Duh.. MUNGU yupo pamoja nawewe Mtu wa Mungu....kila jambo linahatima yake. Watavuna wapandacho .... MUNGU awe pamoja mama salome pia... MUNGU awape hatima njema
@imanimaulid8304
Күн бұрын
Hayo mchungaji achana nayo we twanga injili tu huko Sasa utaharibu😢
@JofreyMsigwa-ok7hv
23 сағат бұрын
Nikweli ndugu amwage moto wa injili tuu hayo hapana
@josephifanda5626
Күн бұрын
Mpaka hapo utaratibu wa kuoa hukuwa sahihi, huku mshirikisha Mungu vzr, ulikuwa kimwili zaidi, haya mambo sio sahihi kueleza hapa,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Hongera uliyemshirikisha Mungu vizuri. Comment za aina hii huandikwa na wapambe wa wauaji.
@beathapontian2187
23 сағат бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu.
@angeliquemwamini4791
19 сағат бұрын
Watu hawana wema. Kwani mtu kuuliza mwenzake ju ya maamzi yake inakuwa vby? Nyiee wanadam hakuna atakaye waweza. Mlishazoweya kujifanyiaa mambo yenu kwa siri ndomaanaa hamtaki kukemewa.
@gowekogoweko5803
2 күн бұрын
In God We Trust
@RosemaryKimario-q3n
3 сағат бұрын
Hivi huyo salome amezaa watoto wangapi na huyu mbarikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
2 сағат бұрын
Ukijua ili iweje? Limbukeni wa smart fone si ufuatilie mambo ya nyuma kabla haujawa na smart fone ili upate majibu bila kuuliza uliza?
@Witnes1234
Күн бұрын
Kwa maelezo yako baba haukutumia utaratibu mzuri kwenye uchunguzi wako juu ya mabinti wawili uliotaka kuoa. Na hiyo ilisababisha uadui baina yako na hiyo familia. Makosa yalifanyika lakini hakuna justification ya kufanyiwa ubaya kwa sababu ya kosa hilo.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Hapo kosa ni lipi. Hakuulizwa kaka yake kindugu, bali kiroho kwa kuwa alikuwa ni mchungaji. Zaidi ya hayo hatukutumia ushauri wa kaka mtu tu bali hata watu wengine walikataa.
@MagdalenaMatiko
7 сағат бұрын
Kama mch violet alishaolewa kuna hekima gani kmsema eti alishikwa na mme chumbani kwao,hv umeshikwa na nini hasa😊
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 сағат бұрын
Kuuawa mtoto unafanana na kuolewa? Tushindwe kujadili mipango ya kuuawa ya kuuawa mtoto ilifanywa na watu wenye roho ya aina gani kisa ndoa uchwara? Kwani wote walioolewa na kudumu katika ndoa hawakuwahi kuzini kabla?
@MagdalenaMatiko
7 сағат бұрын
Kuwa makini sana rudi magotini utengeneze kuna mahali umewezwa na adui hayo yote anakucontrol kukuharibu na chuki mtu wa Mungu hakai na chuki anaachilia si uachilie yote umwaxhie Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 сағат бұрын
Yesu alisema mabaya aliyotendewa hakuachilia? Ayubu 7:11 Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.
@MagdalenaMatiko
7 сағат бұрын
Tuambie sasa salome alikuwa bikra?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
5 сағат бұрын
Jibu ni ndioooooooo.
@Amedeus-fg8wq
Күн бұрын
Yani Ndugu yangu sasa umepotea kabisa hizi porojo waaachie wana wa giza simama na wito wako,yani Mambo haya yanatusaidia ninii umeishiwa kabisa shetani amekupepeta Kama ngano,kila siku unakuja kutafuta huruma za watu humu mtandaoni kwa Mambo ya ajabu,Rudi katika mstari
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Hatutafuti huruma ya shetani kama wewe. Kwani walioandika visa vya kuteswa kwao katika Biblia walikuwa wanatafuta huruma yako? Nyoka ni nyoka tu.
@KamugishaSupe
Күн бұрын
Mtumishi nikuombe wakati wa majaribu huwa unabaki pekeyako tu hivyo nikuombe usianze kufikilia watu kabisa Roho wa MUNGU ataondoka kwako kwasababu ya uchungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Hatufikirii watu bali tunajulisha watu ili wengine waweze kustahimili watakapopitia hali kama hizi.
@tumainichanya3268
2 күн бұрын
Ila kumbe wanawake tunalindwa Sana bila sisi kujua,Yani mpaka kumfikia hatua ya kuolewa unakuwa umechunguzwa mpaka sio powa,unachambuliwa hadi unachambuka ,kweli nimeamini kupata ndoa ni kipengele Sirius Sana.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Ni mwanaume aliyejitunza tu na mwenye mtazamo mkubwa ndio hufanya uchambuzi wa aina hii. Zaidi ya hayo humfanyia uchambuzi wa kina mwanamke ambaye kwa mtazamo wa haraka haraka hana makandokando na kujua kama ana picha gani. Ila kama wewe ni kiruka njia utakutana na wa kufanana nawe faster. Huyo hana muda huo
@MbokaRechadi
Күн бұрын
Mc 😂 hatari mshamba huyo mc nakuja mby nimuone
@josephifanda5626
Күн бұрын
Kwahiyo mambo yako binafsi, unaanza kuleta mbele ya watu, alafu unamuulizaje kaka mtu umue dada yake? Hiyo ilikuwa ni roho ya unzinzi, wewe swala la kuoa hukupaswa kuuliza watu, ulitakiwa umkabidhi Mungu,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Күн бұрын
Mimi simwabudu Mungu hewa. Mimi kuwauliza watu wenye nia njema ndio kumuuliza Mungu. Maandiko yafuatayo hayajasema muulize Mungu hewa bali Ayubu 8:8-9 8 Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta; (Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;) Kwa sisi vizazi vya zamani kuoa halikuwa binafsi na mtu akifanya jambo ovu si binafsi. Bali imeandikwa hivi katika 1 Timotheo 5:20 kusema kuwa; Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope. Ila kwa comment hii unaonyesha una maslahi makubwa dhidi ya wanaoniumiza. Yaani haujaona ubaya wao ila ukaona mambo binafsi. Na hata hujui ubinafsi ni nini? Na kumbe ubinafsi ni tendo ambalo hulifanya mtu akiwa peke yake. Yaani halisababishi madhara au faida kwa mwingine. Ila nimeshakujua. Nimejibu tu ili kuwafunza wengine
@jacksoncharles5411
Күн бұрын
@josephifanda5626,uwezo wako wa kufikiria na kutafakari mambo,ni dhaifu sana,au hujuwi kilichomfanya mch.Mbarikiwa kufika hatuwa ya kuweka wazi hayo unayoyaita mambo binafsi?.
@PolycapySilayo-g9w
Күн бұрын
Hebu tuelewane ukiona mtu mambo yake binafsi ameyaweka azarani fahamu c binafsi tena ,pia uongo ukisemwa mara nyingi usipokanusha watauamini .
@edgamwakyoma1649
Күн бұрын
Huyu anaye jiita mchungaji ni fala kweli kila siku story za kutaka huruma ameishiwa cha kuongea kisingizio wanataka kuniua wakuue kwa lipi ulilo nalo zaidi ya porojo
Пікірлер: 33