Songela Zigizigi,ni chakula kizito Mungu amekiachilia kupitia mtumishi wake ili twende level zingine ktk kumjua Mungu.Ombi tukumbuke Misigiri ujapo nyumbani Mtumishi wa Mungu.
@jonathandulle8921
3 күн бұрын
Nimebarikiwa mno na mafundisho Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa MUNGU
@mobilebeats3086
Ай бұрын
Nikiskiza nyimbo zako zinanivuta karibu na Mungu uwa nabugujika sna rohoni
@hildermmbosh4793
2 ай бұрын
Amina Amina asante sana Mchungaji, Mungu akakubariki pia zaidi
@glorynjau6522
2 ай бұрын
Amen Baba nimejifunza Mungu akubariki sana.
@user-kd6hd8lq6b
Ай бұрын
Une nijaza tena mtumishi mungu akuongezee mengine❤❤❤
@mwangimaduhu4318
Ай бұрын
Amina mtumishi
@Shedrack.P.Mazungu
2 ай бұрын
Amen Mungu azidi kukutumia kwa utukufu wake
@fredykiluka6606
2 ай бұрын
Mungu akubarik unaendelea kunijenga ❤❤❤
@ZakiaKarisa-iv8ss
2 ай бұрын
Amen mungu akubariki
@liliankerubokenyatta8831
Ай бұрын
Amen Glory to God 🇰🇪
@StellahShey
2 ай бұрын
Thanks for the teaching actually I have been blessed
@josephnyanje7488
2 ай бұрын
Barikiwa sana baba! Tunajengwa na kubarikiwa Lungalunga -Kenya
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen, Ubarikiwe sana
@user-dd3ge6pl3b
2 ай бұрын
Mungu akubaliki mtumishii🙏🙏
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
AMINA
@BENARDBARASA-ze6nm
2 ай бұрын
Amina
@calistjohn1469
2 ай бұрын
Amina.
@bahatiqueen9958
Ай бұрын
Nimeona mwili wangu kuwa mwepesi AMINA.
@emanuelgella8201
2 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU tunapenda sana mafundisho yako, kiu yangu siku moja kukutana na wewe kwani mahubiri yako ya humu mitandaoni yabadili moyo wangu na sasa nimekutana na yesu, MUNGU akitupa kibali basi moja tutaonana
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Oh Ameen, Mungu akubariki sana na Neema yake izidi sana katika maisha yako
@marymgeji
2 ай бұрын
Amen amen MUNGU akubariki sana baba mimi ni binti lakini nataman sana uniambukize roho iliyopo ndani yako nabarikiwa sana na wewe
@user-ku8lh7wl8v
28 күн бұрын
Amen 🙏
@merrybukuku4010
2 ай бұрын
Amen baba
@marymwapiya1274
2 ай бұрын
Amen
@DelphinDelphinhekima
2 ай бұрын
Amen Amen, ❤❤🎉
@davidmalila9221
2 ай бұрын
Ameeeeen baba
@bonfacekenga1074
2 ай бұрын
Amena muchungaji
@user-or4ch8el9o
2 ай бұрын
Amina baba mchungaji
@user-tn4ny3ii2t
2 ай бұрын
Mungu akupemaishamalefu napenda sana mafundishoyako❤
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen, Mungu azidi kukubariki sana
@StellahShey
2 ай бұрын
Be blessed
@BENARDBARASA-ze6nm
2 ай бұрын
Ahsante mchungaji natamani kukutana nawe hasa wimbo wa kanda ya Kwanza mwambie yesu
@evelynmollel9720
10 күн бұрын
Ameen!
@stephanosospeter1709
2 ай бұрын
Ameen
@Babavicktoria
2 ай бұрын
Mungu nipe nguvu ya kustahimili katika kukujua wewe
@jorambranchofmud6299
2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi nabarikiwa
@JosephJohn-fk2cd
2 ай бұрын
Ubalikiwe mchungaji nabalkiwa sana sana kupitia mafundisho yako Mungu azidi kukutunza ame
@SemPaster
2 ай бұрын
Mungu aendeleye kukujaza mafuta.mafundisho Yako yariniunuwa kielemu n'a kujua mengi
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen ameen.
@jesusnetworkministry
2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu Ni Mkuu Utukufu na Heshima ni kwake🎉🎉
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@jescakazungu5027
2 ай бұрын
Mungu akubariki Baba yangu,kupitia mafundisho yko Baba umenitoa mahali ambapo sikuwa chochote machoni kwa watu lakini sasa naonekana wa thamani kwa watu, zaidi kwa Mungu, utukufu umrudie yeye akuwezeshaye,Amina 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen, Utukufu kwa Mungu
@felistervenance8863
2 ай бұрын
Amen . Mungu wa mbinguni akubariki na kukutunza kila siku kwa utukufu wa wake;Azidi kukupa somo la wakati na majira sahihi kabisa.. Ni maombi yangu Mungu akupe mafunuo na maono mjoli wa Bwana... Wewe ni mtu wa maana sana kwa utukufu wa Mungu bila kumsahau pastor Abigael Misholi .
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@user-nx9qt3tp5s
2 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU MUNGU akutie nguvu zaidi kwa hajili ya jina lake nakutuelimisha 🇰🇪
Пікірлер: 49