Asante sana muzee wetu wa kiimani, huwa nafarijika na maneno yako, from Cedar Rapids Iowa state USA.
@SifaYema
6 күн бұрын
Jambo papa .Asante sana kwamaongezi unaongea kweli watuwakwetu wanauzi atamavazi wanajifqnanisha na wazungu
@jastinmkoba
16 сағат бұрын
Zaman nilikuwa sikuelew lakini Sasa ni ile nimekuelewa
@malikmasoud3190
24 күн бұрын
Serikali inatakiwa kuwatolea macho watu km hawa na ni wachache sn , namkubali sn
@trophywilson7211
25 күн бұрын
tunafanya kazi saana kwa kweli hujasema uongo
@abdallahhamisiiddi4513
3 күн бұрын
Comments nizetu sisi tunaoishi marekani tu nyie wengine mtupishe.
@trophywilson7211
25 күн бұрын
hahaha mzima kuliko watu wote nimefurahi saana
@user-it7ih1it3m
18 күн бұрын
TANZANIA janja janja nyingi sasa hvi piki piki bei yake inafanana na bei ya gari ulaya
@dicksonkilupa2258
16 күн бұрын
Inategemea aina ya pikpik inaweza hata kuwa aghali zaidi ya IST
@millymalasusa3054
16 күн бұрын
Mtu wa Mungu naomba namba yako
@trophywilson7211
25 күн бұрын
wewe ulitaka tusiongee kiswahili?
@stateofart1089
23 күн бұрын
Pastor Kazingua yeye mwenyewe kasema Ioa Siri (kwa nini asiseme Ioa Siti kitanzania vile). Watanzania acheni Diaspora wawe huru na maisha yao, nyie mbona hawawapangii nini mnafanya. Fanya yako…
@fahadfaraj6474
21 күн бұрын
Tumekua diaspora kwa miaka ila kujifanya unaremba lugha ni ulimbukeni kwani hata huko ugenini hata ukae miaka hamsini siku zote utaonekana we ni muamiaji tu.
@stateofart1089
21 күн бұрын
@@fahadfaraj6474 We Diaspora fala, i am diaspora too and don't give a shit about your shit. Land of freedom meaning you can do anything you want to do without harming anyone.Accent ya mtu inakusumbua nini, huna ya kufanya?. Nyie ndio mafala mnaosema Mnji angezikwa Tanzania piano body gives a shit after you die whether you're buried or not doesn't matter.
@fahadfaraj6474
21 күн бұрын
@@stateofart1089 we diaspora wa ugiriki nini maana kiingereza chako kichafu mnoo, sasa mbona Maneno mengi sana
Пікірлер: 17