Vizuri sana maana maamuzi mengine ni mihemuko tu. Bunge la E A C wangelichunguza kwapamoja.
@AnodianodiIbrahimu
4 ай бұрын
Wametumaliza kabisa mama Samia tuagalee Kwa jicho la 3
@NeemaSaidi-g2v
5 ай бұрын
Ivi kati ka viongozi hakuna viongozi wanaotoka kigoma maana turitegemea watadutetea kwasababu wanajuwa maisha yetu tunategemea ziwa Tanganyika Kuna wa2 tunaendesha familiar. Tunasomesha watoto kutokana na ziwa Tanganyika
@davidndaha9607
Жыл бұрын
Hivi hakuna wabunge wakujua tanganyika wanapoifunga niwananchi wanakufa na njaa?!!.Wengine mwanza nasehem zingine hawakufunga!!.
Пікірлер: 4