Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@ElizabethCharles-xt7hv
13 күн бұрын
Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu
@Naju645
14 күн бұрын
Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema
@user-xl6ye5xx4j
13 күн бұрын
Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭
@mrsabdul-mz8hh
16 күн бұрын
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
@aminajuma-rw2rt
10 күн бұрын
Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭
@juliejaph3331
Күн бұрын
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
@EuphrasiaNtawatawa
16 күн бұрын
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
@EdithTelemark
14 күн бұрын
hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!
@user-ms3di6qt7r
16 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele
@angellazaro9291
15 күн бұрын
The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️
@NeemaBoazi
16 күн бұрын
Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo
@husnamwinyi8295
15 күн бұрын
Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin
@user-wm5xr1hr2c
16 күн бұрын
Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu
@user-qh8kl9mu5w
15 күн бұрын
Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤
@patyisaya4217
12 күн бұрын
Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@lucyotieno6485
16 күн бұрын
Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!
@user-id8bu6lw8x
16 күн бұрын
Am proud 4 u
@vincenthatungimana
16 күн бұрын
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
@rosenoah2190
11 күн бұрын
Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu
@liannsambu7264
8 күн бұрын
Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI
@Mary-q8f
15 күн бұрын
Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu
@JulietDama-dj7qs
9 күн бұрын
God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊
@user-sn6dc9gh8k
15 күн бұрын
Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌
@DM.2200
14 күн бұрын
Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin
May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .
@esternaftari9032
12 күн бұрын
Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii
@vero57
16 күн бұрын
Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉
@magdalenapeter5622
4 күн бұрын
Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema
@SalomeEmanueli
12 күн бұрын
Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏
@patyisaya4217
12 күн бұрын
Jamani
@farajalyanda8019
14 күн бұрын
Be blessed❤
@youngb8672
16 күн бұрын
Hongera sana kk kwa hatua hii
@jacklinstanley7932
8 күн бұрын
Another day to cry with the stranger 😢😢very touching
@saraphinaramso6387
15 күн бұрын
Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu
@nsiamasawe4578
11 күн бұрын
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
@luluwillium1364
10 күн бұрын
All the best in your marriage
@salomesawira2069
12 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo
@JacquelineMahumbe
11 күн бұрын
I'm so proud of you
@lovenesszedekia7814
14 күн бұрын
Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢
@user-nq1fc3uo8b
13 күн бұрын
Anaogop labda make up itafutka
@kemmymartine4884
13 күн бұрын
😅😅
@salamasaidi6620
13 күн бұрын
@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂
@florencemseja530
11 күн бұрын
Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong
@mercychelangat_
16 күн бұрын
❤❤❤
@user-rh3fe3cs7g
15 күн бұрын
Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh
@user-vf5pp2wn1f
15 күн бұрын
Hongela San ndg Kwa maneno mazuli
@leahnyamle4179
13 күн бұрын
🎉❤😢 congratulations my bro
@VeroMwingira
13 күн бұрын
Ilove my parents ❤🙏❣️
@beatricethomas4061
11 күн бұрын
Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian
@theresiamartin3150
16 күн бұрын
Hongera sana Katokisha
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
14 күн бұрын
umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu
@sulleRuth
16 күн бұрын
Nimelia sana😭😭
@jumakaugatz9017
9 күн бұрын
Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza
@user-he5by2hk6p
3 күн бұрын
I love you mom and dady
@NeemqSitta
12 күн бұрын
Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢
@user-gd8cx2ig9p
14 күн бұрын
😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako
@florabuzoya3948
12 күн бұрын
Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau
@rehemambilinyi9452
16 күн бұрын
Inagusa sana😢. Hongera sana kaka
@user-tm7qi4kv9l
12 күн бұрын
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
@HappyFireDragon-hl7hw
16 күн бұрын
Hongera saana
@NsiaUrasa
Күн бұрын
Mungu awatuze jmn
@user-nx6wi7sl4y
11 күн бұрын
Hongera sana bro
@elinahlawrancemwaipopo7633
5 күн бұрын
MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI
@judithsalvatory2892
10 күн бұрын
Barikwa sana
@sund2553
15 күн бұрын
Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅
@nadiahassan1359
14 күн бұрын
Missing you Daddy 💔💔😭😭
@cathbert39
15 күн бұрын
Dah! Kanilizaa
@user-vz6kk8id2f
16 күн бұрын
Daaah nimelia sana
@majaliwamussa9268
4 күн бұрын
Machozi yametoka bila kujijuwa
@HhosnaRashid
16 күн бұрын
❤❤❤❤sana
@ElvinGaspar
5 күн бұрын
Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema
@vero57
16 күн бұрын
Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭
@tumainmasele2501
9 күн бұрын
Hadi raha
@agapeelias740
16 күн бұрын
So adorable🎉🎉 hongera sana mc
@MukamusoniHawa-cj2yc
13 күн бұрын
An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ubahamisi431
11 күн бұрын
Hakuna kama mzazi❤❤❤
@user-np8ts3dq2y
16 күн бұрын
4D Studio your the best🎉
@gracemathayo7221
16 күн бұрын
Dah umenitoa machozi jamani
@HonestaAloyce
16 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@isackmbade3181
15 күн бұрын
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
@zuuh-ge1cu
15 күн бұрын
polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu
@isackmbade3181
14 күн бұрын
@@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap
@LucySanga-du9fd
6 күн бұрын
Pole sana😢😢
@isackmbade3181
5 күн бұрын
@@LucySanga-du9fd Asante
@McNgoliga
4 күн бұрын
Baba kama baba hana baya mzee kato
@magrethyeremia2279
16 күн бұрын
Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.
@user-ox2uw9ds5o
6 күн бұрын
Baba mbna kaukata mkono wa bb harusi kwann
@dorcasmueni2290
12 күн бұрын
Dada!! Usiende kuvuruga hio familia
@NeemaSebastian-gy1nt
12 күн бұрын
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
@user-ox2uw9ds5o
6 күн бұрын
Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……
@user-ql6vg2uv6w
10 күн бұрын
Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni
@LucySanga-du9fd
6 күн бұрын
Nimelia kiukweli 😢😢
@SesiliahBundala
6 күн бұрын
Muuuh😢😢😢
@user-pf2bu4hn1j
2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@choosencrudah118
11 күн бұрын
Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako
@rahmambugi2322
14 күн бұрын
Nimeishia kulia jamani😢
@alicesospiter7625
10 күн бұрын
Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida
@AnjelikaBay
10 күн бұрын
Kwan naliaa nini aty 😢😢
@salmajuma4300
12 күн бұрын
Daah
@ritapiusnicolaus7068
16 күн бұрын
😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
15 күн бұрын
Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏
@NeemaBoazi
16 күн бұрын
Neema
@stephenmalilo9833
9 күн бұрын
Huwa nasikia wanasifiwa wamama sanaaa nikadhania na nikazoea kuwa wababa huwa hatuna kitu cha kusifiwa nacho. Basi leo nmejua..😂😂😂. Kumbe na wababa nao huwa tunaupiga mwingi.......😂😂😂😂😂
@husnakumburu8853
14 күн бұрын
Sijui nalia nini mwenzenu jaman😢
@RachelMgimba-ge4jh
13 күн бұрын
acha tuungane
@fatumaselemani3807
16 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@noraazan9124
10 күн бұрын
Wababa mnaelewa sijui
@joharikabalaza6899
13 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@annamwakibinga527
14 күн бұрын
Halafu atokee mwanamke aoele awagombanishe mtoto na wazazi wake.
@albinlai9366
11 күн бұрын
Hadi nimelia aisee.. sio poa
@olicej7837
16 күн бұрын
Afu mimi huwa najua huyu mc ni mtu wa kagera bukoba😂😂😂😂😂kumbe moro
@KemilembeRutatinisibwa
16 күн бұрын
Ni Muhaya....wazazi wanaishi Moro
@olicej7837
15 күн бұрын
@@KemilembeRutatinisibwa ooooh thawaaa
@SarahLegonda-c8w
12 күн бұрын
Wewe dada usiende kutenganisha familia ya watu umeona waliko mtoa
@user-tw7gb1nu2e
10 күн бұрын
Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.
@mankambise2000
7 күн бұрын
Nimejikuta nalia
@HamisiForogo
16 күн бұрын
Ongera sana mc katokisha sasa we dada ona huyo mume wako anavyopenda wazazi wake wewe nenda kawadharau na kuwatukana uone
@marymanoni5536
16 күн бұрын
Na wazazi pia wasiende kuaribu ndoa ya mtt wao pia
@edsonnelson4464
16 күн бұрын
@@marymanoni5536 kivipi, halafu weww mama no mdada umeolewa ukakuta hawakupendi jenga upendo kwao,
Пікірлер: 162