Mtumishi wa Mungu aliyejaa hekima na busara.Twakupenda Sana hapa Kenya. 🇰🇪..wapi Wakenya wangapi hapa?
@evamoka6520
2 жыл бұрын
Mimi hapa mkenya nakuunga mkono.
@johngachugu305
2 жыл бұрын
Tupo Kenya hoyee 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@willykikwete8626
5 жыл бұрын
Mgogo umeongea jambo la kweli kabisa na umetoa ELIMU kubwa kwa nchi. Na wewe tumekuelewa
@barnabasmtelevu6500
5 жыл бұрын
Maneno ambayo Mungu mwenyewe ameyaweka kwenye kinywa cha mtumishi wake yanaonekana wazi kabisa. Hata mimi "nimekuelewa" Baba mchungaji. God bless you!
@mamlakapaluku886
Ай бұрын
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
@dariuslimbu2325
5 жыл бұрын
Mgogo katumia fursa hongera zake sana GOD bless him
@SamwelLukas-tq9fy
8 ай бұрын
Nampenda sana huyu mchungaji maneno yake yanabusara sana
@chrisshonga
5 жыл бұрын
Kwa kweli mchungaji tumekuelewa na MUNGU akibariki kwa kukutumia kama chombo cha kusaidia wanyonge
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
5 жыл бұрын
Du! Mgogo NI hatali Sana, kaongea point kubwa sana
@saimonjulius1319
5 жыл бұрын
Saf sana mgogo nimekuerewa pia, na nimeshamuerewa raisi wetu
@nlhdma9925
4 жыл бұрын
Rais Ma anafanta kazi nzuri sana kwa watanzania.
@evapoul4297
4 жыл бұрын
Mchungaji nakupenda mno,yesu kristo akutunze
@isayamichael
4 жыл бұрын
Mungu anapenda wajumbe wa namna hii hakika mungu akubarika kwa kufkisha point hii Amina
@majaliwamsigwa3974
5 жыл бұрын
Umeeleweka mtumishi wa Mungu
@yaseenkara9016
5 жыл бұрын
KAKA nimekuelewa sana maana hata sisi yametukuta hayoo hayoo cha ajabu na kushangaza kabla ya kununua tumeenda manispaa mpk ramani tumeoneshwa ya kiwanja lakini mwisho wa siku tumeambiwa ni eneo la RELI
@elizamabula
2 жыл бұрын
Hallelujah maneno ya mungu yako ndani yako baba Asante kwa usemi mzuri mungu akubariki.
@bulugubujilima1332
3 жыл бұрын
Baba MUNGU tubariki moyo wa uzarendo waafrika woto,Amina!
@josephjuma6242
2 жыл бұрын
Kweli mchungaji Mgogo Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono kweli, Joseph kutoka magharibi mwa Kenya
@rev.musabalalarogersmusabalala
5 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA RAIS WETU NA UMEONGEA KWELI MCH. MGOGO RAIS MUNGU AKUTUNZE TUNAKUOMBEA ZAIDI
@henrickchambilo3119
5 жыл бұрын
True in reality
@zenassylvester125
5 жыл бұрын
Yani wewe ni mchungaji wa watu umepiga maneno muhimu ,hongera Rev Daniel Mgogo
@MMUNGAHOSEA
4 жыл бұрын
Nimefurahiii sna kuona tabasamu ya wa Africa hakika Tanzania 🇹🇿 katka myaka inayo kuja hapo itakuwa inchi yenye nguvu sna maana Mungu Anaendaa mambo manzuri kwa taifa tangu Tanzania
@shijathedon5453
2 жыл бұрын
Mpaka nakosa la kusema kwa watu wenye hekima kama hawa
I like your braveness n courage to face President with pure reality
@fatmalyego2531
4 жыл бұрын
Wakupinga kila kitu mpoooo maana hamnaga jema nyie,, Mgogo umeongea ukweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,, Magufuli jembe
@mufush
4 ай бұрын
A man full of wisdom
@jamesmethuselafredrick6064
5 жыл бұрын
Safi.!☺
@marynjuguna9395
3 жыл бұрын
Full of wisdom
@winnersinchrist01
Жыл бұрын
Pasteur tikito Emanuel
@mbilinyijohnpius8462
5 жыл бұрын
Thanks mch:Daniel mgogo
@mkemia_magege5816
4 жыл бұрын
"Mimi siombi. Maombi yaliyoombwa hapa na wachungaji Wengine yametubariki lakini Mimi nimeona niyaseme haya." Mchu. Mgogo akinena mbele ya Rais huku watu wakitegemea labda angefanya maombi kama wachungaji walippita. Dah Mgogo nampenda sana!!
@zumbeshauri8114
4 жыл бұрын
Mimi musilimu lakini kiukweli mchungaji huyu huwa hata mahubiri yake anaongea mambo na shida za wengi sio wale wa kukanyagisha watu mafuta
@badenbensoni7516
5 жыл бұрын
Amen
@joshuaibrahim6691
4 жыл бұрын
Mwenye njaakali mbele ya mfalme nihatari mbele yajamiii bora ukoma
@AdamuShabanimwiko
Ай бұрын
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
@paulahcatania6137
3 жыл бұрын
Kweli maneno mazuri.....rip mr
@elijahnyamwange3520
2 жыл бұрын
Great man of God
@winfridakasindye9618
5 жыл бұрын
Tumekuelewa. Baba, raisi waawanyonge,,tumekuelewa
@mavinemurila4873
4 жыл бұрын
Naienzi Tanzania Sanaa japo mie mkenya
@sylviesylvieleonardoliveas6138
4 жыл бұрын
Amen wa ongeya kweli
@azorikambale8063
2 жыл бұрын
Barikiwa mutu wa Mungu
@manasesamwel5946
4 жыл бұрын
Mch. Mgogo Nimekuelewa Baba
@moyesmassawe1963
5 жыл бұрын
Point Mtumishi
@emmanueljacob9225
4 жыл бұрын
Nakuelewa sana mchungaji
@catherineamos7087
2 жыл бұрын
Umeongea point sana Mchungaji Mgogo
@salvationsalvatory9097
4 жыл бұрын
Goooooood Goooooood
@ricksonmrema86
4 жыл бұрын
Mtumishi hupo sawa
@kamaukamau6233
3 жыл бұрын
A very wise pastor,I admire you and in this life if I happen to be in your city I'll visit your church for a church service
@gracepeter3200
3 жыл бұрын
Tumemueleewa Rais wetu
@petermtonyi9138
4 жыл бұрын
Mung akubark san kwa maneno y hekima,kwel hat mung alianza nasekta ya ujenzi,tumekuelewa
@jeremialyati6092
Жыл бұрын
Well said mtumishi wewe huwezi kuwa upande wa wanafki ni msema ukwel
@zabrongermanus-co1jj
Жыл бұрын
Maneno mazuri
@mkangyailutashaggy7207
2 жыл бұрын
Amen kubwa mchungaji
@aludomakori4230
3 жыл бұрын
MUNGU,ampe tano mingine JPM,mgogo ulisema kweli TUMEMUELEWA JPM kwa mafueza yanayoshuka serikalini Sasa hivi,ni lini haya yalipatikana?
@amosgwako9925
2 жыл бұрын
Wwwuuueeehhh....this guy Mugogo daktari... 🖖
@profmasumbuko2288
3 жыл бұрын
Point taken
@emmanuelburchard3153
2 жыл бұрын
Mgogo umetisha....
@avax5717
4 жыл бұрын
Hata mimi uncle Magu, ninakuelewa
@thadeimkula9313
Жыл бұрын
Hapo nime kupata sanaa
@peterkichochi7510
2 жыл бұрын
Thinker always speaks widely. Misumari imepenya ila daah. RIP jembe ila mpini umenaki.
@aludomakori4230
3 жыл бұрын
Jmn,cku nyingine mpeni tena mualiko
@ancomagu7510
5 жыл бұрын
Dah hama kwa hakika umenena vyema yani ni ukweli mtupu
@benezethkapongwa8017
5 жыл бұрын
Yaani mahubiri yako ndo maana sijaachaga kukusikia... Nakuelewa na wewe pia
@anyimikeshola1203
2 жыл бұрын
Amina baba
@yohanaibrahim3804
3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@faustineselestine3327
3 жыл бұрын
Asante mtunishi
@omanabcd9249
3 жыл бұрын
Sana mtumishi
@cobadadon2334
4 жыл бұрын
ukweli mtupu
@aludomakori4230
3 жыл бұрын
JPM wenye akili tumekuelewa
@anyimikeshola1203
2 жыл бұрын
Amina
@amonamiri4487
3 жыл бұрын
Mgogo bhana uko vizur...sana
@zzzzzzzz2350
5 жыл бұрын
Hata mimi "nimekueleaa"
@gibuyilambo9717
5 жыл бұрын
True
@mbenyangehamza4911
5 жыл бұрын
Daniel safi sanaaa
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Ukweli kabisa ubarikiwa
@octaviangeorge1183
2 жыл бұрын
Nimekuelewa
@wangwemseti7592
4 жыл бұрын
Tusadiwe sisi wa huku vijijini ili tusivutiwe na maisha ya mjini na kuja kupata hasara za kuvunjiwa nyumba na kusabisha foleni mjini tuboreshewe miundo mbinu huku vijijini kusudi tubaki huku huku tunalazimika kuvamia mjini si kwa kupenda ni kutokana na serikali kutusahau na kubezi na maeneo ya mijini
@raphaelgadau2783
5 жыл бұрын
Daniel
@gabrielisack7786
5 жыл бұрын
Daniel Mgogo umenikosha roho yangu.
@roinajohnson9788
5 жыл бұрын
Nimekuelewa mgogo mwenzangu
@sallyommy2662
3 жыл бұрын
Mnyakyusa uyo sio mgogo
@sulleysonsulley4160
4 жыл бұрын
Mhe Rais Hiyo injili imekaa sawa , watu wako wamesikiaa?
@leonardmrope9528
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀aisee!!
@isayamwabulanga7767
5 жыл бұрын
Wapenda haki atujakuelewa watakuelewa Ambao awapendi haki Lakini naamini ata mungu Hanapenda haki sizani kama hanakuelewa
@hassanjuma2688
5 жыл бұрын
Haki gani utakayo wewe kuwa muwazi
@isayamwabulanga7767
5 жыл бұрын
Kama wewe Hutambui dhuruma wanazofanyiwa wapinzani Tz basi basi wewe ufai atakuongoza familia yako
@fredialfredi202
5 жыл бұрын
@@isayamwabulanga7767 akiri ni nywele kila mtu na zake
@davidcornel9545
4 жыл бұрын
Nimekuelewa JPM
@isayamwabulanga7767
4 жыл бұрын
@@fredialfredi202 hiyo siyo akili ni ujinga Ambao atujaandaliwa ili upate kizazi bora ni lazima umuandae mtoto kwa kufunza kujua thamani za uhai, Hekima, kupenda nchi yake, nakujua thamani ya haki nk Lakini mwafrica yupo tayari Kupoteza thamani uhai kwa kutetea Chama cha siasa
@kindandakudingwa7514
5 жыл бұрын
Huyu Daniel Mgogo ndio Nani??
@furahamwaijumba5571
5 жыл бұрын
Ni mchungaji wa Baptist Tanzania Ila anafanya huduma kooote Duniani.
@eliaspeter4017
2 жыл бұрын
Smart 100%
@divamrembo8788
5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Daniel Mgogo
@bonfesmwenda4006
4 жыл бұрын
Pia Mimi nimekwerewa muchugaji
@aludomakori4230
3 жыл бұрын
Channel ten mmefanya vyema kurudisha video hii kwa muda ambao Sasa tutaona kwa macho mafanikio.
Пікірлер: 177