MBUNGE wa Nkansi Kaskazini Aida Kenani leo Mei 3 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ameibana Serikali ije na suluhusho la wavuvi wa Ziwa Tanganyika badala ya kusema wanafunga ziwa kwa kipindi Cha miezi mitatu kwa kigezo cha kupungua kwa samaki.
Негізгі бет MBUNGE AIBANA SERIKALI KUHUSU KUFUNGA ZIWA TANGANYIKA.
Пікірлер: 8