Jaman mimi nimempenda sana huyu dada sanaaaa Mungu awasaidie sanaa mc pilipili big up sana
@judithsalvatory2892
5 жыл бұрын
Wow hongereni sana.Umepata mke mzuri sana muombaji sana Mungu awabariki.Je mrembo kama nakujua je unamfahamu mama Kemi ,baba Kemi na Kemi pia.Hongera sana nimefurahi sana
@robertevarist1595
5 жыл бұрын
Dah! ama kweli dada zangu wazuri kudadekiii, nani kasema wahaya wenye tabia nzuri na wanaokubalika hawapo?? Big up sana Mkodomi MC Pilipili
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
majigambo yapo kwl!
@robertevarist1595
5 жыл бұрын
Mnzava Chris majigambo ya kweli lkn bro so ya uongo
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Robert Evarist jadi yenu io siwezi chukuwa io kitu toka kwenu.
@robertevarist1595
5 жыл бұрын
Mnzava Chris Bro ni wajanja wa kutokea mikoa mingne wanaoweza kuotea watoto wazuri km huyo, ndo mwenzio kapata tayari haina namna inabidi ukubaliane na hali
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Robert Evarist wa kawaida bhana!
@cecyjohn9036
5 жыл бұрын
Hongera sana mc pilipili Mungu awajalie ndoa yenye upendo na aman
@adamdaudi6191
5 жыл бұрын
Jamani wakati mwingine lazima tukubali kazi ya Mwenyezi Mungu, huyu dada ni mzuri, utukufu kwa Mungu katika kazi yake ya uumbaji, ni fundi katika uumbaji!, that is all, si kila kitu lazima watu mkosoe!.
@fathmafadhil1271
5 жыл бұрын
Adam Daudi mambo
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kweli ni mrembo sn
@halimaomari7589
5 жыл бұрын
Masha Allah dada mrembo wa sura hadi maongezi yake anaonekana ana tabia nzuri
@saddammandwanga1194
5 жыл бұрын
Unajua kuna interview inaamasa imenifanya niangalie up to end, Big up ayo pa1 na pilix2 na shemela pia mpo vizuri
Mmmh Kaka Millard uko vizuri . Unavomchimba dada!!!!!
@enockkagomba1261
5 жыл бұрын
Mungu ailinde ndoa yenu Mc pilipili na dada Philomena
@kigwisimulindwaclemo8541
5 жыл бұрын
BMW kirefu chake ni Be My Wife, all the best love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@markkulanga7104
5 жыл бұрын
Umetisha mbaba
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
i c
@jovintosssi3287
5 жыл бұрын
#kigwisimulindwa 😂😂😂
@JOHN16verse33
5 жыл бұрын
Huku kwetu ni Black Man Woman
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@JOHN16verse33 duu!
@salvinahassan7478
5 жыл бұрын
Tukajua ni shetani, mda mwingi nakuwa ibadani, tukaingia kwenye maombi, ni maneno ya mtu anaemjua Mungu, endelea kumtumaini Mungu Phenomena
@yonasimrope4741
5 жыл бұрын
Da mc pilipili umemsifia sana mke wako kupita kias awafai hao n nyoka wenye sumu Kali awana dhamana kabisa anayekubaliana na mm gonga like yako twende sawa
@gracedaudi6846
5 жыл бұрын
Umezid
@gadikipenda7409
5 жыл бұрын
Mc Pilipili unajua kufanya Interview za Mmeshibana... oohooo My, God!!!!
@happymhinga1213
5 жыл бұрын
Yonasi Mrope hata wanaume ni nyoka waliopitiliza
@ebenezergodfrey2517
3 жыл бұрын
Wapi wewe nenda Sasa wewe. Ukaolewe bc japokwa wewe ni mwanaume
@monicaregina7792
5 жыл бұрын
Mungu akusaidie sana Kaka yangu!
@ibubandana2228
5 жыл бұрын
Love this couple
@dianajavana9435
3 жыл бұрын
Hongera sana kaka utabli wangu kwa jinsi ninavo ona mtaish sana mtadum na mkeo
@Mothermarlon
5 жыл бұрын
True Love!,, mungu awajalie… mwapendeza sana👍🏾👍🏾👍🏾
@mariapialakanje3446
3 жыл бұрын
Nimekupenda jmn Dada ulivyomtu wa sala mwaaaa hongera sana Dada
@herminachrispas8858
5 жыл бұрын
nimekapenda karangi kako mamy,,,,hongera!!
@lovenessaron2669
3 жыл бұрын
Naipenda sn hii couple Mungu awa bariki sanaaa
@annkirethi3812
5 жыл бұрын
Lovely, , wish you well in your next life, ylu are going far...sijawahi kuangalia such a long interview...its appealing
@luizaenock9948
5 жыл бұрын
Ni vizuri kukisifia chako, kila mtu anamzuri wake.
@nessa4899
5 жыл бұрын
Congratulations May God protect your marriage
@joelmutegeki4605
5 жыл бұрын
Pilipili umepata kweli mrembo
@tamaraeliz7114
5 жыл бұрын
Mwanamke ni mwerevu hadi Adam akala tunda. I wish you guys all the best
@majdkhald5813
5 жыл бұрын
Duka gani la posta ambalo linauza pete kwa USD😊
@ashuramhando5285
3 жыл бұрын
Saf pilipili mke nadhif mnaendana karembo 🔥🔥🔥♥️🙏🙏🙏
@priscillaamossen8249
5 жыл бұрын
Binti mzuri❤️ chaguo zuri👌🏾
@rogerzmoleli633
5 жыл бұрын
Hongera sana Mc, wish you both all the best
@jackilinechengula2659
3 жыл бұрын
Dah unaongea vizuriii wee kadada nakupenda Sanaa dada angu
@azzamahamdu7039
5 жыл бұрын
Acheni wivu.dada wa watu mzur wa sura mpka umbo.mc kajua kuchagua
@evangelistsngonyani443
5 жыл бұрын
Haya bhana
@chainbre275
5 жыл бұрын
Mc hapo umewahi yani mke mrembo 💪💯anyway wish you the best
@luchekayoohy
Жыл бұрын
Couple Safi sana hiyo
@rashidsaid1092
2 жыл бұрын
Ni mzuri Ila stara ya mwili mbaya...bado uzuri wake haujampendezesha mungu bila ya kujistiri
@gladysngami9685
4 жыл бұрын
Am kenyan, i dont both of them but she is Naturally beutuful no makeup and mature upstrairs
@elieereka8744
5 жыл бұрын
Ni mzuri kweli
@e.j.starelia5672
3 жыл бұрын
Hii ni nzuri sana
@Jonasmemruti
3 жыл бұрын
Clear
@dorahmbunju9964
5 жыл бұрын
Dada apo uwezi nuna, 😂maana umepata mume asieweza kununa.
@jamesmligo9251
3 жыл бұрын
#presenter wa dunia nakubal sana mr count down
@ameenaameena1224
3 жыл бұрын
Mko vizur mpaka Raha😘😘😘😘
@ameniameni617
5 жыл бұрын
Kweli hongera shemeji
@margarethsaramaki3966
3 жыл бұрын
Dini haziamini mambo ya Mizimu, ila Mungu awabariki
@janesuma2193
5 жыл бұрын
hongereni sana sana muowane muanze maisha yenu ya ndoa yawe mazuri
@hassanmwambene1193
3 жыл бұрын
Hiyo sa saf sana mc pilipili hapo ndoa to hed to hed
@danielrichard5737
5 жыл бұрын
Ayo nakupenda bureee aiseee una maswali matamu Sana
@castrogodfrey508
5 жыл бұрын
Nawapenda sanaaa Msisikilize watu songeni mbele
@kpetres2872
3 жыл бұрын
Hii sura cyo ngeni . Naikumbuka niliwahi kumnunua uyu Dada nikamla😅😅😅
@enocksuleiman2420
3 жыл бұрын
Acha kutafta kk shobo hizo
@kpetres2872
3 жыл бұрын
@@enocksuleiman2420 anaetakiwa kusoma comment na kuzijibu Ni Millard Ayo. Mwenye shobo Ni wewe, nna was was na marinda yako
@richardsaidi2448
2 жыл бұрын
Ni mawazoo yakee
@robertjunior9916
5 жыл бұрын
Ni mzuri kwa MC pilipili sio kwa kila MTU , ila mpenzi wako ni X kwa mwingine
@leahjoseph6072
5 жыл бұрын
Sana kaka ang mi dem namuona wa kawaida piah ni x wa mwngne
@shamimasalim6912
5 жыл бұрын
Leah Joseph 😀😀😀mapenzi upofu jaman moyo ushazamA
@latifaomary
Жыл бұрын
Wazuri wapo wengi zaid ndo hvy umpate mkweli
@zainabomar5512
5 жыл бұрын
Sio wivu ila ukweli wa mung huyu dd hana uzur wowote sema t mt ukipenda unaona hakuna kama yy ila wakawaida sana
@gggjjahhhh9419
5 жыл бұрын
Shoga umeonaeeeh nilijua namimi tu
@annastaziammary600
5 жыл бұрын
Yuko kawaidaa af mbele ya camera na makeup kibao
@salmayusuph3469
5 жыл бұрын
Zainab Omar onyesha wako acha roho mbaya
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@salmayusuph3469 bora n ww umknye!
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@Jenny Jma ww umemzidi!
@dianacornely8666
5 жыл бұрын
Nice sana mnapendeza
@babyscosh5459
3 жыл бұрын
Jaman adi raha
@e.j.starelia5672
3 жыл бұрын
Pc Kali kinyama ....pambana bosi BMW imekusave pakubwa...ungekuwa hauna sijui ungepitia wap
@oscarkalekwa6239
5 жыл бұрын
Kwel kabisa MTU chake,lakini kiukweli ni wa kawaida sana
@agricolambilinyi8794
5 жыл бұрын
kama umeona mofaya tupia like hapo
@dianajavana9435
3 жыл бұрын
Daah Kimdada kinapenda kuflah sn
@munguaibarikitanzanianawat9254
5 жыл бұрын
Mashallah mpendane daima
@gladyivan4462
5 жыл бұрын
Mungu awatangulie, msisikilize maneno ya watu
@mohamedmchopa2254
5 жыл бұрын
Dah,ndoa muhimu hadi maombi.
@salmajuma4015
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@mligombuma2287
5 жыл бұрын
Ila MC Pilipili anamasifaa jaamaaniii hahajaaa uuuuwiiiii mbn kaziii
@everlynmanigamaniga818
5 жыл бұрын
Wanao mchamba pilipli eti anasifia umbo nakadhalika mko wrong, coz kitambo MTU ajikute amependa nikutokana na umbo na sura. Tabia utaijua ktk ile mdaa mtakua pamoja, ama kweli kuna msemo huwa inasema ishi na mtu ndio ujue tabia yake, kwaiyo pilipili uko sawa penda kaka tabia niyakuelewana Tu,
@manyaramrema6531
5 жыл бұрын
Unafikiri ndoa ni rahisi karibu ndoani, wanawake bwana eti mimi nina misimamo yangu, wakati hata bikra hana!
@tumainimango8140
5 жыл бұрын
Ndoa ya mitandaoni
@chrismassawe326
5 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahahahahahahhaha
@metiliole7189
5 жыл бұрын
Jobless Billionaire hapo sasa
@asiahmariam3942
5 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@g360-b7h
5 жыл бұрын
Kwani bikra ndo msimano
@siwemamichael690
5 жыл бұрын
Mc mungu anakuona
@tabithaikwabe3624
4 жыл бұрын
Very nice
@lilianestephanie7881
5 жыл бұрын
Nmeikubali interview saafi
@biglion2674
5 жыл бұрын
sijapenda mdada anavyomuita mc kila muda huyu everytime huyu! ! jaribu ata kumuita honey
@tricemakau980
5 жыл бұрын
JUDY MSULE jmn kumuita hone no bwana hawajaoana hawa bado
@reginaldhhayuma6907
3 жыл бұрын
Demu anazingua
@afrarugakingira5862
5 жыл бұрын
Nawapenda
@merrymakuli7132
5 жыл бұрын
Hii couple inapenda siifa
@witneywilly
5 жыл бұрын
Sitak kuamin Kaduma tuko mpaka Nigeria
@kweliumesemailanaowangetul1933
5 жыл бұрын
Wewe sema umempenda n a ndio ulio pangiwa namungu usoponde uliko pita wakati walikustiri na ulikuwa mshamba nao ulikopita wazuri kushinda huyo namuona wakawaida
@obinalaurent6922
5 жыл бұрын
Kupondana siyo vzr
@mongeramatondo416
5 жыл бұрын
Kweli ni wa kawaida sana jmn,
@neemanavaranaa4672
5 жыл бұрын
Jamani makanisa ya sikuizi. Umevaa nguo ya uchi ivyo ndo mana kanisa
@tricemakau980
5 жыл бұрын
yote mia ni sawa ila bwana harus sifa zako jmn zimezid hao waheshimiwa umewatamka sana tunaelewa una marafiki wakubwa ndio pumguza sifa bwana umezid
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
duu!
@naamohamed9964
5 жыл бұрын
Millard tunataka na ww tumuone wifi sio kila siku unahoji wenzio tu
@angelntandu4648
5 жыл бұрын
Anae wifi sema ataki miosho kama wengine anafuata maisha ya boss Ruge
@naamohamed9964
5 жыл бұрын
@@angelntandu4648 na kweli yupo makini sana millad
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
ww w kwko je
@naamohamed9964
5 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 Kwan wangu mie humjui
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@naamohamed9964 najitazama hapa, najiuliza na sisi twaenda lini kwa hiki kipindi?!
@rukiamshihiri4911
5 жыл бұрын
Haa shetani
@edwinekahatano8472
4 жыл бұрын
Duh
@superwoman6180
5 жыл бұрын
Mc pilipili kidogo afanane na benpol
@asiahmariam3942
5 жыл бұрын
Naipenda couple hii bala wameendana
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
y kwetu yaeza kuwa nzr zaidi!
@athumanfuko199
5 жыл бұрын
Nimemuelewa mc
@ludwigwilla7153
5 жыл бұрын
Hapooo wapoo gudaaa
@chainbre275
5 жыл бұрын
Yani wamependeza ole kinoma ise
@zakariaelinazi5712
5 жыл бұрын
Ludwig Willa m
@ludwigwilla7153
5 жыл бұрын
@@zakariaelinazi5712 naaaam...
@gadikipenda7409
5 жыл бұрын
Mc, Pilipili unajua kufanya Interview za Mmeshibana??????, Oohooo My. God!!!!!!
@fathmafadhil1271
5 жыл бұрын
Gadi Kipenda pao
@fathmafadhil1271
5 жыл бұрын
Mambo
@rosewilliam6985
5 жыл бұрын
Pilipili Mungu anakiona
@emmanuelgastine9826
3 жыл бұрын
Akina emma ni balaa kwa kutongoza midemo anaitaga Bambo
@hawaynatimam982
5 жыл бұрын
Mc unaongea Sana, mpaka unaboa
@mligombuma2287
5 жыл бұрын
Yaaaani anaongea mpaka anatia hasiraaa duuuu
@emmanuelgastine9826
3 жыл бұрын
Acha wivu libaya wewe
@ebenezergodfrey2517
3 жыл бұрын
Niko 😀😀😀 na BMw yangu apaa
@valentinamussa4212
5 жыл бұрын
Mdada mzuri sana hongera pilipili
@rosekyara2821
5 жыл бұрын
nilichogundua pilipili anampenda huyu binti kuliko binti anavyompenda
@matesoisaack4024
5 жыл бұрын
Umejuaje???
@grashakibb6778
5 жыл бұрын
Sio lazima ibalance...
@tatuyussuf7574
5 жыл бұрын
Rose Kyara @nikweli kabisa
@flaviousbenedict6489
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@athumanfuko199
5 жыл бұрын
Mmmhh nyinyi wasichana mnajua zaidi mm naona msichana kamkubari jamaa maana jinsi alivyotokewa angekuwa hampendi angecrush
@felistermbunda8171
5 жыл бұрын
yaan pili pili hata sauti yenyewe tu inachekesha
@elieereka8744
5 жыл бұрын
Maiki imelowana na mate MC pilipili anaongea sana
@rachelmcharo3934
Жыл бұрын
😂😂😂 yani ww
@سبحانالله-ح7د
5 жыл бұрын
Yaan nacheka paka bac.
@tatuyussuf7574
5 жыл бұрын
Nakwamba hio maiki hapo imelowa mate wallahi maana huyo mvulana anongea khataree
@chantalmulasi5663
5 жыл бұрын
Kwa nini una muita mmeo uyu?😊😊😊
@gilbertelia7863
5 жыл бұрын
👊
@ameenaamy9448
5 жыл бұрын
Unamasifa mc pilipili
@angellamwanri8414
5 жыл бұрын
So nice
@dayana5513story
5 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@ibrahimsheha215
4 жыл бұрын
Kamanimimi nilieona picha alafu ninampango wakumuowa yange ishiya hapo mapenzi yetu nisingeweza kabisa
@jujulizzy283
5 жыл бұрын
nimeitamani hiyo mooooo faya
@dorischilla1627
5 жыл бұрын
Idd Jamal kaibebe
@obinalaurent6922
5 жыл бұрын
Nmekapenda kadada kako simple. Hakana mambo mengi
@mongeramatondo416
5 жыл бұрын
Umejuaje kam hana mambo mengi?
@obinalaurent6922
5 жыл бұрын
Yan mambo meng nnayomanixha ni kwmb mwonekano wake yani alivyovyaa hana complications kam wadad wengne wanaojulikana
@sadikimwanja6781
5 жыл бұрын
@@obinalaurent6922 umepatia blaza
@adventlema6389
5 жыл бұрын
🔥
@aminachakwanza8786
4 жыл бұрын
Unakumbuka hata cku tuna graduate Eckerford ,mama alilia baada ya kutuburudisha Na kukumbuka sana na wimbo wa Ichilindulindu Big up mwl Emanuel
@marycassian3974
3 жыл бұрын
D
@khadijanjama9016
5 жыл бұрын
Mc pp wewe hatariiii eti siku ya haruc ntaangusha kilio cha ajabu 😃😃😃😃
Пікірлер: 321