Kweli Paul unaijua Biblia Mungu akubariki na familia yako
@IbrahimMarwa-i5x
7 күн бұрын
Nena kwa ujasili Aliye juuyako ni Mkuu
@petermabada5628
6 күн бұрын
BUNJU A siyo MBUJU A,
@mjombawallace4966
7 күн бұрын
@Ndacha Asante Kwa mahubiri baba
@EliudWafula-v9c
Күн бұрын
Ajana nae mwalim pia naongesea hiki kitabu 2watheson 2:11-12
@eunicenyandiko1389
7 күн бұрын
Ukweli usemwe kanisa
@SamuelmuneneMuthoni
6 күн бұрын
Ndacha tell them na umbatize
@user-kr9xx8br4o
5 күн бұрын
MARKO 16:17 17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; 18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya. NENO LA MUNGU HAPO LINASEMA KWA JINA LA YESU UTATOA PEPO, UTAWEKA MIKONO JUU YA WAGONJWA NAO WATAPATA AFYA. HALISEMI MAFUTA, CHUMVI, MANI, KEKI YA UPAKO WALA KITAMBAA CHEUPE AU NYWELE ZA KWAPA NA KUCHA NA MENGINEYO.
@jamesnjiru5928
2 күн бұрын
Lakini sio kwa maji na mafuta bali kwa jina la yesu.sio wote wamuitao yesu bwana watakao ingia binguni hujue.
@jobgagi227
7 күн бұрын
I'm here kwa Ndacha forever
@mjombawallace4966
7 күн бұрын
He made me know true faith 🇺🇬🇺🇬
@warningoflastdays254
7 күн бұрын
Are you ugandani
@alinurharun8468
5 күн бұрын
Ati Yesu alitumwa na Mungu na Yesu ni Mungu hapo Kuna kitu mnaficha ,aliyetumwa ni mtume period acheni hizo story ingine
@GodSwai
4 күн бұрын
Weakili huna
@user-wm9hr7fx9l
2 күн бұрын
Unajua nini wewe
@trutharchaeologist
Күн бұрын
Maana ya Mungu ni nini? Unajua maana yake? Allah ni Mungu Moja ama MMOJA, Je ana roho? Ama Hana roho? Yupo Kila mahali ama yuko mbinguni tu hayupo duniani maana Hana Roho? Anasafiri kama treni ama namna gani?
Пікірлер: 22