Nikuja baada ya kukusikiza radio maisha Kenya 🇰🇪🇰🇪
@sammaragia2603
Жыл бұрын
😂😂na kwani radio maisha tu ndo inaplay hii song.. pia mi nimeskia huko😅😅
@rosemajivuno
3 ай бұрын
nimekuja baada ya kuitafuta hii nyimbo for a very long time. then finally nakuona clouds fm. mwamba unajua sana. Please invest kwenye kujitangaza sana especially mitandaoni kama tiktok
@hanluckyhm
3 ай бұрын
Uko sahihi kabisa. Hata mimi niliisikia nyimbo siku nyingi, juzi nikamsikia clouds!
@HAMYDKAZY-q1w
14 күн бұрын
Bonge la nyimbo nina miaka nayo ming sana haijawai kuchuja kwenye sikio langu
@emmanuelpius6387
3 ай бұрын
Ukitaka ufunguliwe dunia pita Clouds, sasa kwa mfano muziki mzuri kama huu nilikuwa siujui miaka yote hiyo
@AllexMasanja
Ай бұрын
Kama mim yaan
@FranciscoKatakwa
Ай бұрын
&me2
@jacksonvalence7365
3 ай бұрын
Kupitia leo tena ya clouds fm leo ndyo nimejua ngoma hii inaitwaje. Keep pushing brother muziki mzuri unaishi
@MudySanch
6 ай бұрын
Ww noooma unajua
@mainakihurusia6380
Жыл бұрын
Rhumba moja noma Sana ❤❤❤❤
@lelomellowtz
2 жыл бұрын
Melody Melody Melody yaan daah unahitaji kupewa heshima yako Bongo hii👐🔥🔥 Mziki unaufanya tangu utotoni ni heshima sanaa
@bosypainterswathika3514
3 жыл бұрын
Kama umekuja apa baada ya kusikiza radio maisha Kenya 🇰🇪🇰🇪 pita na like mkuu
@kevinwesanza7562
Жыл бұрын
Mfalme wa rumbah played it some weeks ago...top song
@wrestlingempire9520
Жыл бұрын
Listened to DJ darius radio maisha
@VannicsStannics
5 ай бұрын
TUPENI MELODY FLOWER ZAKE ZINAZO FAA
@albertogauto3834
Ай бұрын
BDA EXTRA de BDA
@stevoovlogs8645
3 ай бұрын
hii wimb meisikia kitambo but leo ndo mejua kama umeimba leo baada ya kukusikia clouds
@CarineMjema
7 күн бұрын
Mm itv imenileta hapa....aah🔥🔥🙌🙌❤️
@lundasimon2946
3 жыл бұрын
Lol that dj on radio maisha brought me here. Nice jam🔥
@rashidimkunjila8096
3 жыл бұрын
Kaka kwani kutrend shingapi🤳 nikununulie trending walau watu waone utamu wa muziki mzuri🇹🇿💓
@anicetwababu1417
2 жыл бұрын
Sauti ya mafuta big up brother
@kevinkigen5037
3 жыл бұрын
Radio maisha made fall in love with the best song
@Ellymodel_38
3 жыл бұрын
Sanaa
@timothyngassa8478
3 жыл бұрын
Mavokale ni mmoja tuuuu
@godypurio4953
3 ай бұрын
Sio masiara mjue hii ngoma nimeuliza shazam haipo wateja kibao wamefika ofisin nikawauliza mnamjua huyu wa kaniambia hatujui ila clouds daah bonge la ngoma broo ngoja ni kusaport kote
@realzeflin6433
Жыл бұрын
Wimbo huu unagusa mioyo yenye hisia na upendo wa kweli, nikiwa miungoni mwao🔥🔥♥️♥️
@AtupokleLusago
4 ай бұрын
Unajua kuimba mwamba wanikumbusha mbali sana nkisikiliza hiisong.
@akibahshabani9589
3 жыл бұрын
Nakuonaa clous
@abrahamibrah213
3 жыл бұрын
radio maisha imenifanya nicheki hii...
@husseinrajabumohamed6462
2 жыл бұрын
Danger petit nangai
@kividomaster4660
Жыл бұрын
BEBE XTRA FIYAAA🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@hezronmbaruku8089
Жыл бұрын
Nakukubali sn mbasa
@rashidimkunjila8096
3 жыл бұрын
Yaani naipenda nyimbo kuliko nchi yangu🇹🇿💓
@binmgeni4664
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Yaani huyu jamaa anavitu adimu sana. Hiki kitu ndio nimekijua leo, nimepitwa sana.
@alexyongolo8352
Жыл бұрын
Yaani nashindwa niseme nn kwakweli unajua sana kaka much respect
@remidharunamzumya1750
Жыл бұрын
Duuuuh moto sana 👊👊👊👊
@memsikaasha2422
2 жыл бұрын
this song is a banger it pulls strings inside 😥😍😍
@edwingulenga8192
Жыл бұрын
Bebe💥💥
@priscacharles313
2 жыл бұрын
🔥🔥 this song gives me goosebumps 🥰🥰🥰. Shikamoo Melody Mbassa
@agnesinjiku8065
Жыл бұрын
😂🤣
@jermainetembajtk4908
2 жыл бұрын
I love. Radio maisha made me to know this lovely song. Great talent
@danielwaynebiwwot4610
2 жыл бұрын
Radio Maisha Nyosh Gathoo n Dj Darius have made me listen to this amazing piece of work purely african touch
@brianchazima7076
3 жыл бұрын
Came here after listening it on radio🥰🥰
@MissFave
3 жыл бұрын
Me too🔥
@frank_0012
3 жыл бұрын
Radio maisha in 254
@mr.pedeshemokaya8823
3 жыл бұрын
Me too,, Radio Maisha #BillyNaMbaruk
@isack0001
3 жыл бұрын
Same🥰
@Thekidp3702
Жыл бұрын
Clouds FM DJ fetty aliipiga asubuh
@kazimilykulwa2516
3 жыл бұрын
Aiseee melody mbasa unajua ila Basi tu kwakuwa mziki wetu umeshakuwa na makando makando mengi🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@peterkasembe7042
3 жыл бұрын
We jamaa unajua
@MissFave
3 жыл бұрын
Radio Maisha made me know this wonderful talent and bro keep doing you cause this is amazing 😍🔥💯
@wilfredkaimenyi5396
3 жыл бұрын
I second you ..nimeskia na Billy 🤭
@mercymuyu2721
3 жыл бұрын
Me too
@duncanmageto9490
3 жыл бұрын
Me too 😂😂
@anneymwende911
3 жыл бұрын
Same
@mcuno.christophersajero2484
3 жыл бұрын
Wow courtesy of Radio Maisha
@florahnjamakuya2409
Жыл бұрын
Jamani huu wimbo naupenda Sana ... Nimeshaangalia Zaid ya Mara 50
@dominicusmakukula4937
3 жыл бұрын
Utunzi mzuri mno Mbassa, kazi kubwa na nzuri sana...
@agnesinjiku8065
Жыл бұрын
Unanikomesha na nyimbo zako asee😔 ur so talented Mbassa😍noma sana
@hapynesrafael2171
Жыл бұрын
Kahama @mtekoukosawa kaka unaimba vizurisna
@victormbassa5611
3 жыл бұрын
Atarii nouma sana 🔥🔥🔥
@M7-Band
2 жыл бұрын
Nouma sana
@alisenmajja9638
2 жыл бұрын
I'm speechless, I can't stop listening to his music. Melody Mbassa I salute you. God bless you brother
@Abeneko
3 жыл бұрын
Ngoma kali Sana Mzee baba...kweli ni ulimwengu wa mavocal 🤣🤣🤣 Tisha Sana king
@bennyngoye8707
2 жыл бұрын
I never realized this talent before,nimepitia nyimbo zako zote,naumia nimechelewa sana kuzikiriza mziki mzuri kama huu,uko wap bro natamani kusikia nyimbo yako mpya aisee, lovly melody nice songs ever,ur the best mbassa
@verynicemagesa9851
Жыл бұрын
Has!!
@ngaukamaita3979
Жыл бұрын
Mtu na nusu huyu mwamba
@presentergeofrey9510
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥 Audio ipo Kichwani kama Definition ya Matter 😃😃😃😃😃🙌🙌🙌🙌
@kassiga
3 жыл бұрын
Muziki mzuri zaidi ya uzuri wenyewe.
@nuelmikes
10 ай бұрын
That this piece of genius work came out 2 years ago and I’ve never heard it is an unforgivable crime.
@tajobin8650
6 ай бұрын
Nakubali Mzee ❤
@nyasaniofficial
2 жыл бұрын
Cha ajabu media hazioni kipaji hiki🤔 mbassa wewe ni moto🔥🔥
@ApipaTV
2 жыл бұрын
cloudz fm kipindi cha jahazi wamefanya nimelijua hili goma kweli media zina nguvu ku-push kazi za wasanii
@jasirimjasirimedia7940
Жыл бұрын
One day you will be in gospel music and saving God brother mbassa
@Chrishenryson-beats
3 жыл бұрын
Hii nyimbo ni kali sana shida ipo kwenye promotion na management yako nadhani haipo smart
@kulukusantutv3541
Жыл бұрын
Ongera saana mon frère, Mungu aku zogeze mbele saana
@rashidimkunjila8096
3 жыл бұрын
Duu kweli kiki zitaongea mziki utaskika yaan hii nyimbo ya kukaa hivi kweli
@martinmendrad3531
Жыл бұрын
Daah hii ngoma, sijajua why ilipitaga tu watu hawakuizingatia, Good Music keep it up bro never give up!!!!!
@simonkabala2063
8 ай бұрын
Jana napita stationery Niko na mpenzi wangu nikawa naskia hii ngoma ikiiimba jamani nimeipenda bure what a music❤🤔🍇💪
@danieldastan1776
Жыл бұрын
Fanya kolabo na Alikiba
@trizahmusyoka8430
3 жыл бұрын
Billy na Mbaruk made me run here and am in love with the song 😊
@aggreywere2734
2 жыл бұрын
Me too😂😂💗
@neemamassam3910
Ай бұрын
My favourite song ❤
@asiaasia1069
Жыл бұрын
Namkubar sana alisimama kwenye show yetu ya toto party 2002 nikiwa na miaka mi 4
@plaudmedia
3 жыл бұрын
Mbassa the melody . fire of vocals
@oyibomyman8266
3 жыл бұрын
Hit lit up G 🔥🔥💯💪👊
@tonnymkoya8790
2 жыл бұрын
I love this song but I did not know the title till today
@samuelmkombola2225
Жыл бұрын
Praise God!
@officialalphalebbi3445
3 жыл бұрын
Unajua music aiseeee
@hdband3181
2 жыл бұрын
Bebeeee
@margrethkimei6405
7 ай бұрын
Nice song
@rachelshakezanga2050
Жыл бұрын
Masha Allah, am in love with this song,, wow, congrats Mr ❤❤
@merrymassa-hi6iy
Жыл бұрын
La ziziii
@Barakah001
3 жыл бұрын
Kali
@smaylonner6858
Жыл бұрын
King
@nyoelomwita448
3 жыл бұрын
The vocals..!!! Unique vocals indeed, number one fan of you
@richardsteven5020
Жыл бұрын
HII iko sehemu ya juu MOTO SANA HII🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@agnesmgina4469
3 жыл бұрын
See this talent🥰🥰🥰🙌
@amosethantheking8815
3 жыл бұрын
Unaweza sana, nakutag kwa babulale na diamond plutnumz. Wewe ni biashara asee!🔥🔥
@edwingulenga8192
Жыл бұрын
💥💥💥💥💥
@kefamtesigwa4005
3 жыл бұрын
An hii imekua kama ngoma yangu pendwa daaah bro kwel upo talented mpaka so kawaida
@lucykimario3505
2 жыл бұрын
Hi nyimbo ni nyimbo yenye maudhui chanya kwa wapenzi ambao wana mapenzi ya ukweli ..keep it up Bro.... Melody massacre
@MudySanch
6 ай бұрын
unajua xana
@emmanuelndizeye2132
2 жыл бұрын
Just in love with this chorus..it's my phone ringtone
@taupenisanshimirimana3384
2 жыл бұрын
Same man
@yohanawilliam2223
3 жыл бұрын
Underrated legends.....@Melody Mbassa you are next level bro... nakufatlia clouds at de moment... lit🔥🔥🔥
@salomewambua5239
2 жыл бұрын
I love the song....#billy na mbaruk made me look for the song...Manisha jioni for lofe
@sylviaaringo1630
3 жыл бұрын
Cant stop playing this music over and over again.....its so sweet ....Good job
@samwelyremy4103
2 жыл бұрын
Yaan bro unaweza na kuweza tena..keep it up 💯💯💕🥂💪🏆🏆🇹🇿 Narendemka2 na wimbo huu haki “u made it
@Rogasiandesmond6
2 жыл бұрын
Mzee unaimba sana. Kuna mtu anahitaji ajue hata email yako ila kupitia bye nilipata mke. Barikiwa sana
@dantaman
Ай бұрын
nimekuja hapa baada ya kuuskiliza huu wimbo jana kwenye kipindi cha mjue zaidi cha ITV dah broh umejua kuutendea haki huu wimbo you made it trust me😊
@esa_traveller
3 ай бұрын
2024 Niko na wewe Kaka, Much love Familia ❤
@morokidsimba3752
3 жыл бұрын
Mavokale Planet
@LucyWanjiru10
2 жыл бұрын
This hits different 🔥
@agustinoilomo4878
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@MoyiSanJose-eg1nr
6 ай бұрын
Melody is a true singer, more love bro.
@raymondnyamwihula7384
3 жыл бұрын
naam, mambo ya mavokale
@STANLEYKINYILI
Ай бұрын
Huu wimbo ilibidi niurecord kwenye radio Maisha. Leo nimepata nashukuru. @MelodyMbassa
Пікірлер: 211