Wisdom at it best....wish all preachers could reason like you....God bless you man of God
@davcodavid8651
Жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji Hananja
@joanesasalavaleriano9980
Жыл бұрын
Napendaga mafundicho yako baba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
@fredngajiro382
Жыл бұрын
Hananja huyo
@angeldejoice3202
Жыл бұрын
Nimecheka mpaka moyo umeridhika
@reonardchatanda6371
Жыл бұрын
Hananja uko vizur sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyezi Mungu akuongezee nguvu na ujasiri wakuongea ukweli kwa wakristo wanaoudhalilisha ukristo duniani
@EmanuelBenard-w6y
9 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa Duniani.
@thomasmwachambi1024
Жыл бұрын
Hongera mchungaji Hananja kwa kueleza UKWELI kuhusu watumishi waliojaa wakiniita Manabii na Watume kwa ajili ya masilahi Yao. UKWELI unauma ila waupokee.
@rizikivincent5255
Жыл бұрын
Mzee wetu Mwenyezi Mungu akuzidishie mibaraka kwa mafundisho yako mazuri wengine wanapindua mwaandiko na mafundisho ukristo umebaki kama historia na si kielelezo kwa waliosimama kupindua ukristo na utu na ukuu wa wakristo ukristo umekuwa wa bandia
@UfunuoJapheth
2 ай бұрын
Pastor Hananja Mungu akubariki sana
@YudaMaongezi-kx2on
Жыл бұрын
Sikuizi wanawake Wanawaheshimu zaidi wachungaji kuliko Waume zao!! . Namkubali sana Uyu mzee
@mamachris6811
Жыл бұрын
Wengi wamevunja ndoa zao ,na mali zimechukuliwa zote na hao wachungaji fake 😂😂
@paschalsafari9747
Жыл бұрын
Wengine wanawapikia kabisaaa mwisho wa siku wanaliwa🤣🤣🤣🤣
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Wanawake wanakuwa wanaenda kufutiwa zambi huko kanisani
@OscarDzombo
8 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji ,mafundisho yako yatia moyo yaan ukweli mtupu
@Nurjan847
8 ай бұрын
Nakupenda sana baba mchungaji mungu akuweke sana 🙏🙏
@loishiyesamwel1374
Жыл бұрын
Inaelekea kweli ya Mungu inaanza kufunguliwa, Mchungaji Mungu aendelee kukupa Hekima.
@CosterAugust
8 ай бұрын
Eee mungu lisaidie kanisa lako na watu wako ubarikiwe sana pastor
@felixthuranira7995
Жыл бұрын
Nakupenda bure mchungaji wa mungu
@sultanalnaamani2156
Жыл бұрын
Wewe nakukubali msema kweli Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu
@ZitolucianoLuciano
7 ай бұрын
Nakufuatilia vizuri sana, tufundishe na MUNGU akubariki sana.
@GodlistenAlen
3 ай бұрын
I like the way he speaks his mindi.
@EmanuelBenard-w6y
9 ай бұрын
Asante Sana Mtumishi Hananja barikiwa Baba
@Hassanimatimbwa-s8o
10 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Real pastor
@maryamsuleiman6340
11 ай бұрын
Mimi ni Muislam ,lkn nakupenda saaaana ,wewe nimtu unaakili ,nasema Masha Allah , unasema ya Akili sana ❤❤❤
@maryeer6392
Жыл бұрын
Hallelujah 🔥 Moto mtu wanguvu 👏👏💪.
@innocentprosper6384
2 ай бұрын
Ubarikiwe mzee .... barikiwa sana
@neema8110
Жыл бұрын
Wow safy sana 😂utoto utumwa ujana maswali uzee ugonjwa🤝🤝☺️🙌🏿
@JosephRuhusa-xt7wt
2 ай бұрын
I like, you.God bless you
@SikituMkamba
10 ай бұрын
Safi sana mchungaji uko vzr
@AlexMtenga
Жыл бұрын
Hananja mungu akubariki sana
@kabaranamaganga6646
10 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kuwafungua watu macho japo waliofungwa hawatakuelewa
@SiliverySixbeth
Жыл бұрын
Maisha marefu mtumishi🤲🤲
@KantonaErick
Жыл бұрын
Hongera sana mchungaji ukweli mtupu
@johnmpemba3057
Жыл бұрын
Hananja a real pastor❤
@rahma6189
Жыл бұрын
Safi sana baba nakukubali
@morrismkuba5755
Жыл бұрын
Roho pelekea Mungu sisi tunaona mapaja yako tufunikie mjinga wewe, umenimaliza babaa, mi kutoka 🇰🇪🇰🇪 twakupenda bure 🙏💪👍
@HezbonBakiliye-cx6cj
9 ай бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@saiditwalibu5244
Жыл бұрын
Haloo!!! We Mzee uko vizuri,
@sogoramwinshekhe1464
Жыл бұрын
Hongera sanaa nimekuelewa sana
@gabrielpott3325
Жыл бұрын
Hongela sana mzeee mw MUNGU akubariki sana mzeee wangu.
@IginasSwai
Жыл бұрын
Saf mzee Wetu ananja kweli
@genevievesunday
11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi kazi yako ni njema
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
NI kweli kabisa Hananja, unaongea Ukweli mtupu
@annambogela5442
Ай бұрын
@@gracekagoma3231 Hongera pastor MUNGU akubariki tunafaidika na kujifinza mengi ya kutujenga tupone
@EDWINMUTAYOBA-je2bu
Жыл бұрын
Napenda Sana kukusikiliza mchungaji unatuponya Kwa mafundisho Yako baba tunakuelewa
@godfreymuhavi4861
Жыл бұрын
Napenda mafundisho Yako,nikiwa Nairobi Kenya
@jumapiliissa4835
Жыл бұрын
HAHAHA Mzee naendelea kukubali wanamuamini mchunhaji kuliko M/MUNGU hongera sana
Kweli kabisa mchungaji tunaangamia kwa kukosa maarifa
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Soma biblia na Quran utapata kujua ukweli
@Hassanimatimbwa-s8o
10 ай бұрын
😂😅😅Nimecheka hapo njion ya leo Nakutemea maik 😂😂😂🤣🤣🤣 Nakukibali sana
@nicolausmollel6212
Жыл бұрын
Nakubali sanaaa mafundisho yako barikiwa sanaaaa
@GidionYusuph
11 ай бұрын
Mchugaji uko vizuri
@AdenshaluMwameri-nl2dm
Жыл бұрын
Yani kukija asubuhi jamani mm ndio baba leoo, mm ni muislamu ila namkubali huyu pastor.
@Georgemorisiamani-oy3hf
Жыл бұрын
Ubalikiwe sana baba
@JoaquimEduardo-j5x
Жыл бұрын
Nakukubali mchungaji..!
@expeditenow3664
2 ай бұрын
Very good
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Siku zote nitaenda kusali Roman Catholic, Lutheran na Anglican.
@mamachris6811
Жыл бұрын
Uko sawa Mimi Anglican hadi mwisho
@ninahmbonea6248
Жыл бұрын
Kwani hayo madhehebu mnayo yataja Roman, Lutheran, Anglican yametajwa katika biblia gani? na Yesu alisemaje kuhusu kuabudu? Zehebu siyo ndiyo suluhisho suluhisho ni kulijua neno, someni Yohana 4;23 na Mathayo 18;20.
@mamachris6811
Жыл бұрын
@@ninahmbonea6248 hayo ni maoni yake na uchaguzi wa mtu binafsi
@archadbaltazar5358
Жыл бұрын
😂
@yohanamorisi1802
Жыл бұрын
@@ninahmbonea6248 Mungu akubariki
@davidmghanga8502
Жыл бұрын
Nakubali
@ThobiasMarandu
Жыл бұрын
Unasema sawa Lakini Unaposema Wanaowaua hawana Makosa? Ni hivi Walioua Ni Wahalifu Pia
@ApolinaryFrancis-w8d
Ай бұрын
Mtumishi uko sawa wamama wanateswa na wachungaji wanatamanishwa utajiri kupitia maji,mafuta,n.k serikari ilione hilo ndoa zinavunjika
@JAPHETMWATUJOBE-nj4hc
Жыл бұрын
Sure yupo sahihii
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Isaya 56 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto hulala, hupenda usingizi, 11 Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote. 12 Husema, Njoni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi
@ahmedymasimba1096
Жыл бұрын
Mzee uko vizuri sana huna mbamba
@neema8110
Жыл бұрын
Eti jioni ya leo😂😂😂😂😂😂😂
@rosemarysulle9288
6 ай бұрын
😂😂😂😂jioni ya reo
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
Hakika kichaka cha matapeli ni ndani ya madhehebu yanayojiita makania ya maombezi.
@kadrikimaro1889
Жыл бұрын
Mzee wewe ndo ulitakiwa uwe kiongozi mkuu wa makanisa yote
@amosziro7054
10 ай бұрын
Hapo hananja
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
9 ай бұрын
Amen
@mussakimaro5588
Жыл бұрын
Katika wachingaji wenye ukweli huyu Yuko vizuri sana
@mamachris6811
Жыл бұрын
Huyu na Daniel Mgogo
@isayatippe6409
Жыл бұрын
Mtumishi Hananja, kwa asilimia kubwa nakukubali kabisa, lazima kufuata UTARATIBU unaotakiwa!!!
@amina2044amin-zv2gh
10 ай бұрын
Amiin🤲🤲🤲
@raphaelkomba364
7 ай бұрын
Mmmh ukweli mtupu
@jwakoofficial1560
Жыл бұрын
Nakubari sana
@peternguluchuma
Жыл бұрын
😂 jioni ya reooooo😂😂😂
@leonidasbzzojoyhatung3118
Жыл бұрын
Haaa🤣🤣🤣 ni kweli kabisa.jioni ya reeelooa🤣🤗🤗🤗
@hellenmawere9284
Жыл бұрын
Na sauti inabadilika 😝
@ThobiasMarandu
Жыл бұрын
Waliokufa Ni Wapumbavu, Waliowapeleka Waumini Kwenye Mauti Ni Wahalifu na Machinja Chinja Utasemaje Hawana Makosa?
@khadijaali9861
Жыл бұрын
Yaani wafurahisha mchungaji wasema ukweli
@janethstephen7869
Жыл бұрын
Kweli kabisa waaibisha ukristo jmn
@judynekesa8682
Жыл бұрын
Mbavuu zangu jamani TZ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 this round akuna kumpumua
@frankmushi8892
Жыл бұрын
Nikweli kabisaaa
@HadijaZabroni-pu1lt
Жыл бұрын
Jioni yaleo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
@DaudNtare
Жыл бұрын
Wooo
@LilianMushi-ho8qf
2 ай бұрын
Baba Mchungaji mauwa yako
@christsndushondi51
Жыл бұрын
Baba nakupenda bure
@MaryTango-e1o
5 ай бұрын
Mchungaji nakupongeza ni kweli wanawake wanasahau familia zao wanashinda kanisani masaa 24 kuwa wameokoka warudi kwenye mstari Sala zina mipaka
@Washington465
8 ай бұрын
Nakupenda mushunganji lakini sikukujuwi
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Kweli mchungaji kwa kwaeleza ukweli na ungeniambia pia ukristo sio dini
@MaryTango-e1o
5 ай бұрын
Wape ukweli wabadike mchunaji umetufungua
@jofreysikomele7056
8 ай бұрын
mimi nakuelewa sana las wewe ni Las pece las
@Estherm309
Жыл бұрын
😂😂😂😂 makenzi wooooi wakristo wameaibishwa kabisa jamani YESU KRISTO pekeyake atagulie Kwa MAISHA yetu 🤔🙏🙌🙌
@andrew29468
Жыл бұрын
Tuna watu wa ajabu sanaa Africa. HAPO KWENYE AKILI
@geofreyg.mtensa4559
Жыл бұрын
Jmn naomba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN...kuanzia leo piga marufuku kwa mtu yyte kujiita Nabii au Mtume, yaani awa wasenge wanaudhalilisha ukristo sana, ...
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
Tatizo uhuru wa kuabudu
@geofreyg.mtensa4559
Жыл бұрын
@@monicambuya-sq9ms daaah...!! inaniumiza sana yan,
@frankjohn8706
Жыл бұрын
@@monicambuya-sq9msHilo la uhuru wa kuabudu waliliweka wenye akili kwavile Mungu mwenyewe amewapa watu kuchagua watakaemtumikia wewe ni nani umzuie mtu kutumikia anachokiamini je siku utawala wa inchi ukiwa na rais mwanga na akawa na nguvu kama Nebkadreza alasimamisha sanamu lake ninani atapimpinga
@hanifaoman2972
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂ukweli
@risperrugimbana474
8 ай бұрын
Biblia imekaa hapa baba hananja
@SephaniaPaul
3 ай бұрын
Maaaaarifaaaa
@kastoriooko7157
Жыл бұрын
Malango ya kuzimu ni : madhehebu, pesa , umaarufu na wanawake . Nikisema wanawake ni wote isipokuwa binti za Mungu.
@VicentEdward-z4e
Жыл бұрын
Kweli akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndg...hawa ndo kina ayubu mtu mwenye akili kubwa hata dunia ikipita wakati gan atasimama katika nafas yake....nawaza dunia yaleo mtu akipitia aliyo pitia ayubu ataenda kwamitume wote mpaka atakapo enda kufia.
@happsamwita7381
Жыл бұрын
Amina Baba umefoka sana....waamini tue na akili
@NabilSeif-ll8in
Жыл бұрын
Mutumichi yukomakisan
@suzanalucasemanuel7006
Жыл бұрын
😂😂😂😂 amen mchungaji
@aloycemisigalo3983
Жыл бұрын
Hananja we ni shida umeongea mambo mengi na yote yako sawa kabisa.
Пікірлер: 195