Ubarikiwe sana na bwana akupeleke kiwango chengine mtumishi wa mungu nimekua nikifuatilia nyimbo zako hakika umekua wa baraka nimejifunza mengi
@dddiii2330
4 ай бұрын
YESU nisame zambii zangu zote ,pia unifungu nanyenyekea YESU nakuitaji ufanye jambo kubwa kwenye maisha yangu ,uniponye miguuu na apajaaa🤲🏿🤲🏿😭
@juliennebucumi5744
4 ай бұрын
Amen Amen Amen nakushuru E ROHO MTAKATIFU KW UWEPO WAKO.
@mrnickmusician7139
4 ай бұрын
Amen
@annachachage4931
4 ай бұрын
Haleluya ahimidiwe MUNGU BABA unaemtumikia, mchungaji,, huduma inainua mioyo iliyojikinai na kuvunjika
@dddiii2330
4 ай бұрын
Baba yangu niko cini ya miguu yako naunamisha kicwa cangu kwenye miguu yako naliaaaa sana naitaji kufunguriwa nateka sana baba naumwa nguvu zagiza ,zinakamata mwili mzima😢😢😢😢😢😢niombeee baba ,maisha yana kataaa 🤲🏿🤲🏿🤲🏿😭😭😭
@SellahKasebele-mu7hc
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba yangu. Mungu akufiche.
@Steeve-pd8di
3 ай бұрын
Amen amen mtumichi mungu hakulide
@user-tv6uq7bc2y
4 ай бұрын
Barikiwa sana...my father🎉🎉🎉❤
@Djchawodize255
2 ай бұрын
Amina
@dddiii2330
4 ай бұрын
Niombeee nipone miguuu ,nasumburiwa na miguu na kwenye mapaja niombee nateseka🤲🏿😭😭😭
@dddiii2330
4 ай бұрын
Mucunhaji niombee nakusi unisaidie umwambie YESU aniulumie aniponye iyi migu na magonjwa yote niliyonayo.😢😢😢😢😢😢😢🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@rizikilaunda961
5 ай бұрын
Amen 🙏 Nikweli Mungu ni mwema utukufu umurudiye ❤nakunpendaka sana Mutumishi maabudu yako ina nizogesha mahali pengine kiroho Mungu azidi kuku inuwa na azidi kuku paka Mafuta kilasiku Ameeeen🙏🇺🇸nahisi siku moja Mungu anifunguliye milango yakufika huko tuambudu pamoja kwa utukufu wa Mungu!! Barikiwa na family yote ya kimwili naya kiroho!❤❤
@user-tk9bw9mp6d
2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu aendelea kubariki kanisa hiyo Tena Mungu aendelea kutumia mtumishi wake kama chombo chake nimekupenda sana mchungaji wangu❤ natamani siku moja nikuone ana kwa ana
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen ameen
@user-ir5nx4bv2p
3 ай бұрын
Asante kwa ibada nzuri Baba yangu Mishori Mungu akutunze AMINA
Пікірлер: 25