Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
@highnessmlaki1754
15 күн бұрын
Am really blessed MUNGU akuzidishe pastor
@furahamwasila
16 күн бұрын
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
@EM_JUNE11_WABWANA
Ай бұрын
Nabalikiwa na Neno la Mtumishi napenda sana mifano yake
@jamesfanuel4595
Ай бұрын
AMINA MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai NENO LA MUNGU Li hai tena lina Nguvu
@Neema-wy4mh
24 күн бұрын
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
@simonprosperity9573
25 күн бұрын
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
@El9a
Ай бұрын
Wow...manifestation of the Power through the Word of God. GLORY...
@justusmusango9977
Ай бұрын
Mungu wa Israeli. What a powerful sermon
@risanj-g9l
Ай бұрын
Simple but powerful, may God give you more pastor.
@EuphrasiaNtawatawa
25 күн бұрын
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
@hannahmanu8642
Ай бұрын
Amen mungu nitie ngufu wakati niko jikone
@deniskimario9288
Ай бұрын
Ameen, hili neno ni langu..
@pastormwamlima8014
19 күн бұрын
God bless man of God
@user-ru8ne9oi3y
29 күн бұрын
Amen napokea ni langu
@stephanosospeter1709
19 күн бұрын
Asante sana Mungu akubariki
@YustinaMwita
26 күн бұрын
Nimebalikiwa amen
@ediusiganiza4737
29 күн бұрын
Nabarikiwa sana na neno lako
@godfreymwacha2340
26 күн бұрын
Amina hallelujah 🙌🙏
@Youth_revivaltz
28 күн бұрын
Nimepokea kitu cha ziada Sana barikiwa Sana
@flobad.mhubiri
29 күн бұрын
Ameeeeeen. Toka Congo drc
@ediusiganiza4737
29 күн бұрын
Neno la MUNGU ❤❤❤
@graysonlikwama1873
Ай бұрын
Amen
@graceoisso3238
25 күн бұрын
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
@josephinecharles8615
29 күн бұрын
Powerful
@geraldmayunga1411
25 күн бұрын
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
@weahfeint3406
21 күн бұрын
Umefundisha vizuri kuhusu meditation lakini hauja rejea kwenye biblia kuhusu iyo meditation.
Пікірлер: 27