Wewe ni mkweli ila unakaukali sanaa sijui unatatizo gani
@marionoti5760
2 сағат бұрын
Njaa, Mwanafiale, uchawa na mihemko ya udini vimekuelemea, mwanafiale.
@GodyMussa-sc9fj
2 сағат бұрын
Mwanzo nilikufuatilia sana ila kwasasa daaa kwabza ujue kiongozi unampata wap wa kike kweny msaafu
@Hussein-gx4qu
2 сағат бұрын
Mwaipopo unazingua Mimi sijawahi kuona ukiikosoa serikali yule jamaa wa ccm kasema wazi kabisa kuwa wao ndio watekaji live alivosema tukiwapoteza watu police msiwatafute maana yake ccm Ina miliki genge la watekaji kama we ni mtu wa haki mbona Hilo hujalisemea nimeanza kuwa na madhara na wewe
Пікірлер: 8