрын
Manabii ya uongo ni siku za mwisho ;;Mbarikiwa endelea na iinjili
@Pendopasilika
Күн бұрын
Watumishi wa MUNGU, MUNGU wetu ni MKUU ni kukutaa kufa hapa hakuna kulala, kazi ya MUNGU bado inaendelea wanataka kuwapunguza na kuwatoa kafara hakuna kitu kitachotendeka kwa jina la YESU tunakataa BWANA YESU wasimamie wana wako
@charlesseba2000
Күн бұрын
Huyu habit ni zumarid
@veronicamusomba309
Күн бұрын
Kufiwa na mtoto ni kubwa kuliko kama hujawai kufiwa huwezi kuelewa
@JosephAkida
Күн бұрын
Hakuna unabii hapo kweni kwa akili ya kawaida kabisa nani asiyejua mbili jumlisha mbili ni nne ni machizi tu watabirio kuwa nne ilihali jibu ni nne
@HAAM670
18 сағат бұрын
Kama nyie mnawakosoa wengine, kwanini nyie hamko tayari kuambiwa chochote??? Ina maana hakuna mnapokosea? Injili ingekuwa ni kukosoana tu tangu zamani, hivi Kazi ya Injili si ingekwama??? Tatizo watu wana specialize kwenye Ukosoaji tu. Huduma zipo 5, hio ya Ukosoaji ndo ipi???
@nicholaswaemmanuel7221
Күн бұрын
HUYU NAYE KACHEMSHA KABISA. HII NI MIPANGO YA KAWAIDA TU! ASEME VIZURI ALIO NAO.
@PolycapySilayo-g9w
Күн бұрын
U
@angeliquemwamini4791
20 сағат бұрын
Yani kwakweli hawa wanao jiita manabi wameamuwa kuwa vichekecho mweeee
Пікірлер: 66