Alhamdulillah sheikh mwaipopo Allah akupe umri mrefu ili uzidi kulingania zaidi ishallah
@HassanJaphari-rx7jy
25 күн бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya Nuru ya Uislamu ☝️🕌🙏🙏🙏
@gabrielmzomkunda4881
13 күн бұрын
Wewe ndiyo wale watoto bila kiboko haendi shule...hahaha umenichekesha sana ustadh
@DaudiMakaza
25 күн бұрын
Yesu ndo jbu na njia ya mbinguni Amin krb mpokee mpate kbar kw mungu
@NaimaAbdi-f6p
25 күн бұрын
Sheikh Assalam aleykum huyu jamaaa Ipm alikua muislam anajua kila kitu ukweli ni kwamba tamaa ndio impeleka upande wa pili
@BobgIsmail
25 күн бұрын
Raha sana kuzaliwa ktk uislam hakika dini ya haq mbele ya mwenyezimungu ni uislam
@SirikwaMollel-y3k
25 күн бұрын
Kwani Kuna yenye iko nyuma mungu
@imranfundi6761
25 күн бұрын
Sheikh mwaipopo gaza watu hawauwani Bali wanauliwa wapalestina
@SaidAbdala-f7p
24 күн бұрын
Shekh mwai popo. Samahani. Almahurm malim seif alitafuta urais mpaka kafa hajaupata. .lakini mimi naona mbona chaguzi zote ni kashinda tu. Hebu ni fanuliya inakuwaje kwa hili.
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
Dini ya mungu ni ukristo,
@mwawekomiuda9779
24 күн бұрын
😂😂😂haikuandika hivyo bali unaisemea wewe.
@chikuiddy9946
24 күн бұрын
Yesu mwenyew hakuzungumza hayo
@NancyPatrick-il8zj
24 күн бұрын
Wewe unasema umeacha ukristu kwa sababu si Dini ya Mungu, yupo sheikh mmoja nae ameacha uislamu anasema uislamu ni kikundi cha gaidi.
@NancyPatrick-il8zj
24 күн бұрын
Napenda sana malumbano ya makafiri na magaidi, kafiri anasifia gaidi.
@Tupena-ov7xq
24 күн бұрын
Katiba mpya ndio jawabu la matatizo ya watanganyika
@gabrielmzomkunda4881
15 сағат бұрын
Wewe ndiyo ulikuwa kila siku kupigana shule tukuyu uko
@ZayyanaBamuni
25 күн бұрын
Hakika dini ya haki mbele ya mlmungu ni uislamu
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
Hata shetani na majini, ni waislamu wameslimu
@Tupena-ov7xq
24 күн бұрын
Pastor mwenyewe ni IPM Sasa huyu anaengea si alikua muislam akabadili dini na kuwa mkristo.
@omaar5693
22 күн бұрын
ustadh usimuapie huyo jamaa hajawahi kuwa muislam na kama aliwahi basi amesoma uislamu baada ya kuritadi maana maelezo yake na anavyothibitisha havioneshi kwamba aliwahi kuwa na asili ya uislamu...
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
SHETANI NI MUISLAMU AMESLIMU,KUNA MAJINI WAZURI WANASALI MSIKITINI,
@SeifAlly-g9i
13 күн бұрын
Wewe unae kosowa kuwa hanalolote shekh yeye nimsomi aliesoma nakudadavuwa sikama anasemakilealicho kusoma ndani ya man andiko
@shammhagama2527
24 күн бұрын
Dini ya Haki na ya kweli ni UKRISTO.
@Kachuba-w9p
24 күн бұрын
Toa Dalili😢au aya moja tu inasema ukiristo ni dini? Na uache bal bla toa jibu nasubiri ili niwe mkiristo nioneshe iyi aya?
@celisurio3206
24 күн бұрын
Kumbuka BIBLE Ni kitabu pekee kinachosomwa na watu wengi zaidi Duniani, kataa, je? Ni jambogani halipo ktk BIBLE.
@shammhagama2527
24 күн бұрын
Hana lolote msaka tonge tu. Huyo ni mnafiki mwenzio, we unapoteza muda kila siku mitandaoni nenda ukalime huko
@AlhajiSaidi-uo8zl
25 күн бұрын
musrimu Isramic
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
SOMA QURAN,SURATUL AL JINN,NDIO UONE UISLAMU NI DINI YA SHETANI
@Tupena-ov7xq
24 күн бұрын
Uislam umekuja miaka 635 baada ya ukristo, Uislam ni dini changa kupita zote. Hata quran imetungwa na kuchukua mfano wa biblia
@josephkalonga550
25 күн бұрын
KAMA wewe uliacha ukristo. Basi hiyo NI uelewa wako na ,uelewa pia kuna Waislamu Mashehe wakubwa mwenye elimu ya uislamu chungu nzima wanaamia kwenye dini yetu ya Ukristo!.
@walidmgonja3644
25 күн бұрын
Hakuna muislam mjinga wa kiwango hicho
@SirikwaMollel-y3k
25 күн бұрын
Mwampo umeacha kiristo kw ajili masilahi yako mwenyewe na hujui maana kiristo nasani sasa hivi unajutia lakini kwa sababu biblia na Quruani yako inasema yesu ndo atahukumu ngoje siku yamwisho utaenda jikoni
@kaybthepro4094
25 күн бұрын
Mwaipopo umekosa hoja sasa huo mchungaji ndo yesu kasema. usituletee makristo wa uongo ambao yesu aliwatabiri kwamba watakuja makristo wa uongo. Wapi biblia imesema uislamu ni dini ya kweli?
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
Boko Haram,kundi la waislamu, Al shabab kundi la uislamu,Islamic state,kundi la uislam,hakuna kundi la waikristo,
@savinosalamba9174
24 күн бұрын
Uislamu sio dini ya mungu,no no no no,hapana,hapana
Пікірлер: 37