Mdogo wngu hongera kwakuhoji from Burundi 🇧🇮 we love you
@newlightmoviesproduction3598
6 ай бұрын
Hongera sana mtangazaji pia hongera mzee pastor
@nyabahailani3169
10 ай бұрын
Huyu mchungaji mzuri sana ungekua arusha ningesali kwako tu maana nimkweli sana nakupenda sana
@kennedywafula4804
9 ай бұрын
Hongera mchungaji kwa ushau huo
@johnrichard5482
10 ай бұрын
Umeongea Hakika Sana Mchungaji Richard Hananja... Point Ya Msingi ni Kuishi kulingana na Kasi ya Maendeleo👏👏👏👏👏
@zaharanakim289
10 ай бұрын
Wee Mzee uko vizuri
@MagrethMallya-we8ui
10 ай бұрын
Nakukubali sana. Mchungaji. Uko vizuri.
@lawrencegwerino1656
10 ай бұрын
Sahihi kabisa…muchungaji..
@StanleyLufukuja
10 ай бұрын
Goood....... zaid ya mchungaji
@ChachaSamwel-k8u
8 ай бұрын
Mungu akutunze ili nasi wareo tujifunze
@Theluckywinners2024
9 ай бұрын
Busara👏🏿
@godlovemalekela8575
10 ай бұрын
💯Wanafurahiaje Watu kufa
@hamidudigogo5863
10 ай бұрын
Huyu mchungaji anajitahidi sana kuwambia ukweli watu na mtu qngeonueshwa ange wambia serikali Ili watu wahame
@neemamkuchu
10 ай бұрын
Point maendleo na matatzo uongezeka,, nmejifunza
@shammhagama2527
10 ай бұрын
Hongera mtumishi umenena vyema
@andrewbillonea
10 ай бұрын
UKO VIZURI SANA MTUMISHI WA MUNGU
@leonardkidana7586
10 ай бұрын
Safi sana mchungaj umetupa i elimu nzuri
@stevenkilemile7266
10 ай бұрын
Hawa ndio wachungaji wa ukweli lkini binadamu sie hatutaki kusikia ukwelii
@alanmwijarubi
10 ай бұрын
Tunataka helaaaa
@rommelmauma8081
10 ай бұрын
*Kuna waliojenga nyumba zao milimani, km, Mwanza na Iringa. Miti imefwekwa. Mizizi yake ilikuwa inasaidia kufunga hayo mawe yasiporomoke. Kuna hatari ya hayo kuporomoka endapo mvua kubwa itazidi kunyesha!*
@ElizabethMungo
10 ай бұрын
wachungaji wanaohitajika
@LawiNgakala
10 ай бұрын
MCHUNGAJI SAFI SANA HEKO
@lusajomwakalinga5813
10 ай бұрын
Good kweli kabisa hiyo inaitwa kweli chungu .Mass wasting or Landslide
@Theironrod9373
10 ай бұрын
Wape vidonge vyao mafala hao wanaotabiri ujinga ili kujipatia waumini
@godshanthomas3297
10 ай бұрын
Huyu ndio mchungaji
@ambrosmtupili4668
10 ай бұрын
Akili kubwa
@GideonsGBGodfrey
10 ай бұрын
Kwely broo akili mingi sanaa
@stellamunisi4038
10 ай бұрын
Hujawahi kukosea Mchungaji wangu...MUNGU AZIDI KUKUPA MIAKA MINGI YA KUISHI...HUNA UNAFIKI KABISA..WATUMISHI WAKUIGE ILI MATENGENEZO YA KANISA YAFANYIKE KIKAMILIFU
@ramadhanimtanga755
10 ай бұрын
Mchungaji upo sahihi,iliwahi kitoke kati ya mwaka 1986 na 87,mkowa wa Tanga wilaya ya Korogwe tarafa ya Mombo,maji yakitokea Rushoto milani
@SadickAmiri
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@SadickAmiri
10 ай бұрын
Yamombo lushoto yalikuwa maji sio tope
@Abunowman182
10 ай бұрын
Kweli labisa yaniiii lushoto yetu
@andrewmgaya310
10 ай бұрын
Haka kazee kana kitu
@HamisMghuna-fj3vz
10 ай бұрын
Huyo mchungaji n msomi wenyeji wa kindabi Hanang,ndoo wamesema MLIMA umeunguruma siku Tatu hata 2011,2017 hii 2003,,et wchungaji walosema wameona watu,watakufa, mbona hawajajulisha watu Hanang,haya n majangaa ya volcano,wala c kutambikia , serkali iwandoe kwenye mabondeni,Hanang ibak barabara,,huo MLIMA una manuva,wajipange,
@MucungaMoussa
10 ай бұрын
Nafuata ufafanuzi wako
@adamkimath3085
10 ай бұрын
Safisana
@kilululucaskulimba2554
10 ай бұрын
Wewe ndiyo mjinga
@rosemkeleja7768
10 ай бұрын
Huyu Mchungaji anapotosha jamii,wapo watu wanaonyeshwa,kama hajaonyeshwa yeye ,wengine ,wanaonyeshwa,,Mungu yupo ,huyu Mchungaji,anasema wenzie vibaya,kama ni mtumishi,asiwaseme vibaya wenzie,angeonyesha yeye ,asingesema,haya,hana upako,wa kuonyeshwa 6:11
@mrfantastic8364
10 ай бұрын
Kuonyeshwa hata raia wa kawaida huwa wanaona pia
@shaiduhamdani7145
10 ай бұрын
Kabla hujacomment angalia wenzio wanacomment ninii ndipo ujipime,usilete kujifanya mwanakondoo halafu unaliwa na mchungaji wako madhabauni,MIROSE sijui huwa mnaa kili gani,wahovyooooo
@mrfantastic8364
10 ай бұрын
@@shaiduhamdani7145 mshamba wewe sasa umecomment nn hapa hauna akili
@mrfantastic8364
10 ай бұрын
Unachosema ni kweli anakosea sana, kama yeye hajaonyeshwa asione wivu wenzake kuonyeshwa
@isayamneja7020
10 ай бұрын
SawA yawezekana akaonyeswa,kwa nini hakutoa tahadhari mapema akasubiri mpaka maafa yatokee??
@En_Diel
10 ай бұрын
7:18 Utagongana na nyau 🤣🤣🤣
@mrfantastic8364
10 ай бұрын
Wachungaji wa miujiza hawapendwi, hawa wa kuongea ongea wanapendwa mnoo hadi na watu wasio wakristu
@mpjozzegalvanize4926
10 ай бұрын
Endelea kufatilia injili za mafanikio ya kidunia na neno linakupita pembeni, muujisay ya kupata hela? Fanya kazi wewe, mkono wenye bidii uneeneshwa biblia imeandika, endelea kusubiria miujiza upewe mapepo
Пікірлер: 56