Soma Kwa Ili Ukielezea Uelezee Vzr Kwa Kutumia Aya Na Hadith Masha Allah Napenda Sana Unavyo Onya Watu Allah Akupe Umri Mrefu Wenye Manufaah Nawe
@bibleknowledge-b1y
22 күн бұрын
Nashangaaga mkristo ah Myahudi kujadiliana na muislamu.... mungu fake wa waislam ni tofauti na mungu wakristo na wayahudi... Unaongea kuhusu nini...
@kalamamuller-qe1yd
22 күн бұрын
Kwani mungu wa mayahud ni yupi
@bibleknowledge-b1y
22 күн бұрын
Jina lake YHWH/YEHOVA... Mingine ni miungu AU FEKI.. Kuna mungu wa kweli na mungu wa uongo... ndo mana waislam ni maadui na Mungu wa Kweli (kutoka kwa wana wa israel)...Lakini mwisho wa Yote yeye hajawahi shindwa ukisoma maandiko yanaelezea vizur hadi mwisho.... Chanzo chake halisi cha sauti ni neno la Mungu wa Kweli(Biblia) ambapo kila mwandishi lazima alenge ukombozi ulio katika Kristo Yesu... Nje ya hapo hata adamu alikosea kwa kusikia sauti nyingine...Hata Leo watu wanapotea...
@kalamamuller-qe1yd
22 күн бұрын
@@bibleknowledge-b1y na mungu wa wakristo nae yupi
Пікірлер: 8