Mtoto WA kiislam Ally KAMWE una sauti wew mwanamme unaeuhusuje avaae hivyo
@HappyHiker-nz9vg
Ай бұрын
Bi harusi 🎉❤ mashallah hongera Sana dada vizi liko❤❤❤❤🎉🎉🎉
@upendokweka8381
Ай бұрын
Hata hapo bado kamwe haujapata mke, azidi kuomba mungu
@elizabethgeorge2197
Ай бұрын
Ila mmeendana jamani ❤❤❤❤
@jamilahjamilah4157
Ай бұрын
leo mwanangu aliy kamwe umeniangusha nn hicho ulicho mvalisha huyo sijui ni mchumba kabakisha nn aonekane yuko uchi hakuna ndini inaruhusu mwanamke kuvaa hivyo hivyo km umeona toka utokako ungemubadilisha hiyo nguo kwani uzuri ya kujisitiri bei ngani
@seifmsabah4384
Ай бұрын
Kachemka
@seifmsabah4384
Ай бұрын
Kachemka
@sharlynshabani6815
Ай бұрын
Mpuuz huy
@user-cx3kd3dg6i
Ай бұрын
Yaani nguo ni mbaya sio ya adabu mbele za watu mmh hamna kitu amebugi
@HassnaNana-yi5lw
Ай бұрын
Duhhhh😮
@user-fx7ig1uy6t
Ай бұрын
Wala hajapendeza ,vazi haliendani na hyo harusi ya kiislamu,katoka mfupa waroho km kaona malakul mawt
@bennamush4616
Ай бұрын
Waooh Ericka mtoto wa urasa mic u ❤❤
@umikifupa-mi3re
Ай бұрын
So cute❤
@georgesamwelchacha7680
Ай бұрын
Mnao ongelea Kuvaa kwani nyie hua mnavaaje 😂😂😂
@jamilahjamilah4157
Ай бұрын
Kwani pele aliko pasu paunganishwa asinge pendeza au na ww ndio walewale waenda uchi hata km malaya jistiri mtu akiambiwa yule anajiuza akatae akutete wee unatetea kuvaa vile kipaja chanye km cha ndege kaa
@despinadamian8693
Ай бұрын
Si kwa sababu hawaonekani na hawajulikani 😂😂
@fatmaabdallah7709
Ай бұрын
Zaylisa wa pili tumempata😂😂😂
@ericbrunokalonndwa8590
Ай бұрын
All good. Mavazi inategemea na event sioni issue amependeza mdada lazima watu wajue dresses na events na sherehe haijafanyika msikitini au kanisani
@kisinzajohn1805
Ай бұрын
Huyo binti ndio wa kuoa
@roudhamahmoud763
Ай бұрын
Umaarufu na pesa kweli mtihani dada umekubali kuvishwa utupu ili kupata maokoto na umaarufu subhana llah
@fatmaabdallah7709
Ай бұрын
Kavishwa ama kavaa mwenyewe?!
@imanibakili8028
Ай бұрын
Amevaa yeye mwenyewe
@jamilahjamilah4157
Ай бұрын
Maa shaa llaa biharusi kajua kujisitiri sio aliy kamwe sijui kaalika kitu ngani kile paja lote liko wazi kabakisha sehem dg tuu chupi ionekana wallaah ss wanawake hatuna aibu
@BintOmary-gs9hw
Ай бұрын
Han akili anaon kapendez kumbe anajizaraulisha tu
@ashurahatibu5069
Ай бұрын
sio dem wake
@salomemongi1246
Ай бұрын
Hongera mchagga
@user-hu2sf3so9c
Ай бұрын
Mwanangu Ally Kamwe hilo vazi la mwali wetu limetuangusha sisi mama zako siku nyingine rekebisha
@user-vj8pi2wc3z
Ай бұрын
Sasa mbona anacheza cheza!! Au ndio "shek well before you use"
@user-mt3xf4pc7p
Ай бұрын
Jamani semaji letu mungu akusaidie upate mchumba mwenye maadili mema ajistili Kama dini unavyokuruhusu
@despinadamian8693
Ай бұрын
Hicho unachokiona sio tabia mbaya na kama angekuwa na tabia mbaya nadhani huyo ally kamwe asingekuwa nae
@AdamAdam-xf3gh
Ай бұрын
Hilo paja au mkono tu
@adammkisema1524
Ай бұрын
HUYU MWANAMKE KAMDHALILISHA MSEMAJI WETU..........anashindwa kuuliza ama kujua dress code ya harusi ya kiislam....kama amepania kuonesha ....
@despinadamian8693
Ай бұрын
Ye hajaona kama amedharirishwa jamani
@user-ct4jp1ux1z
Ай бұрын
Kusema kweli hiyo nguo aliyovaa haifai kbsa. Haina maadili
@ismahafidhi1756
Ай бұрын
twenty four seven au nimesikia vibaya
@gloryngunda9664
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@LilianiMeena
Ай бұрын
Hahahahaaaa eti msomi 😅😅😅wasomi anawajua msomi sio mshamba kiasi hicho
@OmanOman-dn6dj
Ай бұрын
Acheni Uswahili...kutoelewa mahusiano ndio matokeo ya maswali ya mwandishi😊
@HappyAmani
Ай бұрын
jaman mnaosema ni mchumba wa ali kamwe muwe mnaangalia hata vidio msikie maelezo kabla ya kumjaji kamwe kama mnatak kujaji mjajidini huyu Dada lakn pia me sio cha ajabu kwan mbna watu wanavaa vbya zaid ya huyu Dada acheni roho za kwann mnaboaaaaa
@NajmaMustafa-hq3vm
Ай бұрын
Demu mwenyewe mshamba
@annambele789
Ай бұрын
Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.
@samhayamawe6699
13 күн бұрын
Innalillah wainnaillah rrajuun,hilo vazi na kuitwa mke au mchumba wa Ally Kamwe wala haviendani jman,jistiri bint hilo paja unamwonyesha nan? Ally kamwe umekwama wapi mwanangu? Mpka unaingia nae ukumbin ina maana hujamuona alivyovaa?
@PillyAlly-ku1hj
Ай бұрын
Huyoo mwanamke ni mshezi wa tabia Malaya huyo
@despinadamian8693
Ай бұрын
Wewe umejuaje kama sio huwa mnafanya wote watu wenginr bhanaaa
@user-so6md6rm2w
Ай бұрын
🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi
Huyu msichana yuko uchi. Ustarabu ni pamoja na mavazi. Dini zote mwanamke ajistiri.
@Shakira-Nb
Ай бұрын
Ally alitoa challenge gani kwani
@user-rq8go6cf8l
Ай бұрын
@li dogo mkali broo
@KhadijaKiwambu-qx8qh
Ай бұрын
Uyu atakuwa Ana wazazi Mana mama ake asinge kubari anvae iri nvazi nando Mana hii dunia tunashushiwa miteani kibao wanawake tumezidi jamani kutembea wazi sijuwi mavazi Aya yataisha rini hee mungu nijarie katika maisha yangu nisije ata siku moja nikanvaa ivi wara watoto wangu nitakao wazaa wasije wakaiga huu ujinga wa Hawa mashetani ivi kweri sijuwi wanadamu tunaerekea wapi Hee mungu tupe mwisho mwema Mana mtiani kwa kweri
@mariaferick7813
Ай бұрын
Mamaake alifarik
@gaudeciajackson8398
Ай бұрын
Kuna watu wanajisitiri ila wanafanya mambo ya ajabu
@user-we8cl7yt2d
Ай бұрын
Kaka Ali huyu dada mh! mbona paja nje
@despinadamian8693
Ай бұрын
Jamani kwani mmejuaje kama mke wake au mpenzi wake ally kamwe au huyo dada kaongea chochote yani watu 😂😂😂
@BenithaSalvatory
Ай бұрын
Mavaz sio mwanamke unaejielewa uwez vaa Ivo
@magidalenarauya4286
Ай бұрын
Hafai!!!
@user-nb6nn6sv7u
Ай бұрын
Hajui kujieleza uyu katutia aibi siswatu wamoshi
@johnmgalilwa9136
Ай бұрын
👊👊👊👊
@subiralema
Ай бұрын
Afai kuwa mke uyo ana aibu anaonyesha kibaka
@joycehaule9717
Ай бұрын
Mmmmmmh angekosa aibu mngemsema
@shabanihugo8332
Ай бұрын
Ndo nn hicho ?
@DenisMarahu-hc9uh
Ай бұрын
Ali kamwe. Kuwa makini huyo mchumba kama kweli ñi mchumba sijakwelewa nini hicho paja nje? Kweny umati wa watu namna hii
@stellasheba842
Ай бұрын
Cyo mchumba wake.
@sophyodago5062
Ай бұрын
Mchumba mwenyewe anajionea aibu na gauni lake la uchi
@user-wk2bg8zf3l
Ай бұрын
uyo sheji kweli au umemkodi ??mbona ally kamwe upo namwamke mke ambae ajajistiri?😂😂😂,kweli hii nihatari
@gamarmahsan8254
Ай бұрын
Duniya imeisha wa muanika mke hivo
@ashurahatibu5069
Ай бұрын
sio mdem wa alli huyo maezo tu yanajieza
@twentyacresfarms3464
Ай бұрын
Mbona wengi mnasema kavaa vibaya 😂 😆 ?
@raishahatibu7095
Ай бұрын
Atakua sio mchumba kamukota tu barabarani ajenae harusini si kwa nguo hiyo kujicholesha
@user-wk2bg8zf3l
Ай бұрын
uyo mwanamke atakua malaya tu
@despinadamian8693
Ай бұрын
We ni nani kutoa hiyo kauli
@ZeynabAdam-mq5eg
Ай бұрын
Kwan niffa yuko wapi jaman mbon simuoni😅😅
@MmingeMminge-kr8nj
Ай бұрын
Semaji apo umeboa Sana. Ndiyo Nini icho alicho vaa uyo dem, ndiyo mchumba uyo?
@EmmanuelAllan-kz7rm
Ай бұрын
Hahahhhah hizi comment zinachekesha
@user-uq3dq7sr3l
Ай бұрын
Huyu mwanamke sio wakuoa ni wakutomba na kuacha
@nuruosward8161
Ай бұрын
She is not comfortable😂
@braggadachu1723
Ай бұрын
Hamna demu hapo
@atupakisyemwakikali6777
Ай бұрын
Yuko uchi sjui anajiuza
@EricEmmanuel-oy5lt
Ай бұрын
🤣🤣🤣 bongo nyoso sana
@kolosii4351
Ай бұрын
24 seven ndio nini???
@nicholousmtemi3902
Ай бұрын
Masaa 24 ndani ya siku saba
@ommyjuniorjumbe3328
Ай бұрын
Ally kamwe umeudhalilisha uislam kwa mavazi ya huyo mwanamke..yupo uchi kabisaaaa..shame on u Ally..watch out
@paschaliapesambili
Ай бұрын
Ivi ni ally kawa wa kwanza kufatana na wavaa uchi au ni wengi,,,,,alafu ni islamic wangap wanavaa uchi zaid ya huyu dada?
@Heniryahaz
Ай бұрын
Ali unatuaibisha huku tunakuheshimu
@PinkyLeonard
Ай бұрын
Mna wivu sana wajinga nyie ovyooo dada wa watu kapendeza ❤
@emmanuelndahan9815
Ай бұрын
Msomi
@anoldjefsta177
Ай бұрын
Kila mtu anaongelea nguo Na akat demu pia ni mbovu
@user-so6md6rm2w
Ай бұрын
🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi
@joycehaule9717
Ай бұрын
Mbona kaongea vzr kua masaa 24 na 7 yaan yote analindwa
@zaitunirashidi5532
29 күн бұрын
Sasa kakosea nn we mbwa😂😂😂wew ndo ukasome
@latifauzia6424
Ай бұрын
Manangu ally kamwe umeniangusha kwa vazi hilo mmmmm
@annambele789
Ай бұрын
Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.
@user-cq1tf5sd3l
4 күн бұрын
Aibu hiyo aibu huyo
@user-lq1fm4dj2n
Ай бұрын
Ali kamwe apo umefeli dogo iyo nguo aliyovaa na wewe amuendani kabisa
Пікірлер: 114